Juzi tumeona kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha timu ya USM Alger ikiwasili JK Nyerere International Airport ikiwa na shehena ya Maji ya kunywa na pia inasemekana walibeba na vyakula vyao.
Huenda wakawa na nia njema ya kuhakikisha usalama wao na kuepuka hujuma za kimichezo lakini pia kwa upande mwingine wanaweza kutumia fursa hiyo kuingiza vimiminika kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa wachezaji wao ambapo unaweza kukuta mchezaji mwanzo mwisho yupo na energy ile ile au mara dufu.
Inavyoonekana vinywaji hivyo wameingia navyo siku hiyohiyo ambapo ukifuatilia sidhani kama mamlaka husika kama TFDA, TBS nk zilikuwa na muda wa kufanya ukaguzi wa kina.
Nadhani mambo kama haya vyombo vyetu vya Usalama including SSIT kwenda mbali zaidi.
Huenda wakawa na nia njema ya kuhakikisha usalama wao na kuepuka hujuma za kimichezo lakini pia kwa upande mwingine wanaweza kutumia fursa hiyo kuingiza vimiminika kwa ajili ya kuongeza nguvu kwa wachezaji wao ambapo unaweza kukuta mchezaji mwanzo mwisho yupo na energy ile ile au mara dufu.
Inavyoonekana vinywaji hivyo wameingia navyo siku hiyohiyo ambapo ukifuatilia sidhani kama mamlaka husika kama TFDA, TBS nk zilikuwa na muda wa kufanya ukaguzi wa kina.
Nadhani mambo kama haya vyombo vyetu vya Usalama including SSIT kwenda mbali zaidi.