Subaru foresta 2005 vs harrier 1999

Subaru foresta 2005 vs harrier 1999

Thanks for advice mkuu..ilisumbua starter kit sensor,nikatoa laki 4,ikaua battery nikanunua original laki sita nimewasha juzi baada kukaa ndani week naona inamwaga petrol kutoka kwenye tank nikazima nikaachana nayo..najua ni inshu ndogo ila bado kuna inshu ingine inaleta mis sana ikiwa ata low speed ya town movements..ila ipo clean sio ya ovyo..ipo njema sana yani..

Sitauza maana wanunuzi wenyewe sikuiz hamna usawa mbovu tofauti na hapo ntaingia hasara tu..uzuri gari mbadala wake ipo..
good to hear that. mimi nilikosea nikauza gari niliyoanza nayo maisha, mpaka leo bado naikumbuka. sijui kama bado ipo kwani ni miaka mingi sana imepita. nimebadili magari mengi na sikumbuki idadi, lakini sijawahi kuwa na furaha nazo. gari ya kwanza ni kama mke wa kwanza, huwa kuna miujiza ndani yake..
 
good to hear that. mimi nilikosea nikauza gari niliyoanza nayo maisha, mpaka leo bado naikumbuka. sijui kama bado ipo kwani ni miaka mingi sana imepita. nimebadili magari mengi na sikumbuki idadi, lakini sijawahi kuwa na furaha nazo. gari ya kwanza ni kama mke wa kwanza, huwa kuna miujiza ndani yake..
Ndio ivyo mkuu..saa ingine mtu unauza kwa influence tu..ila sio kama unapenda.
 
Mkuu Tanzania tumebahatika tuna barabara Nzuri sana (hongera kwa serikali-).

Hizi km nipo Dar huwa nafuta 250-360 kwny vipande vya Mwenge-ubungo au Quality Plaza hadi Airport.

Ila iwe ni usiku kukiwa kumetulia.

Kwa mikoani hata mchana sehemu nyingi sana za kufanyia majaribio...
Mfano ukiwa unaenda njia ya Iringa Kuna eneo linaitwa Iyovi, pale huwa naenjoy sana maana barabara ni super, Hakuna gari nyingi wala Hakuna askari wa barabarani
Nafikiri huijui iyovi ndugu....
 
Sina gari ila napenda magari sana sana pia napenda racing
Uzi huu unanita furaha sana ...siachi comment ata moja
Wakuu napenda Subaru sana nilikuwa nauloza Subaru N12 iko vp niliona kwenye racing mashindano pale station
 
Sina gari ila napenda magari sana sana pia napenda racing
Uzi huu unanita furaha sana ...siachi comment ata moja
Wakuu napenda Subaru sana nilikuwa nauloza Subaru N12 iko vp niliona kwenye racing mashindano pale station
ila ipo siku mungu atakukamilishia tamanio la moyo wako..na ww utakua una cruise tu town apa..
 
Sina gari ila napenda magari sana sana pia napenda racing
Uzi huu unanita furaha sana ...siachi comment ata moja
Wakuu napenda Subaru sana nilikuwa nauloza Subaru N12 iko vp niliona kwenye racing mashindano pale station
Me impreza sijawahi kuzipenda..ugonjwa wangu ni foresta na legacy..both with turbo.. Nikionaga ambazo hazina kipua naona ni toyota tu..
 
ila ipo siku mungu atakukamilishia tamanio la moyo wako..na ww utakua una cruise tu town apa..
Sawa mkuu nitaleta mlejesho cos ndo nimemaliza chuo nazisaka noti
 
Hahaha mkuu hii ni gari, Ziko vizuri sana hasa kwa,Safari ndefu
Mkuu vipi kuhusu ground clearance, maana naiona kama ipo chini mno!! Pia vipi performance yake kwenye rough roads?
 
na hapo ndo mwisho wa IST hata ungekanyaga vipi isingeweza kufika 180... unless ufanye ECU remap..

most of toyota's ambazo ni chini ya 1.8 ltr engine na iwe cylindr 4 hazimalizi sahani
hadi ufanye mappin
Kuna mjinga mmoja nipo safarini naenda mbeya yupo na crown tena km mpya maana Niliona number ni t...DL..., tumefika Iyovi akataka kushindana na mm Niko na Volkswagen golf....

Sikumtangulia nilimuacha amalize speed zote.....hata km 20 hakufika akasikia engine inapiga kelele..ikawa Ndio mwisho wa gari yake...

Na Hapo mm naenda nae mm nimefika 190 wakati uwezo wa gari yangu ni 300km/h
Toyota ni uchafu, Hakuna gari mle
Hio golf yako ni GTi au na ni ya mwaka gani?
 
Mkuu I've no experience na gari za Japan, mm natumia Germany brand, Volkswagen au Audi. Ungeomba ushauri wa hizi ningekupa mzuri sana.

Ila nakushauri pia angalia Volkswagen Touran, ni gari Nzuri sana na popote inaingia,

Achana na hizo gari common


ce733043c3f14cbbb4f763eef093d9ba.jpg


Hii hapa
2d398a30dbdb1ffb1e76d041be0d5fa6.jpg


Gari Nzuri kubwa, boot ya kutosha, speed 260km/h
b323a683a06497114b5b08fb107ab3eb.jpg

MKUU HEBU UTUELEZEE VZR, MODEL HII YA VW TOURAN NAKUMBUKA KUNA MCHANGIAJI MMOJA ALISHAWAHI KUSEMA KUWA TATIZO LAKE NI KWENYE GIA BOX AMBAYO NDIYO MOST COMMON PROBLEM.. HEBU TUAMBIE..

PILI MAFUNDI NAPO KUMEKUWA NA CHANGAMOTO, JE NI KWELI...

MWINGINE AKAJA NA SHUHUDA YA KUWA SPARE PART YA HII MODEL BADO NI SHIDA ESPECIALLY TAA KUBWA ZA MBELE, SITE MIRROR, TAA ZA NYUMA NI MPAKA UAGIZE KUPITIA NAIROBI AU SOUTH AFRIKA, JE NI KWELI..

VIPI BOJO JOINT NA MINOFU MINGINE YA UVUNGUNI KWENYE MODEL HII, NI RELIABLE AU NDIYO MPAKA NAIROB NA JOBERG?????

MWISHO HII GARI NINA IADMIRE SANA SABABU YA BODY LAKE KUBWA THEN NI NEW FLAVA UKICOMPARE NA MBOLEA..
 
Namba ya Engineer Issa kwa matatizo yote ya Subaru muone 0759917001 na spea zake pia
 
Gari zote nzuri kutegemea na matumizi na utunzaji angalia chaguo lako kama ni AWD or FWD.....maintenance ya subaru ni ghali ila ukiwa mtunzaji itakufaa...
Usikimbilie hayo yenye maTURBO mana kitakachofata ni maumivu bora uchukue hiyo hiyo N/A
Hizo zote resell price yake ni ya hovyo mana subaru watu wanazikimbia siku hizi mostly turbo ones, harrier hiyo imeshapitwa na wakati labda new model yake(matak* ya nyani)
 
Nin
MKUU HEBU UTUELEZEE VZR, MODEL HII YA VW TOURAN NAKUMBUKA KUNA MCHANGIAJI MMOJA ALISHAWAHI KUSEMA KUWA TATIZO LAKE NI KWENYE GIA BOX AMBAYO NDIYO MOST COMMON PROBLEM.. HEBU TUAMBIE..

PILI MAFUNDI NAPO KUMEKUWA NA CHANGAMOTO, JE NI KWELI...

MWINGINE AKAJA NA SHUHUDA YA KUWA SPARE PART YA HII MODEL BADO NI SHIDA ESPECIALLY TAA KUBWA ZA MBELE, SITE MIRROR, TAA ZA NYUMA NI MPAKA UAGIZE KUPITIA NAIROBI AU SOUTH AFRIKA, JE NI KWELI..

VIPI BOJO JOINT NA MINOFU MINGINE YA UVUNGUNI KWENYE MODEL HII, NI RELIABLE AU NDIYO MPAKA NAIROB NA JOBERG?????

MWISHO HII GARI NINA IADMIRE SANA SABABU YA BODY LAKE KUBWA THEN NI NEW FLAVA UKICOMPARE NA MBOLEA..
Ninasubiri pia. Driving in rough road je?
 
Mkuu I've no experience na gari za Japan, mm natumia Germany brand, Volkswagen au Audi. Ungeomba ushauri wa hizi ningekupa mzuri sana.

Ila nakushauri pia angalia Volkswagen Touran, ni gari Nzuri sana na popote inaingia,

Achana na hizo gari common


ce733043c3f14cbbb4f763eef093d9ba.jpg


Hii hapa
2d398a30dbdb1ffb1e76d041be0d5fa6.jpg


Gari Nzuri kubwa, boot ya kutosha, speed 260km/h
b323a683a06497114b5b08fb107ab3eb.jpg

Soccer mum's car
 
Back
Top Bottom