Suala la usajili wa wa Clatous Chama limedhihirisha kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini ni waongo na hawana uwezo wa kuchunguza na kupata ukweli

Suala la usajili wa wa Clatous Chama limedhihirisha kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini ni waongo na hawana uwezo wa kuchunguza na kupata ukweli

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Ndio maana magazeti yanakufa nchini.
 
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Ndio maana magazeti yanakufa nchini.
Pia you tube inakula bundle la buree Mimi nikisikia back ground voice najua hapa chenga, (bila kumuona msemaji)
 
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Tulia, ukifika muda utajua tu.

Pupa ya nini?

Kwa sasa Simba na Yanga wanajitahidi sana kuwa wasiri hasa kuhusu taarifa za usajili.

Kuna migongano ikiingia mchezaji mwenyewe huwa haongei uhalisia mpaka jambo likawe sawa.

Kwani hata Dube ushapata jibu la 100% ?

Kukiingia conflicts hasa baina ya vilabu vya Kariakoo, jambo lazima liende kwa usiri mkubwa mpaka litakapoisha 100%
 
Mbona hujahitimisha kuwa Chama kasajiliwa wapi? Kaongeza mkataba Simba au kasajiliwa Yanga? Sasa umeponda vyombo vya habari za michezo halafu swala la msingi umeliacha kulikoni?
Maana yake ni kuwa nyani hawezi kujitofautisha na tumbili🤗
 
Umepitwa sana mkuu. Siku hizi hata baba au mama mzazi wa mchezaji profeshno kama chama atakwambia mfate meneja wake. Unafikiri chama ni dizaini ya wachezaji wa kuokoteza kama feitoto ambapo mama ake anasema hiki, fei analia kivile, mjomba anagugumia huku, Yani mpaka Binti kiziwi aingilie kati ndio auzwe.
 
Umepitwa sana mkuu. Siku hizi hata baba au mama mzazi wa mchezaji profeshno kama chama atakwambia mfate meneja wake. Unafikiri chama ni dizaini ya wachezaji wa kuokoteza kama feitoto ambapo mama ake anasema hiki, fei analia kivile, mjomba anagugumia huku, Yani mpaka Binti kiziwi aingilie kati ndio auzwe.
I have liked your Silent language, umenikamata lkn, hahaha Mimi baby boomer II
 
Sasa unataka taarifa kamili ipatikane haraka baada ya hapo kwenye vipindi vyao wajadili nini?
 
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Ndio maana magazeti yanakufa nchini.
hii ni creation ya yanga kwani wanataka kupiga hela ya hatari kwa matangazo ya chama
 
Umepitwa sana mkuu. Siku hizi hata baba au mama mzazi wa mchezaji profeshno kama chama atakwambia mfate meneja wake. Unafikiri chama ni dizaini ya wachezaji wa kuokoteza kama feitoto ambapo mama ake anasema hiki, fei analia kivile, mjomba anagugumia huku, Yani mpaka Binti kiziwi aingilie kati ndio auzwe.
Profeshno sio 😂😂😂😂
 
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Ndio maana magazeti yanakufa nchini.
Naona unauliza kijanja ili tukwambie ukweli.
 
Mwezi mzima huu vyombo vya habari hakuna hata kimoja kilichoandika habari ya usajili wa mchezaji Clatous Chota Chama kwa usahihi, sio vyombo vya habari vya michezo, sio mitandao ya kijamii na wala sio wachambuzi au wachang'ombe feki hapa nchini.

Hebu fikiria ndipo uone kuwa vyombo vya habari vya michezo nchini vimeishiwa kabisa udadisi, mchezaji Chama kwako wala sio mbali, kwao ni hapo Zambia, ukifika Tunduma Zambia unaiona ileee.

Huko miaka ya nyuma sisi tuliowahi kufanya kazi enzi hizo The Guardian ni kampuni kubwa, habari hii kama hii kwetu sisi walaji haikuwa shida, zamani chombo vya habari katika kutafuta ukweli kiliweza kutuma mwandishi nguli aende Zambia kufuatilia ukweli wa habari ya usajili wa Chama.

Kule mwandishi angeweza kwenda kuonana na Chama mwenyewe, angeweza kumsaka babake au hata ndugu zake ambao kifamilia suala hilo wanalijua, wao wangeweza kusema Chama atakuwa upande gani msimu ujao.

Lakini hakuna, kila siku wanabahatisha t, leo wanaandika hivi na kesho wanabadilisha vile, magazeti yamekuwa ya hovyo kabisa.Habari zimejaa uongo, ushabiki, unafiki na uchonganishi mtupu.

Ndio maana magazeti yanakufa nchini.
Sasa wewe una tofauti gani na hao unaowalaumu? Maana umepiga kelele tu lakini hujasema lolote juu ya usajili wa huyo Chama.
 
Back
Top Bottom