Safi sana professor Janabi kwa kuishauri na kuishinikiza Serikali kuongeza bei ya sukari na mafuta ya kula. Usiishie hapo hakikisha nyama inapanda hadi elfu 30.
Haiwezekani watu kufa vifo vya kizembezembe tu kwa kula hovyohovyo unhealthy foods.
Janabi the national treasure.
Victoire