900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
YANGA lazima atandikwe 3 leoKwa sasa Yanga ni mafundi wa mechi za ndani na nje,hivyo Waarabu hawaponi kotekote.
Kombe linatua Jangwani mapemaa.
Insha Allah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YANGA lazima atandikwe 3 leoKwa sasa Yanga ni mafundi wa mechi za ndani na nje,hivyo Waarabu hawaponi kotekote.
Kombe linatua Jangwani mapemaa.
Insha Allah.
Angalia kwanza rekodi yake kwenye haya mashindano, halafu utapata jibu sahihi.Mkuu leo yanga anakufa ngapi?
😂😂😂YANGA lazima atandikwe 3 leo
Kwahiyo sasa mebadili gia angani kacheza fainali😂😂😂
Ameweka historia ya kucheza fainali
Tuna mechi mkononi bado ya fainaliKwahiyo sasa mebadili gia angani kacheza fainali
Sidhani kama hayo mambo ya dopping yafanyika na kuwa na effect kwa muda mfupi kiasi hicho.Juzi tumeona kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha timu ya USM Alger ikiwasili JK Nyerere International Airport ikiwa na shehena ya Maji ya kunywa na pia inasemekana walibeba na vyakula vyao.
Huenda wakawa na nia njema ya kuhakikisha usalama wao na kuepuka hujuma za kimichezo lakini pia kwa upande mwingine wanaweza kutumia fursa hiyo kuingiza vimiminika kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa wachezaji wao ambapo unaweza kukuta mchezaji mwanzo mwisho yupo na energy ile ile au mara dufu.
Inavyoonekana vinywaji hivyo wameingia navyo siku hiyohiyo ambapo ukifuatilia sidhani kama mamlaka husika kama TFDA, TBS nk zilikuwa na muda wa kufanya ukaguzi wa kina.
Nadhani mambo kama haya vyombo vyetu vya Usalama including SSIT kwenda mbali zaidi.
Aliyekwambia hawakukaguliwa ni nani?Sasa kama hivyo vyakula na maji yao wanaingia nayo bila kukukaguliwa na kupimwa wanaweza wakaingia na dawa za kulevya tukadhani ni vyakula tu vya kuliwa kumbe kuna vingine vya siri zao
Naona hao USM Alger wamecomplicate tu hiyo issue, dunia imebadilika, hakuna sababu ya kuja na vyakula wala maji, vyakula na maji vilivyopo hapa Tz ni sawa tu na huko kwao na huenda vya hapa kwetu vikawa na ubora kwa kuwa vitakuwa more fresh.
Wajikite kucheza mpira na sio hivyo vitu vidogo.
sasa kama walikaguliwa sheria inasemaje kuja na vyakula vyao?Aliyekwambia hawakukaguliwa ni nani?