safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
- Thread starter
- #81
Mkuu sio jamii zote ndo hufanya hivyo.Mkuu misiba ya kwetu waafrika inajiendesha yenyewe.
We ni kutangaza tu kwamba umefiwa.
Tatizo pale wewe usipohudhuria misiba ya wengine katika jamii.
Mimi ni muafrika pia na katika jamii ninayotoka mmkuu watu wengi wakifiwa basi gharama za chakula wanagaramia wafiwa,hawa waliokuja kuzika kazi yao ni kupika tu.
Ipa kama wazikaji wanakuja na vyakula vyao mbona haina tatizo kabisa,ishu ni wafiwa kutupiwa mzigo wa chakula mkuu.