Sukuma gang ni kina nani?

Sukuma gang ni kina nani?

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau Nawasabahi

Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?

Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
 
Wadau Nawasabahi
Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?
Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
Kwani unataka kujua Chama? Baadhi ya members niwajuaawooo ni covid19 na team leader ni shotiii aka nzee ya gerejii. Kwa uchache waweza anziaa hapo🏃🏃🏃
 
Wadau Nawasabahi
Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?
Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
mkuu hilo neno ni propaganda za kihuni zilizoanzishwa na wanasiasa kwa kengo maalumu ambao walikuwa mlengo wa kushoto na JPM kuanzia upinzani hadi ndani ya ccm na kama ni mmoja wao chagua ulipo wewe mwenyewe hakuna cha ofisi wala kiongozi yeyote neno hili lilianzishwa kwa lengo maalumu ili RAISI aliyetwaa madaraka kupitia katiba ya jamhuri ya muungano tarehe 17.03 2021 aone hao waliokuwa karibu na utawala wa jpm hawafai na hawezi kufanya nao kazi na hilo lilifanikiwa kwa asilimia 100.
 
Kiongozi wa Sukuma Gang ni Magufuri akiwa na wasaidizi wake kama vile Humphrey Polopole,Cyprian Musiba,Paul Makonda,Aleksanda Mnyeti,Gwajima kwa lengo la kuimarisha Kanda ya Ziwa na kabila la Wasukuma ili kuondoa rasilimali zilizoasisiwa kwenye Mikoa ya Kilimanjaro,Arusha,Tanga na Dar es Salaam kwa ajili ya kuifanya Chato kuwa Makao makuu ya nchi ya Tanzania.
Wadau Nawasabahi
Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?
Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
 
Hongera wenye vyeti feki lakini pole sana kwani mwasisisi wa vyeti feki yuko Chato na wenye vyeti feki wanasota mitaani wakililia mwamba afufuke pole sana maana kuna nafasi ya kwenda kulala karibu na kaburi lake kule Chato,bado nafasi hazijaisha.
 
Ni kundi dogo la kufikirika (mtandao), much as hawajajiweka hadharani (a mythical network with faceless members) lililomeguka kutoka kwenye CCM mpya; hili zaidi likiwa na wanamtandao wengi kutoka kanda ya ziwa.
Lengo lao hasa ni kusaka fursa kuelekea 2025!
 
Kiongozi wa Sukuma Gang ni Magufuri akiwa na wasaidizi wake kama vile Humphrey Polopole,Cyprian Musiba,Paul Makonda,Aleksanda Mnyeti,Gwajima kwa lengo la kuimarisha Kanda ya Ziwa na kabila la Wasukuma ili kuondoa rasilimali zilizoasisiwa kwenye Mikoa ya Kilimanjaro,Arusha,Tanga na Dar es Salaam kwa ajili ya kuifanya Chato kuwa Makao makuu ya nchi ya Tanzania.
Nakataa Nchi yangu nzuri ya Tanzania kugawanywa ktk makundi ya KIKABILA, KIDINI, JINSIA, UKANDA, RANGI n.k nk.

Nawaonya VIONGOZI waache kushabikia makundi haya ktk Nchi.

Wasikae kimya WATOKE kukemea.


Umebarikiwa Tanzania. Ameeeen.
 
Tukumbushane.

Wakati mijadala mingine ikiendelea kama kawa,

AGENDA kuu Kwa sasa ni KATIBA mpya.

RASIMU alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo,

Ameeeen.
HILO NENO TUNATAKA KATIBA MPYA KATIBA YA WANANCHI
20220512_073430.jpg
 
Wadau Nawasabahi

Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?

Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
Hilo kundi halipo na halijawahi kuwepo na halitakuwepo ni mkakati umesukwa na watu wachache ili kuua hoja mahususi za wananchi ikiwemo udhaifu wa baadhi ya mawaziri, kuua hoja za ziko wapi Bilioni 260 za CSR za Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere, ziko wapi Trilioni 1 na ushee anazotakiwa kulipa Mkandarasi kwa kuchelewesha mradi.

Hoja za wakulima wengi kushindwa kulima kutokana na mfumko mkubwa wa bei ya mbolea hadi kufikia 140,000 na ushee kutoka 50,000 na mauchafu mengine mengine ndio wameunda huo msemo kama njia ya kunufaika na kutobainika udhaifu wao kiutendaji ili kupengeneza presha ionekane hawa watu wa Magufuli..

Ukitaka kuwakamata hao wanaotengeza huo uzushi waulize ni Nani aliyemuweka Mh Samia Suluhu Hassan kwenye nafasi ya Makamu wa Rais, na sasa ni RAIS wa JMT nani aliyemuweka Majaliwa kwenye uwaziri Mkuu, nani aliyemuweka Tulia Ackon kwenye Unaibu Spika na sasa Spika, nani aliyemuweka Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma, nani aliyemuweka DGISS, nani aliyemuweka IGP, nani aliyemuweka CGI nani aliyemuweka Januari Makamba kwenye uwaziri kamili, nani aliyemuweka Nape kwenye uwaziri kamili.... kama kwanini hao wote hawaitwi Suguma Gang.

Kwanini kila siku watajwe Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Polepole, Gwajima

Wambieni wajibu hizi hoja za kwanza za wananchi ndio turudi kuanza kujadili huo ujinga wao









 
HILO NENO TUNATAKA KATIBA MPYA KATIBA YA WANANCHIView attachment 2291484
Uchakachuzi ulioingizwa na wasioitakia MEMA Nchi yetu ufutwe, Arudishwe Judge Warioba.

Afukue kwa saver Yale maoni alokusanya Kwa wananchi, wakachambua magwiji wa Sheria kina Prof. Mvungi marehemu,

Tunataka tuendelee kuanzia Hapo. Amen
 
Desperate people katika uongozi wa JPM na aina ya siasa yake aliyokuwa anaifanya,Wengi wao kutoka chadema chama cha upinzani:sasa wanachafua kabila safi la wasukuma,walikosa matumaini/kata-tamaa/legea/vurugwa na kutandikwa na siasa za JPM,Sasa wakawa wanandandia huku na huku wapate mwokozi mara wanaibuka na kigogo,mara wanaibuka na blueprint of biggest bitch tanzania mange,kiufupi walikuwa hoi bin taabani walikosa njia za kupambana naye,JPM mimi nilimuona MYOPIA & LOW Intelligence:Hivyo nadharia ya kuchafua kabila la wasukuma ni zao la desperate people... DESPERATE PEOPLE DO DESPERATE THINGS!
 
Desperate people katika uongozi wa JPM na aina ya siasa yake aliyokuwa anaifanya,Wengi wao kutoka chadema chama cha upinzani
Hapa jukwaani hiyo propaganda ilienezwa sana na Mshana Jr, ambaye ni senior tribalist hapa jf, kwa kushadadia kwamba kila aliyemuunga mkono Hayati Magufuli basi ni sukuma gang, bila kujali kama ni mmakonde au mfipa!
 
Hapa jukwaani hiyo propaganda ilienezwa sana na Mshana Jr, ambaye ni senior tribalist hapa jf, kwa kushadadia kwamba kila aliyemuunga mkono Hayati Magufuli basi ni sukuma gang, bila kujali kama ni mmakonde au mfipa!
Huyo Wakujiita Mshana Jr ni Mbumbumbu,Thickheaded na guruguja ndani ya raia wengi waliopo Tanzania...Ni wa kupuuzwa ila akivuka Mstari Mwekundu,Nikushugulika naye.
 
Ni kundi dogo la kufikirika (mtandao), much as hawajajiweka hadharani (a mythical network with faceless members) lililomeguka kutoka kwenye CCM mpya; hili zaidi likiwa na wanamtandao wengi kutoka kanda ya ziwa.
Lengo lao hasa ni kusaka fursa kuelekea 2025!
Haaaaa wewe bwana mdogo unachekesha sana ..sukuma gang linamiliki asilimia 90% ya watu waliokataa chanjo na linamiliki asilimia 20% ya walio kubal8 chanjo sasa unasemaje ni kundi dogo ...samia asipo taka kuacha uhuni atakwenda na maji
 
Mambo yao waachie wenyewe, wasikuumize kichwa...
 
Hili ni neno walilo tohoa wahuni aliosema polepole walitumia kama kinga yao, ila kuna mijusi inashabikia bila kujua kama ilikuwa kampeni ya watoto wastaafu wa jeshi wanapenda kula bila kunawa maana wanaona wao ndiyo wanastairi kula mema ya nchi hii kuona kama baba zao ndiyo walikuwa macomred uhuru wakati sio kweli, sema kwa uzezete wetu wakatoka hisia zetu, wamepata walichokitaka, wametulia husikii tena zaidi ya gazeti la raia mwema kuwauliza wajinga kwa wanaoamini kama kuna kitu kinaitwa sukuma gang. Kifupi kampeni ya rais mwema imefanikiwa
 
Huyo Wakujiita Mshana Jr ni Mbumbumbu,Thickheaded na guruguja ndani ya raia wengi waliopo Tanzania...Ni wa kupuuzwa ila akivuka Mstari Mwekundu,Nikushugulika naye.
Umepanic mpaka unakuja na vitisho vya kishamba. Mshana jr ni msema kweli, na kama kusema ukweli ni kuvuka mstari mchukulie hatua utakayo. Lakini sukuma gang ni kundi hatari lenye mwelekeo wa siasa na utawala wa kikatili, kwa kisingizio cha uzalendo uchwara.
 
Back
Top Bottom