Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

Brother ya kwako ni ipi mimi kwanza fultanj yake ni 50 ltrs, nimijaza full tank kwa mwendo wa kawaida natumia 1 ltr kwa 12 km na nikiendesha 160-180+ inaenda km9-8 ful burudani..

Kuna kuendesha kwa fujo hasa automatic, unaweza kujuta, ile panda shuka ya spidi ni mbaya sana manake unakamua gari rapidly speed inashoot mpaka 120, kisha unakutana na tuta au speed limit unashuka ghafla mpaka 40, hapo ni sawa na kumlisha jini damu
 
Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena

Natumia Subaru Forester Turbo STi... ni gari nzuri kati ya magari niliyowahi kutumia. Mafuta inatumia kawaida sio mbaya ila sio sawa na vitz. Nawekaga 60lts toka DAR naenda Arusha nikiwa naendesha high speed + AC, ila nafika na taa haijawaka kwa wastani hayo mafuta ya lita 60 naenda kama km 700 na zaidi.
nilichojifunza kwenye SUBARU ni gari isiyohitaji ubabaishaji..
1. fanya service kwa wakati na tumia oil nzuri sio za kupima.
2. weka fuel and oil filter ya subaru original sio za kichina.
3. weka mafuta ambayo hayajachakachuliwa.
4. endesha kistaarabu sio kwa fujo unakanyaga mafuta mpaka mwisho wakati upo kwenye low speed.
NB:- usidanganywe na mtu kuna jinsi ya kurekebisha ile mafuta kidogo. na epuka mafundi wasiojua mfumo wa gari yako utajuta.
YANGU HAYO KARIBU SUBBY WORD.
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:​
 
Natumia Subaru Forester Turbo STi... ni gari nzuri kati ya magari niliyowahi kutumia. Mafuta inatumia kawaida sio mbaya ila sio sawa na vitz. Nawekaga 60lts toka DAR naenda Arusha nikiwa naendesha high speed + AC, ila nafika na taa haijawaka kwa wastani hayo mafuta ya lita 60 naenda kama km 700 na zaidi.
nilichojifunza kwenye SUBARU ni gari isiyohitaji ubabaishaji..
1. fanya service kwa wakati na tumia oil nzuri sio za kupima.
2. weka fuel and oil filter ya subaru original sio za kichina.
3. weka mafuta ambayo hayajachakachuliwa.
4. endesha kistaarabu sio kwa fujo unakanyaga mafuta mpaka mwisho wakati upo kwenye low speed.
NB:- usidanganywe na mtu kuna jinsi ya kurekebisha ile mafuta kidogo. na epuka mafundi wasiojua mfumo wa gari yako utajuta.
YANGU HAYO KARIBU SUBBY WORD.
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:​

Mimi nina subaru wrx si mchezo ni safiiii,hiyo gari weka mbali na watoto
 
changamoto kubwa ni kutokujitambua kwa watumiaji wa vyombo vya moto. kabla ya kufanya maamuzi fanya upembuzi yakinifu lasivyo utaumia
 
Natumia Subaru Forester Turbo STi... ni gari nzuri kati ya magari niliyowahi kutumia. Mafuta inatumia kawaida sio mbaya ila sio sawa na vitz. Nawekaga 60lts toka DAR naenda Arusha nikiwa naendesha high speed + AC, ila nafika na taa haijawaka kwa wastani hayo mafuta ya lita 60 naenda kama km 700 na zaidi.
nilichojifunza kwenye SUBARU ni gari isiyohitaji ubabaishaji..
1. fanya service kwa wakati na tumia oil nzuri sio za kupima.
2. weka fuel and oil filter ya subaru original sio za kichina.
3. weka mafuta ambayo hayajachakachuliwa.
4. endesha kistaarabu sio kwa fujo unakanyaga mafuta mpaka mwisho wakati upo kwenye low speed.
NB:- usidanganywe na mtu kuna jinsi ya kurekebisha ile mafuta kidogo. na epuka mafundi wasiojua mfumo wa gari yako utajuta.
YANGU HAYO KARIBU SUBBY WORD.
:A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:​
Nilichogundua hizi gari ni AWD(All wheel Drive) na hii ndo huchangia ulaji wa mafuta nimeswitch off Diff ya nyuma so sasa natembelea Front wheel tu na ulaji umepungua kwakweli nimeacha kabisa kurekodi mafuta na kilomita ni kujaza tu ikifika robo naitafuta sheli iko wapi nikifika namwambia jaza hadi tunashindilia
 
Wewe utakuwa madili yako ya kuingiza hela yamesizi now ndio unaona the difference. Hata buku unaiona kubwa. Otherwise kapime nozzle. Huenda zimetanuka.
 
huu uzi wa siku nyingi ila kingine kwa watumiaji wa subaru zenye turbo oil inayotakiwa kutumika ni synthetic oil ambayo imetengenezwa kwa matumizi ya engine za turbo nilikuwa naweka bp na caltex mara zote nikawa naona bomba la moshi linakuwa jeusi sana kama mkaa na asubuhi gari inakuwa na hard start baada ya kuanza kutumia oil hiyo sijaona tena bomba likiwa jeusi na hakuna tena hardstart.oil hiyo ni quartz 9000 inapatikana kwnye vituo vya total bei usijali sana jali ubora inaokupatia kwenye gari
 
Duu sasa ukiendesha Land cruiser V8 5.7L si utasema tank la mafuta limetoboka
 
Unawalalamikia subaru wa nini sasa?? Kwani wakati unanunua gari hukuangalia specs zake?? Fuel consumption rate uliangalia?? Sasa unalalamika linakunywa mafuta kwa kilometa nyingi..huh,, unataka linywe MCHEMSHO,UJI,SUPU AU MTORI?? Acha linywe mafuta coz ndo limeundwa hvo..! Kama vipi uza au kodisha kama unashindwa kulihudumia...KWA MAAANA KULALAMIKA KWAKO haisaidii kitu...subaru hawawezi kuja kurekebisha hilo tatizo lako..Acha kulalamika!
 
Mie natumia Baiskeli, mafuta yangu ni jasho...

Hongera mzee, nilikuwa na suzuki diesel turbo charged nikauza maana kila fundi akiingalia anasema hii mimba, nwy nafikiri ntakutafuta maana kwa hali hii mtu ukipata gari ya diesel ni mkombozi mkubwa sana..
 
Unawalalamikia subaru wa nini sasa?? Kwani wakati unanunua gari hukuangalia specs zake?? Fuel consumption rate uliangalia?? Sasa unalalamika linakunywa mafuta kwa kilometa nyingi..huh,, unataka linywe MCHEMSHO,UJI,SUPU AU MTORI?? Acha linywe mafuta coz ndo limeundwa hvo..! Kama vipi uza au kodisha kama unashindwa kulihudumia...KWA MAAANA KULALAMIKA KWAKO haisaidii kitu...subaru hawawezi kuja kurekebisha hilo tatizo lako..Acha kulalamika!
 
Kuna kuendesha kwa fujo hasa automatic, unaweza kujuta, ile panda shuka ya spidi ni mbaya sana manake unakamua gari rapidly speed inashoot mpaka 120, kisha unakutana na tuta au speed limit unashuka ghafla mpaka 40, hapo ni sawa na kumlisha jini damu
Nakubali labda kwa vile yangu ni manual..
 
Hiyo ni subaru ya aina gani mkuu?
Ni model ya nyuma kidogo,ila nilishaiuza alig'ang'ania mtu anaitaka nikamwuzia kwa 7m .Vijana naona wanazipenda hasa wa Moshi Arusha au Nairobi yako mengi sana .
 
Back
Top Bottom