Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

Tafuteni pesa vijana...
Tangia lini vitu vitamu vinapatikana kwa bei rahisi..?
K mnanunua tena kwa pesa ndefu ila sukari mnataka ipatikane rahisi..?
Kidumu chama tawala
 
Basi tuandamane kupinga kupanda kwa bei ya sukari
Ukiandama kupinga kupanda bei ya sukari itabidi baadaye tena uandamane kupinga vifuatavyo:-

1. Kupanda bei ya Soda kufuatia kupanda bei ya sukari.

2. Kupanda bei ya vitafunwa (mikate, maandazi, vitumbua, keki nk) kufuatia kupanda bei ya sukari.

3. Kupanda bei za madawa ya syrups kufuatia kupanda bei ya sukari.

4. Kupanda bei za sharubati kufuatia kupanda bei ya sukari.

5. Kupanda bei za sweets kufuatia kupanda bei ya sukari.

6. Kupanda bei ya wanzuki (inayotumia sukariguru) kufuatia kupanda bei ya sukari. Whatnot?

NB.
Miili yetu inapokea sukari kwa 99% ya vitu tunavyokula na kunywa hivyo sukari ni maisha (Sugar is Life)
 
Huwezi pata akili kama hupitii nyakati ngumu.
Mkuu.

Ugiriki (chanzo cha maarifa yote duniani) imepitia nyakati ngumu mara 2 na bado imeshindwa kuinuka tena mara ya pili. Imekuwa kama mkiwa ndani ya EU. Mwanzo iliangushwa na nguvu ya Dola la Kirumi.

Ugiriki iko kwenye jumuiya 3 zenye nguvu kiuchumi lakini bado inapita kwenye nyakati ngumu hata leo:

1. EU tangu wazo la kuunganisha Europe linaasisiwa 1981 na kuanza kuungana rasmi 1993.

2. Euro Area tangu 2001.

3. Schengen area tangu 2000.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kua kuadimika au kupanda bei sukari ni ishara ya maendeleo kua sasa mwananchi wa kawaida (mnyonge kwa msamiati wa sasa) yuko vizuri nae anakunywa chai, kinywaji kilichokua cha mabepari pekee.
Na wanyonge Waka shangilia. Labda sasa wameongeza vikombe zaidi vya chai [emoji23] [emoji23]
 
Rebaging inafanyika kwa products nyingi sana za matumizi ya binadamu. Na wanaoumia n watumiaji wa mwisho. Ntakupa mfano, ngano inafanyiwa rebagging. Inavokuja from Dar, wenye uwezo wa kuagiza mende, wanaagiza, wanashusha, wanakua na mifuko yao wanachota kidogo kidogo lets say robo kilo kwa mfuko. Sasa mende ina mifuko lets say 2000 wat do u expect?
Wa madukani wanauziwa hvo hvo nao wanaenda kutegesha ka mzani ili wapate chochote.
Hata mafuta ya kula hivo hivo, kama usiponunua kwa super agent, wengi waliobaki wanachota kidogo kidogo na usipokua mjanja huez kujua.
 

Usitumie sukari , sukari ni sweet poison
 


Yote haya ni karma ya kuivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu , Muungano ni laana
 
Usitumie sukari , sukari ni sweet poison
Ninachoshangaa ni kuwa hao hao wazungu waliobuni sukari wakisema ina umuhimu mkubwa kwa afya za wanadamu ndiyo hao hao leo wamegeuza kibao na kutuambia ni sweet poison.

Swiss asilimia kubwa ya GDP yake inategemea sweets ambazo zinatengenezwa na products za sukari. Swiss ni supplier mkubwa duniani wa sweets na wazungu ni wateja wakubwa wa sweets za Swiss.

Wazungu walituletea misahafu wakatuandikia kwamba ndoa za jinsia moja ni dhambi na serikali zetu zikatunga sheria dhidi ya ndoa za aina hiyo, leo wanarudi kwa mlango wa uani kutuambia ndoa za jinsia moja siyo dhambi na kwamba sheria na misahafu zibadilishwe ziruhusu ndoa hizo.

Kutegemea akili za wazungu kama Alpha na Omega iko siku watatuambia kuwa tuwatenge wake zetu maana wanachembechembe zinazofupisha maisha yetu wanaume ndiyo maana tunaishi muda mfupi kuliko wao wanawake.

Jamani tuchukuwe la nani tuache la nani?
 
BAGAMOYO SUGAR mnatuangusha!!
Ongezeni uzalishaji kisha punguzeni bei, mnaweza kuuza Kg.1 Shs. 2000/=. Kwakufanya hivyo naamini makampuni mengine pia watashusha bei bila kupenda.


Hata huvyo tunaiomba wizara ya Viwanda na Biashara kufuatilia upandaji bei kiholela wa bidhaa zote na ushibitiwe.
 
Yote haya ni karma ya kuivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu , Muungano ni laana
Zanzibar hamuhitaji sukari? Mwezi mtukufu sukari ni dhambi kwenye futari na daku? Inawezekana eti muungano ndiyo umeleta mvua nyingi zilizofurikisha mashamba ya miwa na sukari kuhadimika?

Kwa mtazamo huo! Kweli muungano ni laana nakubaliana nawe Jagina!
 
Mkuu.
Posa mke mzuuuriii nakulipia mahari.
 
Zanzibar kiko kiwanda cha sukari , laana za muungano ni nyingi na laana kubwa ni kupata viongozi wasio na vision na wezi
 
Viwanda vya sukari ni nani anatakiwa kujenga au kumiliki? Serikali kazi yake ni kuweka sera bora, ili sisi tunaojiita matajiri ndio tunaotakiwa tuwekeze kwenye ujenzi wa viwanda, kuliko kuwekeza tu kwenye ujenzi wa majengo (hoteli) n.k

Kwa uzalendo tu, wanatakiwa wapatikane matajiri 20, na kila mmoja ajenge kiwanda chake; hapo tatizo la sukari litakuwa limeisha.​
 

wanaosema hayo si wazungu ni wataalamu wa afya , au Janabi ni mzungu ?? MZUNGU YUPI ALIANDIKA MSAHAFU , WACHA KUPAKAZIA
 
Mwezi huu mwisho sukari inaingia kutoka Nje ,hakuna haja ya tamko
 
Mbona kama naanza kumchukia huyu mama...sijawahi kumsema vibaya..ila anatafakarisha aisee..suala hili la sukari anashindwa kuagiza nje ya nchi kureplace damage iliyopo...ametulia kama hayuko Tanzania...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…