dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Mkuu tutake radhi bana..[emoji35]Boss hii kuagiza Bei yq juu sana ni 15m, ila ukitaka ya kununua kwa mtu Hiyo cjui kweli,
Km unataka ningekushauri uagize Japan.
Ila ukifika nayo usisahau kuileta tuipime kwanza barabarani[emoji1] maana tuna chama chetu huwa tunazipima kila weekend, ikibomolewa unaagiza nyingine.
Kumiliki hizi gari raha sana, tofauti na hii mbolea zingine mnaita Toyota!