MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
Wapi naweza pata mtu wa kuifanyia diagnosis hii gari kwa computer maana ulaji huu ni sawa na 1ltr kwa 5km ni sawa kweli?msaada pse
Mkuu uko wapi? Maana ulaji huo sio wa kawaida nimetumia hizo gari hazili hivyo !