Sukuma gang ni kina nani?

Sukuma gang ni kina nani?

Mshukuruni Dr Samia Suluhu Hassani
Ameruhusu uhuru wa Mawazo,
Angekuwepo huyo mwenda kaburini
Siku nyingi mngeshashughulikiwa na hilo genge lenu lisilo na mauzo...
Mmekalia tu unaa watoto wa kiume mliokosa maadili

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
Mtu hata hujakaribishwa lakini tayari umeshaanza kuongea.
 
Sukuma Gang ni imani siyo kabila. Mimi ni Mnyiha kutoka Songwe ila ni Sukuma Gang kindakindaki. Sukuma Gang tunaunga mkono maono ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano JPM. Hatusemi JPM alikuwa malaika asiye na makosa, hatusemi sera zake zilikuwa Perfect kabisa, tunasema sehemu kubwa ya sera, maono na uongozi wake ulifaa sana na unafaa sana kwa nchi yetu. Karibu Sukuma Gang useme machache kuhusu mazuri ya awamu ya tano.
Sisi Chaga gang twende wapi?

USSR
 
Mshukuruni Dr Samia Suluhu Hassani
Ameruhusu uhuru wa Mawazo,
Angekuwepo huyo mwenda kaburini
Siku nyingi mngeshashughulikiwa na hilo genge lenu lisilo na mauzo...
Mmekalia tu unaa watoto wa kiume mliokosa maadili

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
Shauri yako usitengeneze maadui wafu huwezi juwa ukifa utapokelewa na nani. Kama ulivyoshindwa kujua utakapo zaliwa utapokelewa na wazazi gani. Kuwa na heshima yule ni Hayati na wewe ni marehemu mtarajiwa. Umeona tofauti yake?
 
Amen. Ubarikiwe.

Kikundi kinachoongozwa na Mukandala kitoswe baharini.

Judge WARIOBA arudishwe na AAPISHWE Ili amalizie KAZI aliyoianza Kwa gharama kubwa ya Kodi za Wananchi.
Ndugu, hiyo katiba pendekezwa ni feki (fake). Hiyo ni ya ccm, ilichakachuliwa na kina Andrew change & co.
Ile rasimu ya jaji Warioba ndiyo yenye mapendekezo/maoni ya wananchi.
 
Ndugu, hiyo katiba pendekezwa ni feki (fake). Hiyo ni ya ccm, ilichakachuliwa na kina Andrew change & co.
Ile rasimu ya jaji Warioba ndiyo yenye mapendekezo/maoni ya wananchi.
Ndiyo nayomaanisha.

Ni Ile Rasimu ya Warioba kabla haijaingia Bunge la Katiba.

Maoni hayo yajadiliwe na kuboreshwa kidogo ndipo tukubaliane mfumo wa kupata wajumbe wa Bunge la Katiba.
 
Moderators wa Jamiiforums ndio wanaowakingia kifua Nyie wote mnaotukana Kabila la Wasukuma na Wananchi kwa Ujumla. Mtalegea na mtashindwa popote mlipo.

Mnatunisha mishipa yenu humu tu, mkija mtaani sasa tutaanza kuwapopoa kama maembe. CHADEMA ni useless kabisa.
 
CHADEMA ndio watakao kuja kutugawa Tanzania kwa misingi ya Kimatabaka, Ukabila na Ukanda.....Uthibitisho upo dhahiri Washaanza kwa kuwaita na kuwadhihaki Kabila la Wasukumu kama genge fulani, tena kwa kutumia lugha za Ukumbari na Ubaguzi wa mabeberu ambao umetumika kwa karne na Karne Kumdahlilisha kumkebehi na kumnyanyasa Mtu yeyote yule asiye na asili ya Kizungu au kuwa na Tabia au hulka za Kibeberu. Ati Masikini

CHADEMA mkome kutuletea lugha za matusi, mkome kutuletea mila na desturi za Kibeberu, mkome kututenganisha Watanzania kwa misingi ya Ukabila, tena kwa kutuletea siasa na mifumo mibaya ya Kibeberu na ya Kibepari ya Utawala wa Majimbo. Mkisikia mwanzo wa Mwisho wa amani utulivu na unyenyekevu wa Mtanzania....Chagueni CHADEMA kwani, nafasi wanayopata sasa hivi ya kuwakebehi na kuwatukana Kabila la Wasukuma, wakipata dola, watawahamisha kwa Nguvu zote zile za dola. Na kuanza kuwatukana makabila mengine kwa sababu ya kuwaachia wakiendleza na Ubaguzi huu. Mlaaniwe

Tuwe makini 2025 CHADEMA ni chama kinachoratibiwa kwa falsafa za kibeberu?

CHADEMA MKOMEEEEE!
 
Shauri yako usitengeneze maadui wafu huwezi juwa ukifa utapokelewa na nani. Kama ulivyoshindwa kujua utakapo zaliwa utapokelewa na wazazi gani. Kuwa na heshima yule ni Hayati na wewe ni marehemu mtarajiwa. Umeona tofauti yake?
Kufa ni kufa tu, kifo cha samaki, kifo cha mnyama na kifo cha binadamu ni kilekile, aliyekufa kafa enzi yake imepita, zama hazirudi nyuma.... Yupo Maiti moja tu aliyeshinda maut, hao wengine woote takataka kama ulivyo wewe.

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom