evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Yaani ni tatizo
Jana kwenye taarifa ya habari niliona morogoro sijui ndio kusherehekea kutimuliwa kwa ded na Dc
Jamaa wameamua kuingia hadi barabarani kabisa.
Kuna kiongozi alikuwa analalamika anawaambia wanavyofanya wamachinga sio vizuri , kiongozi mwingine akaibuka akasema wawaache wamsubiri RC arudi ndio adili nao
Wamachinga wa barabarani wamekuwa na viburi lakini pia wanajifanya pia wanaleta mambo ya huruma , utu na utafutaji ridhiki.
Hili suala la machinga lipatiwe sululisho la kudumu
Nashauri wamachinga watengewe maeneo rasmi wakatazwe kufanya biashara kiholela
Jana kwenye taarifa ya habari niliona morogoro sijui ndio kusherehekea kutimuliwa kwa ded na Dc
Jamaa wameamua kuingia hadi barabarani kabisa.
Kuna kiongozi alikuwa analalamika anawaambia wanavyofanya wamachinga sio vizuri , kiongozi mwingine akaibuka akasema wawaache wamsubiri RC arudi ndio adili nao
Wamachinga wa barabarani wamekuwa na viburi lakini pia wanajifanya pia wanaleta mambo ya huruma , utu na utafutaji ridhiki.
Hili suala la machinga lipatiwe sululisho la kudumu
Nashauri wamachinga watengewe maeneo rasmi wakatazwe kufanya biashara kiholela