Model ipi ya subaru unaisemea mkuu, manake zipo models nyingi.Vanguard ni gari iliyoizidi Subaru Forester kwa mbali sana. Tuache yote kama performance n.k twende tu kwenye bei. Vanguard ina range kuanzia 30 - 35M wakati Forester inacheza kuanzia 17 - 22M
Bei tu ni kigezo tosha kuwa hizo gari si sawa
Nissan patrol old model manual🙌Hizo gari ni ndogo ndiyo!!! Ukizungumzia gari kubwa orodha yake ni pamoja na Nissan Patrol, Kluger, Isuzu Trooper, Land cruser nk
Kura yako wapi
Crown yoyote inammeza Vanguard kila mahali km alivyosema mdau hapo juu iwe kwenye kona, mteremko au kwenye mlimaCrown inategemea ipi maana aina za engine ni tofauti...sasa li crown majesta lina v8 mzee unalikamatia wap na 2Az yako?
Mtazamo wakonauhakika iyo subaru kwa vaguard ana kaaa
We pia Ni wale wale crame v8 inakimbia?🤔Dereva akiwa jasiri hata akiwa na run x atakukata ww na V8 yako halfu muoga muoga...
Tatzo la bongo njiani mtu anamuovertake mtu yupo na mwendo wake hata hana habari za kushindana..halfu akimkata anakuja kijiweni anasema aaah nilimkata jamaa wa V8 mm nikiwa na crown yangu 4gr 😀
Kama ingekuwa bei mjadala ungeishia ukurasa wa kwanza.Vanguard ni gari iliyoizidi Subaru Forester kwa mbali sana. Tuache yote kama performance n.k twende tu kwenye bei. Vanguard ina range kuanzia 30 - 35M wakati Forester inacheza kuanzia 17 - 22M
Bei tu ni kigezo tosha kuwa hizo gari si sawa
njoo na XT YAKOForester XT ikae kwa Vanguard. Mkuu tunajua unaikubali gari yako ila usije kujichanganya na magari mengine.
XT FORESTERModel ipi ya subaru unaisemea mkuu, manake zipo models nyingi.
ebu tuambie subaru xt ina itishiaje amani van guard? tuanzie hii ya hp170 maana kwenye 280 huko ni xt mbili na nusu😀Kama ingekuwa bei mjadala ungeishia ukurasa wa kwanza.
wewe una vanguard ya 280hp?ebu tuambie subaru xt ina itishiaje amani van guard? tuanzie hii ya hp170 maana kwenye 280 huko ni xt mbili na nusu😀
Ya mwaka gani hii?..mimi nilichukua ya 2009 kwa 25M+ mwezi November. Na nilichukua hii kwa sababu nilishindwa Vanguard. Vanguard ni habari nyingine. Hata huyo alisema anashindanisha Vanguard na Dualis amechemka sana. Utofauti utauona tu kwenye bei. Dualis bei yake ni nusu ya bei ya Vanguard.Mimi SUBARU FORESTER kama hii nilichukua Mil 40+ gari inakupa stability ya hali ya juu, haiondoki barabarani kizembe, speed, afu laini ile mbaya.
Chukua Subaru forester XT hizi kubwa zinafanana na Kluger na VanguardView attachment 2465889
Kama ni bei hakuna debate1Ya mwaka gani hii?..mimi nilichukua ya 2009 kwa 25M+ mwezi November. Na nilichukua hii kwa sababu nilishindwa Vanguard. Vanguard ni habari nyingine. Hata huyo alisema anashindanisha Vanguard na Dualis amechemka sana. Utofauti utauona tu kwenye bei. Dualis bei yake ni nusu ya bei ya Vanguard.
Ah tatizo na mafundi nao shida mzee. Fundi atafanyia mazoezi gari lako.Kwa wabongo toyota ndio kila kitu huko kwingine utasikia kelele za spare na reliability kumbe ni mifuko yetu tu ndio shida
nayo FUGA😎,wewe una vanguard ya 280hp?
Nilichoelewa ni kwamba hukunielewa nilimaanisha nn.We pia Ni wale wale crame v8 inakimbia?🤔
Sasa v8 na crown wapi na wapi?
V8 beighali ila sijaona 200series ya kuisumbua crown, brevis, mark x na magari mengi Sana Ni nyie kukariri kwenu 200 series labda isumbue wakubwa wenzie eg Prado , na magari mengine SUV
SUV huwa siwezi compare na sedan.Crown yoyote inammeza Vanguard kila mahali km alivyosema mdau hapo juu iwe kwenye kona, mteremko au kwenye mlima
ForesterKati ya hii forester 2014 au bmw x3 2012 unasimama wapi, japo bmw bei ipo juu kidogo?
View attachment 2467072
Vanguard ya mwaka upi na Forrester ipiKama ni bei hakuna debate1
1.vanguard
2.forrester
3.dualis
Forester ipi unayoizungumzia wewe???Vanguard ni gari iliyoizidi Subaru Forester kwa mbali sana. Tuache yote kama performance n.k twende tu kwenye bei. Vanguard ina range kuanzia 30 - 35M wakati Forester inacheza kuanzia 17 - 22M
Bei tu ni kigezo tosha kuwa hizo gari si sawa