Sugu akutana na Mzee Joseph Butiku, atoa ofa kwa Taasisi ya Mwl Nyerere

Sugu akutana na Mzee Joseph Butiku, atoa ofa kwa Taasisi ya Mwl Nyerere

Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Ungefanya la maana sana kama mwandishi msomi kutuwekea hapa tafsiri sahihi ya bilionea na kudhirisha kuwa Sugu siyo bilionea,ingependeza zaidi.
 
Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Umeipendezesha jibu lako.

Kuita Wafanyabiashara 'Bilionea' ni ushamba tu ndio ulimbukeni wenyewe huo.

Hata akiwa ni Rostamu.

Kwanza inafundhisha wizi na ufiasadi tu, manake kuna vijana watakao kuwa wanafikiri wapate hizo bilioni bila ya kuzitolea jasho alimradi waje waitwe mabilionea.... bila ya kupambana kana kina Kishimba!

Ashukuriwe Bwana Sugu kwa gesture nzuri.
 
Hata kwenye mafanikio bado hajafikia 100%. Kuna siku alitudanganya ana biashara zake za malori alitaka kuzihamishia nchi jirani. Ila tunavyomfahamu yule bwana hata angekuwa na biashara za bajaj tu kila siku tungeona mitandaoni. Anajaribu kupambana ila anaweka sifa nyingi fake kuliko mapambano yenyewe.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Wacha wivu wa kichoko wewe
 
Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Billionaire kumbe ni mhindi na mwarabu?
Mweusi hawezi kuwa billionaire hata kama ac yake banki inasoma zaidi ya billion.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na Bilioni mbili kwwnda juu wewe ni bilionea. Ukiwa na elfu mbili kwwnda juu wewe pia wewe uko kwenye watu wenye elifuonea then laki kianzia mbili ni lakionea etc ila mo ni Dollar Bilionea
 
Hata kwenye mafanikio bado hajafikia 100%. Kuna siku alitudanganya ana biashara zake za malori alitaka kuzihamishia nchi jirani. Ila tunavyomfahamu yule bwana hata angekuwa na biashara za bajaj tu kila siku tungeona mitandaoni. Anajaribu kupambana ila anaweka sifa nyingi fake kuliko mapambano yenyewe.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Unajua ndio kwanza tunaanza , sasa ukianza kulia mapema hivi huko mbele machozi yatakukauka , wallah tena !
 
Sugu ni Mr two proud kutwa JF kujisifia akipata kaugeni kidogo tu nongwa halafu muandiko wake ni ule ule mfanyabiasha wa kimataifa na muwekezaji bilionea hahahhahahha😁mi huwa ananichekesha
 
Eti Sugu nae sasa ( siku hizi ) anaitwa Bilionea. Najua kuwa Sugu ana Hela ( GENTAMYCINE simfikii ng'o ) ila bado hana Hadhi ya Kuitwa Bilionea unless labda hatujui maana ya Bilionea au tunahitaji Msaada wa Kiufafanuzi kutoka BAKITA na BOT juu ya maana na dhana nzima ya neno Bilionea na Mtu Kuitwa Bilionea.

Kwangu Mimi Sugu akiitwa Mfanyabiashara au Mjasiriamali mwenye Mafanikio nitakubali tena kwa 100% ila leo hii kumuita Sugu Bilionea ni Kulidharau neno husika na Kuwadharau wale Mabilionea hasa kama akina Bakhressa, Mo Dewji, Rostam, GSM na wengineo baadhi.
Mbona mimi bilionia wa kubomu, lakini bado ni bilionia. Kwani ubilionia unakata leseni wapi!
 
Na ya kwako je!!?
Usibishe, jamaa yupo sahihi. Nilienda , pa kawaida sana tena sana...sio nyota tatu hio hotel...watu wa live band walikua wapiga pale pia nimewatumia kwenye pub yangu , pa kawaida sana.Labda ujatembea
 
Back
Top Bottom