Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna spid ikifka nafkir 140 inafungua turbo! hapo ni kupaa!turbo inafunguka vipi?
Sina cha kuongezea zaidi.Mkuu hiyo gari ina high perfomance engine 2000cc.
Watu wengi wana iconfuse na kufikiri ni sawa na Corolla!
Hii gari ni kiboko, ina perfomance bora kuliko Chaser au gari inayolingana na Chaser.
Ukitaka kuijua Subaru piga long trip kama Mbeya au Arusha ndo uyaiheshimu.
Its a leader in its class.
Na performance inakua affected pia.Hivi hamna fundi anayerekebisha ulaji mafuta hili ni janga
ukiwa umetokea wapi?DUUUUUUUUUUUU..MM IST LITA 40 NAFIKA MARANGU NA CHENCHI NARUDISHA,,YANA NINI CHA AJABU ZAID YA KELELE
Mkuu hongera kwa kumiliki Subaru. [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
kwa hiyo kila baada ya km 5 unalipa 2000 ya petrol,duuh aya tfanye unatoka dar to songea km kama 1000,watu wa mahesabu njooni hapaRatio ya hiyo gari si nzuri Kama lorry 1km to 5.3
kwa hiyo kila baada ya km 5 unalipa 2000 ya petrol,duuh aya tfanye unatoka dar to songea km kama 1000,watu wa mahesabu njooni hapa
darukiwa umetokea wapi?
Mkuu unataka kuniambia verossa inakula mafuta kdogo kuliko BrevisConsumption yake iko juu... Specially zile zenye D4 tu... Afadhali zenye vvti... All in all niliweka lita 60.... Moro to iringa umbali wa km. 330.... Kwel nilikua nakimbia mpk 180.... Kufika iringa ngoma imewasha taa... Wakati huwa nikisafiri na verossa ya 1g fe kwa spidi hiyo hiyo natumia nusu tank tu...
Hahahahahaaaa ...!!Sasa mkuu ulitaka inywe nini, mchemsho wa utumbo?