Wang Yi
Senior Member
- Jan 12, 2021
- 197
- 430
Nchi ipo kwenye Autopilot mode. Rubani amesinzia kidogo akishtuka dege linakaribia kuzama bahariniaisee hata ksma sio mwana ccm kwa jinsi maisha yalivopanda kuandamana ni muhimu tusikae kimya[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ipo kwenye Autopilot mode. Rubani amesinzia kidogo akishtuka dege linakaribia kuzama bahariniaisee hata ksma sio mwana ccm kwa jinsi maisha yalivopanda kuandamana ni muhimu tusikae kimya[emoji1787]
🤣🤣 na watu watakufaNchi ipo kwenye Autopilot mode. Rubani amesinzia kidogo akishtuka dege linakaribia kuzama baharini
Ngoja tumuulize zuchuHabari zenu,
Hivi ni kweli kwamba sukari 1kg ni 5000 au ni mtaani kwetu tu?
Nilinunua sukari 15kg kwa muda kidogo, leo nimeenda tena kununua aisee nimestaajabu sana.
Bado kuna watu wanazuia maandamano kwenye hii nchi.
We Mnyaturu kwani umesikia sukari ni kwajili ya matumizi ya chai tu 😂!!?Acheni kutumia
Ova
Eti ulimtuma akanunue kwa mteja wako...Jana asubuhi nilimtuma mtoto na shillingi 8,400 kununua sukari kilo tatu nikifahamu mteja wangu huwa ananiuzia sukari Tshs. 2,800 kwa kilo.
Mtoto alirudi mikono mitupu akanieleza kuwa sukari imepanda bei na sasa kilo moja ni Tsh. 3,500. Nilishtuka sana na mpaka sasa sijaamini.
Nina maswali yafuatayo kwa Serikali:
1. Ongezeko hili limesababishwa na nini?
2. Je, kama Serikali mlitoa taarifa kwa wananchi kuhusu ongezeko hili?
3. Je, mnajua wananchi wengi hawataimudu bei hii?
4. Je, Serikali haijui kuwa Wananchi tunakosa imani na Serikali yetu?
Ninaomba majibu ya maswali yangu.
Wana addiction hawaSukari tu unalia lia, badala ya kulilia vitu vya maana unalilia sukari ambayo matumizi yake makuu ni chai tu.
Sukari inatumika kwenye viwanda vya vinywaji tofaut tofauti, vitafunwa, Bia pia nadhani sasa wewe sukari unawezaje kuikwepa.Acheni kuitumia wenyewe watashusha bei
Mwenzako baharia hapa sukari syo mtumiaji sana kg 1 naweza kaa nayo mpaka miezi 3
Ova
Li stori la kutungaEti ulimtuma akanunue kwa mteja wako...
Hii ndo Kiswahili gani ss
Sukari ipi unayomaanisha?Hama Masaki Mkuu Huku Vingunguti Ukinunua Sabuni Unapewa Sukari Kama Bonus
Hapo sasa ndiyo utumwa wa mbongoSukari inatumika kwenye viwanda vya vinywaji tofaut tofauti, vitafunwa, Bia pia nadhani sasa wewe sukari unawezaje kuikwepa.