Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Muasisi wa sukuma gang ni msukuma
 
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Genge S ndio lina makabila mengine lakini hasa wengi (97%) ni wasukuma. Ni vigumu kutenganisha hili genge na ukabila.
 
Aisee,
We ni Sexless jaribu uwe Sex kwanza pumbavu sana loophead
 
Siyo itikadi ni ukosefu wa akili na ni ujinga

Kiongozi lazima afuate rule of law kinyume chake ni ukosefu wa akili na ujinga

Hakuna kuitikadia uvunjifu wa sheria, sukuma gang ni kama panya road, wote ni criminals

Kabila la wasukuma hapo limekua mbuzi wa kafara tu, ila ni criminal mentality ambayo inapaswa kukemewa
 
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Nyanabe/Nyanoko.

Kwani lazima uandike uzi wa kishamba hivi?.

Umeshaipromote sasa, ndio utajua unaichukia au la.
 
Alivyoenda bwawa la Nyerere alimvyomtaja chuma watu wakapiga vigelegele huko kusini hadi akapatwa na aibu ...huko nako Rufiji walikuwepo wasukuma? Hivi sukuma gang ni kanda ya ziwa tu?
 
Sukuma gang itaungana na msoga gang kuwapelekea moto machadema kwenye uchaguzi mkuu 2025!
 
Wasukuma watawashikisha ukuta chadema na uchaga wao mwakani na 2025.

Kwa kua sasa chama cha kichaga kimegundua hakina nafasi zaidi ya kukubaliana na CCM ili angalau 2025 wakikosa chochote Samia aendelee kuwakumbuka.

Chadema na wachaga ndio wamepanda huu ukabila. Cha ajabu, Mbowe maandamano, mikutano ya siasa na kampeni anazindulia Usukumani hadi sasa sijasikia mkutano wa kisiasa Kilimanjaro ama Arusha ila kila siku Mwanza, Shinyanga, Kahama, Geita, Simiyu, Tabora nk.

Mikutano ya msingi kama ya wanawake ndio anapeleka Moshi, mikutano ya fujo, uharibifu anapeleka Usukumani wakati huo huo anawatukana wasukuma.
Mmeufyata kwa akina January na Nape sasa mnasingizia CDM.
 
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Acha uongo, na hiyo 'Sukuma' ilitoka wapi. Endelea kulamba asali huku maisha yakizidi kuwa tete kwa wananchi.
 
Jina Sukuma ni kwa sababu mpendwa wetu alikuwa Msukuma. Tuheshimiwe, tupo wengi na nchi ni yetu.
 
Hamjui kama chadema mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe kwa kuhusisha kabila la wasukuma na sukuma gang so wasukuma wengi wanaanza kuona mmewabagua na mmewaweka kundi hilo kumbuka wasukuma tupo wengi?you spirit hii mnauoijenga mmetumia akili fupi sana hamuoni mbele
 
Cha ajabu, Mbowe maandamano, mikutano ya siasa na kampeni anazindulia Usukumani hadi sasa sijasikia mkutano wa kisiasa Kilimanjaro ama Arusha ila kila siku Mwanza, Shinyanga, Kahama, Geita, Simiyu, Tabora nk.
.

Mchepuko ndio unaohongwa sio mke kwa sababu mke tayati yupo ndani.
 
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Hii kitu kinamwagiliwa maji na malkia mwenyewe akifikiri anajijenga kumbe hola na washukuru wasukuma ni watu kidogo hawafikiri kwa undani ingekuwa sisi wachaga wangeomba poo
Lakini hiki kitu kama Kuna watu serious nje ya ccm wangeitumia vzuri sana Sasa kwa Sasa wote wamekuwa chawa wa ccm
 
wasukuma wapi wewe, sis wasukuma tupo na hilo genge la sukuma gang tunalijua ni kundi la waimba mapambio ya magufuli kama kina kabudi,ndugai,sabaya na wapumbavu wengine wakiwemo wasukuma wenzetu ndio maana sis wasukuma hilo genge tulishalipuuza na kama hamjui huku kanda ya ziwa chadema ndio kila kitu na mikutano mmeiona ilivyofurika wasukuma huku ccm mmeshindwa hata kuitisha mikutano huku maana mtaambulia aibu.
Wasukuma hawaongeagi ujinga kama huu,wewe wala huwezi tenganisha Sukuma Gang na kundi la wasukuma.....Nenda usukumani kote Kataje Jina la JPM mahali utajua nnachoongea,bado Kuna nyumba nyingi sana zinakalenda na picha JPM ukutani....ukiwauliza mbona zishaisha muda wake wanakwambia huyu ndo anafaa kukaa kwenye nyumba yetu kalenda Update tutaangalia kwenye Simu.
 
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu.

Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni Polepole, Ndugai, Bashiru, Mnyeti, Happi, Kabudi, n.k.

Lakini wapo Wasukuma ambao pia ni wafuasi watiifu wa itikadi hii ya sukuma gang. Sina haja ya kuwataja.

Nimeandika haya ili kuondoa dhana inayotaka kujengwa na baadhi ya watu ama kwa upotoshaji wa makusudi au kwa bahati mbaya kuwa kuwachukia wafuasi wa Sukuma gang ni kuchukia Wasukuma. Hili siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni kupanda mbegu ya ukabila.

Mm Sexless mwandishi wa uzi huu nawachukia Sukuma gang na muasisi wao ingawa nami ni Msukuma.
Ile inaitwa Magufulification ilishindika a ndio ikawa hiyo Sukuma gang..

Ndio maana Kuna msoga gang nk japo ukweli inabakia kwamba wengi wa wafuasi wa Mwendazake ni Wasukuma na hiyo ni kutokana na tabia yake ya kuendekeza ukabila..

Sukama gang kubalini mumeshapigwa bao 🤣🤣
 
Back
Top Bottom