Suala la timu ya USM Alger kuja na Maji na vyakula linafikirisha sana

Sidhani kama hayo mambo ya dopping yafanyika na kuwa na effect kwa muda mfupi kiasi hicho.
Anabolic steroids ni process na inachukua muda kupata matokeo sio overnight procedure
 
Sasa kama hivyo vyakula na maji yao wanaingia nayo bila kukukaguliwa na kupimwa wanaweza wakaingia na dawa za kulevya tukadhani ni vyakula tu vya kuliwa kumbe kuna vingine vya siri zao
Aliyekwambia hawakukaguliwa ni nani?
 

Sidhani kama ishu ni ubora, wameangalia usalama zaidi, kukwepa figisu na hujuma kwenye soka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…