Sugu azidi kutikisa Marekani, Atafuta uwekezaji kwenye Afya na Utalii

Sugu azidi kutikisa Marekani, Atafuta uwekezaji kwenye Afya na Utalii

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu jamaa ni zaidi ya Royal Tour, ziara yake ya siku chache tena bila gharama kubwa ya kuumiza Nchi, Imezaa matunda ya kutisha!

Hapa akiwa na Mbunge wa Jimbo

Screenshot_2025-03-04-23-22-57-1.png


Hapa akiwa na Mstahiki Meya

Screenshot_2025-03-04-23-22-21-1.png
Screenshot_2025-03-04-23-22-30-1.png
Screenshot_2025-03-04-23-22-39-1.png
Screenshot_2025-03-04-23-22-43-1.png
 
📣Peoples

Ningefurahi zaidi mwamba na Raisi ajaye Mh. Lissu angekuwa anatiletea mapicha picha kama ya sugu.

Kuuliza sio ujinga, hv safari zake huwa zinaishia Ubeligiji tyu?
 
Zelenski amehaidi 50% ya rare earth minerals. Ndio apatiwe msaada.

Sisi CHADEMA tutatoa ahadi zipi. Tambua mkoa wa mbeya umebarikiwa na rare earth minerals, labda hata kuishinda Ukraine.

Sugu mnafikiri atatoa ahadi zipi kufanikosha azma yake ya kupata misaada?💭
 
Back
Top Bottom