Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Ulitaka iwe inakunywa mchemsho? Sio sahizi yako hy gari
 
Nimewahi kuwa na magari ka 5 hivi. Lakini sasa ukininyang'anya FORESTER yangu hii tutakosana. Mnaosema inakunywa mafuta, ni PM ka utafikia bei niinunue niweke ndani.
SUBARU is the best of all. Sina kipato kikubwa lakini nafurahiiii nikikalia usukani wake. Ka si vijitochi vyao, hii ndo gari ya masafa. Ni ndege ya chini. Miye nalilia fine zao tuu. Nadhani ningeshanunua nyingine
 
Nani kasema gari zenye tubro inakula sana mafuta?hv unajua kazi ya turbo kwenye gari?
 
Hiyo gari ulinunuliwa na sugar mami nini? Kama ulinunua kwa akili yako timamu basi na wewe ikomalie tu kwa kuinyima mafuta.

Daaa nimecheka sana...... watu wanamaneno humu
 
Nani kasema gari zenye tubro inakula sana mafuta?hv unajua kazi ya turbo kwenye gari?

unajua wengine tunabisha bila kujua. Turbo inaongeza ufanisi wa engine kwa hiyo si rahisi kuongeza comsuption ya mafuta.
 
Mkuu hebu funguka zaidi ni oil gani nzuri kwa subaru legacy twin turbo? pia labda tujuze madhara ya kuweka filter ya kichina.
 
Huyu jamaa si mkweli forester zote zina 60L labda hio 5 pamoja na reserve ila forester I na forester II average fuel consumption ni kuanzia 7.3-8.1 km kwa 1L ambayo ukiizidisha na either 60L au 65L full tank hapo unapata zaidi ya 430km na kuendelea sasa unless awe anaendesha kwenye msongamano mkubwa sana ndo inawezekana kutembea km 350 tu na ku refill na scenario ingine ni hilo gari ni bovu...
 
Huyu jamaa si mkweli forester zote zina 60L labda hio 5 pamoja na reserve ila forester I na forester II average fuel consumption ni kuanzia 7.3-8.1 km kwa 1L ambayo ukiizidisha na either 60L au 65L full tank hapo unapata zaidi ya 430km na kuendelea sasa unless awe anaendesha kwenye msongamano mkubwa sana ndo inawezekana kutembea km 350 tu na ku refill na scenario ingine ni hilo gari ni bovu...
Au pia yawezekana Gari bovu
 
Back
Top Bottom