Suala la msanii AY kutoka kuwa wa Kimataifa mpaka kugeuka “Chawa mwandamizi” linahitaji mjadala fikirishi

Kwa mujibu wa katiba kila mtu ana haki ya kuchagua chama anachokitaka.....So AY hajavunja katiba kushabikia CCM na pia kumfagilia Mama Kizimkazi.
Naam,

Sio katiba tu, hata haki za binadamu zinampa uhuru huo.

Pia, AY hajawahi hata kuji identify kama activist wa upinzani, hivyo hata issue ya consistency au unafiki (ambayo hata nayo inaweza kujibiwa kirahisi kwamba watu wanabadiki mawazo) huwezi kumuangushia.
 
They got the right, no doubt, Mkuu. But peep this—these artists got a huge following of young people who look up to them. Now, if all these big-name artists with major influence start backing those CCM crooks, man, we got a long-ass road ahead in this country full of clueless folks who spend their whole day talking about Simba and Yanga.

For real, it’s like TZ only got four real artists who keep it a buck—Ney wa Mitego, Prof J, Roma, and Sugu.
 
Yeah ,AY yupo sawa ,kila mtu ana haki ya kuchagua akipendacho.
 
Wacheni wasanii wapige pesa ndio muda wao huu.
 
Artists have no obligation to see things your way. They are artists after all, they are supposed to be creative and not necessarily straightforward.

They can argue that - I am not making this argument, I am against CCM- but they can argue that the best hope for this country lies within CCM and as bad as it is, it can be reformed.

That is a political and philosophical view.

Are we censoring our artists from having their own political and philosophical views now?
 
Are we censoring our artists from having their own political and philosophical views now?
On the contrary, there is no coercion whatsoever. Artists retain the autonomy to endorse any political party of their preference, exercising their inherent freedom of expression without external constraint.
 
On the contrary, there is no coercion whatsoever. Artists retain the autonomy to endorse any political party of their preference, exercising their inherent freedom of expression without external constraint.
So what is this thread about?

To me, the thread is infringing on AY's rights and castigating him, for exercising his constitutional and human rights.

It's like people cannot debate issues, they are flinging ad hominem attacks on non issues.
 
Wakina Beyonce, Jay Z, Cardi B, Mariah Carey... Ngoja niishie hapa kutaja majina maana ukurasa hautoshi. Wao macelebu wengineo lukuki ni mashabiki wa Democratic Party kule kwao Marekani na wote hao wana pesa kuliko AY. Sema hapa Bongo mpaka ushabikie CHADEMA ndio wakione unajua siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…