Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

Status
Not open for further replies.

Sioni kama hiyo ni kweli ,mtoto anaonekana wa miaka kama 6-9
 

Ndio hvyo ingekua mtoto analelewa vizuri mahakama inge balance n kumpa faiza haki.....ila kuna mengi sisi hatujui yatakua yamemyima haki huyo chizi.
Sio kila mwanamke anafaa kua mama na huyo faiza hana akili kuweka mahusiano mtandaoni.
Cku zote uhusiano wa wawili mnajadiliana nyie sio kuhusisha wa2 n kujivua nguo,

Hiyo mahakama imetenda haki tena ingekua mimi ndio sugu hata mtoto asingemuona kwa miaka ila ajifunze
 
Wakuu;

Binafsi nampa hongera mbunge Sugu kwa kufanya uamuzi huu na pia Mahakama iliyotoa hukumu imetenda haki kwa mtoto.

Tuache ushabiki, kwa kweli hapa hakuna maadili. Lazima mtoto atalelewa katika maadili mabovu. tunajenga nini kwa kizazi cha watoto wetu??

Je, huyu mama wa mtoto ndiye huyu member wtu humu FaizaFoxy



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwanamke alitumiwa kumchafua sugu sasa kibao kimegeuka huwezi kukaa uchi wewe aibu umpe mzazi mwenzio hata kidogo, anadai ana ndoto nyingi na mwanae ndoto gani kwa mavazi haya mbele za mtoto? Anataka mtoto aje aige haya baadae amgeuze mtoto kitega uchumi, waje kuwa na tabia kama za Lulu kuhongwa na waume za watu ili mama aishi poa, hapana aisee kila mwenye mtoto lazima akemee hili, ndio inauma kwa alichofanyiwa kama mzazi ila yeye faiza ndio kapelekea maumivu haya akae augulie ajipange upya kimaadili. Sugu hongera ungechelewa mwanao angekuja kuwa binti bila kujua bikra yake ilitokaje.
 

Soma post namba 98
 
Sheria zingine zingo gender biased tu

Pole faiza
Hapo sheria imechanganywa na mambo ya kimaadili zaidi na sidhani kunyang'anywa mtoto na mahakama inamaanisha Sugu atakaa nae milele mtoto, endapo katika kipindi cha muda mfupi ujao kama ataonyesha kumhitaji mtoto wake na akajipanga kwenda kumdai bado watamrudishia, hapo fanya kama bro wako ndo alikuwa demu wake kama shangazi mtu unamwona wifi yako wa zamani amepiga pamba za namna hiyo utajisikiaje na bro wako amemwachia mtoto (hata kama maisha ya sasa tunasema kila mtu na maisha yake lakini bado ile hali ya undugu ndugu wa kiafrika tunayo lazima utakuwa una mashaka hata kama kweli anamlea kweli)

Katika situation kama hizi sheria ya mitandao ndio inafaa maana picha za ajabu ajabu kwenye mitandao ya kijamii na magazeti ya rangirangi zipungue na kulinda maadili ya taifa tubaki na za kwenye whatssup tu na kutumiana kwenye email
 

Theheheheehehe nimecheka sana kwa maandishi yako.
 
Last edited by a moderator:
ukisoma comments za wadada humu utagundua aina ya wamama tulionao kwa maisha ya sasa.

huwezi kuwa unategemea mtoto ndio awe mtaji wa kukufanya wewe uishi na kufanya ujinga mwingine.

mtoto wa kike hawezi hata siku moja kulelewa na mama wa hivi utegemee atakuwa na maadili yoyote kwa jamii.

ni aibu kumtetea mama wa hivi ati kisa ni mwanamke mwenzio
 
Vijana wote mnapokuwa mnaangalia mwenzi wa maisha msitizame sura na muonekano wa nje.
Haya yamemkuta Sugu lakini naamini wengi wanajuta kwa kuoa watu wanao draw attention ya public.
Beaten once twice shy,pole SUGU!!!!
 

Huyu mama inamuuma maana Mara nyingi watu wa jinsi yake hutumia kisingizio cha mahitaji ya MTOTO lakini ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya anachopewa mama kwa ajili ya malezi ya mtoto huwa anakitumia mama! Hapo mtoto anatumika kama kitega uchumi. Namshauri huyu mama akabidhi maisha yake kwa Yesu ili aokoke! Lakini nadhani uvaaji huu hajauanza leo na baba mtoto anajua hivyo, pamoja na kujua hivyo aliridhia awe mama watoto wake. Sasa asijifanye kushtuka leo. Mimi Nadhani sababu aliyotoa ni kisingizio tu! Sababu halisi anaijua mwenyewe! Sikubaliani kabisa na mavazi hayo, lakini kwa baba mtoto hayo mavazi nadhani anayakubali vinginevyo atoe ushahidi kuwa hii ni tabia ngeni kwa mama huyu. Na kama mama mtoto akiweza kuthibitisha kuwa hayo ndiyo mavazi yake ya kutokea na ndiyo yaliyomvutia Sugu, basi anaweza kushinda rufaa!
 
sugu na yeye alifikilia nini, kuzaa na huyo mwanamke mwezi mchanga.
 
Hiv kweli hii pia inahitaji mtu hadi uwe na uelewa mkubwa?
Prints hizo picha nenda Nursery School waonyeshe watoto bila kusema chochocte haalafu waandalie debate juu ya kwamba Je huyu Mama ungependa akuleeee?ungeona balaa.
Dem kimeo,na kama kawaida ya still pictures hadi wajuu yaaniw atoto wa huyo Mwanae watazikuta picha za Bibi yao.

Hongera Sugu kwa Kushinda kesi,na Mungu akupe baraka na nguvu ya kumlea Mtoto katika Mapenzi mema na malezi yaliyo Bora sana.

Tuachae ushabiki wa kijuha,sio kila kitu Siasa
 
naweza kukubaliana na mahakama kwa upande wa kipato..kwamba faiza hana kipato cha kumlea mtoto vizuri..lakini kwa aadili,sioni kama sugu ana maadili mazuri kushinda ya mama yake.wanasema anapulizaga kwa sana..sasa unadhani kwa mazingia hayo mtoto yuko kwenye mikono salama?..shughuli za kibunge zilivyo sugu lazima awe ana safiri sana na muda mwingi hayuko nyumbani,je atakua anaandamana na mtoto?..akimwacha hao anaowaachia ana uhakika mtoto atakua salama zaidi kuliko mkononi mwa mama yake?..ningekua shangazi wa mtoto ningeomba tuyajadili kama familia...kw aajili uya mtoto na sio kupelekana mahakamani maana naamini ina athari kwa saikolojia ya mtoto....still naamini hakuna mtu anaweza mpenda mtoto kuliko mama yake mzazi!...miezi tisa tumboni si mchezo..labour sio mchezo
 
Safi sana Sugu janamke popo kama Hilo halifai kukulelea mwanao jiulize alimwacha mtoto na nani wakati anaenda kuonyesha masaburi yake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…