Sukuma gang ni kina nani?

Sukuma gang ni kina nani?

Hayati Magifuli alikusanya pesa za umma kwa manufaa ya watanzania. Alikusanya kodi, faini na kila mapato ya serikali na kuyatunza mfuko mkuu wa serikali. Mafisadi na wapigaji wakashindwa kuzipiga pesa za umma maana zote zilimulikwa na kuwekewa kufuli.

Rais Samia kwa nini asiendeleze ya hayati. Kukusanya na kutumia vyema mapato. Haya mapungufu ya mapato yanatoka wapi mpaka tozo za kila namna zinazalishwa?

Watanzania wapo kimya ila wanajua namna wanavyopigwa nondo na vyuma vizito.
Hayo mambo tumeyaacha kwa familia za sgang wanaendeleza,sisi hatuyataki
 
Hayati Magifuli alikusanya pesa za umma kwa manufaa ya watanzania. Alikusanya kodi, faini na kila mapato ya serikali na kuyatunza mfuko mkuu wa serikali. Mafisadi na wapigaji wakashindwa kuzipiga pesa za umma maana zote zilimulikwa na kuwekewa kufuli.

Rais Samia kwa nini asiendeleze ya hayati. Kukusanya na kutumia vyema mapato. Haya mapungufu ya mapato yanatoka wapi mpaka tozo za kila namna zinazalishwa?

Watanzania wapo kimya ila wanajua namna wanavyopigwa nondo na vyuma vizito.

Alikusanya mapato au alikuwa anapora watu pesa na magenge yake ya task force, kisha akawa anapiga propaganda? Au unadhani hatukuwa tunajua upikaji wake wa data? Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Desperate people katika uongozi wa JPM na aina ya siasa yake aliyokuwa anaifanya,Wengi wao kutoka chadema chama cha upinzani:sasa wanachafua kabila safi la wasukuma,walikosa matumaini/kata-tamaa/legea/vurugwa na kutandikwa na siasa za JPM,Sasa wakawa wanandandia huku na huku wapate mwokozi mara wanaibuka na kigogo,mara wanaibuka na blueprint of biggest bitch tanzania mange,kiufupi walikuwa hoi bin taabani walikosa njia za kupambana naye,JPM mimi nilimuona MYOPIA & LOW Intelligence:Hivyo nadharia ya kuchafua kabila la wasukuma ni zao la desperate people... DESPERATE PEOPLE DO DESPERATE THINGS!
Sahih chadema ndil wahasisi wa sukuma gang

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alikusanya mapato au alikuwa anapora watu pesa na magenge yake ya task force, kisha akawa anapiga propaganda? Au unadhani hatukuwa tunajua upikaji wake wa data? Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Wewe chuki zako kwa hayati zinajulikana.
 
Sukuma Gang Ni kundi au Group la watu wajinga wenye Elimu ndogo ya Maisha na waliokata tamaa hili kundi Ni moja ya makundi ya hovyo kuwai kutokea tangu kuhasisiwa kwa Taifa letu pendwa la TANZANIA
 
Alikusanya mapato au alikuwa anapora watu pesa na magenge yake ya task force, kisha akawa anapiga propaganda? Au unadhani hatukuwa tunajua upikaji wake wa data? Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Unajua wewe na nani ?
 
Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
Ni wale wapuuzi flani (a.k.a. chawa) waliokuwa wanashangilia kila kitu hata uozo wa yule mwendazake. Kwa ufupi ni watu ambao walimwamudu yule kiumbe kuliko hata Muumba wao.
 
Wadau Nawasabahi

Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?

Na kwanini liitwe SUKUMA GANG je ni kwa Ajili ya Wasukuma tu? Mwenye UFAHAMU wa Kundi hii ATUJUZE.
Kwenye uongozi wa Rais Samia Suluhu hakuna uteam yeye anachojali ni uchapakazi tu
 
Sukuma Gang ni imani siyo kabila. Mimi ni Mnyiha kutoka Songwe ila ni Sukuma Gang kindakindaki. Sukuma Gang tunaunga mkono maono ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano JPM. Hatusemi JPM alikuwa malaika asiye na makosa, hatusemi sera zake zilikuwa Perfect kabisa, tunasema sehemu kubwa ya sera, maono na uongozi wake ulifaa sana na unafaa sana kwa nchi yetu. Karibu Sukuma Gang useme machache kuhusu mazuri ya awamu ya tano.
 
Mshukuruni Dr Samia Suluhu Hassani
Ameruhusu uhuru wa Mawazo,
Angekuwepo huyo mwenda kaburini
Siku nyingi mngeshashughulikiwa na hilo genge lenu lisilo na mauzo...
Mmekalia tu unaa watoto wa kiume mliokosa maadili

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
Sukuma gang ni Imani.. huezi ukaishugulikia. Tukutane kwenye sanduku la kura.
 
Sukuma Gang ni imani siyo kabila. Mimi ni Mnyiha kutoka Songwe ila ni Sukuma Gang kindakindaki. Sukuma Gang tunaunga mkono maono ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano JPM. Hatusemi JPM alikuwa malaika asiye na makosa, hatusemi sera zake zilikuwa Perfect kabisa, tunasema sehemu kubwa ya sera, maono na uongozi wake ulifaa sana na unafaa sana kwa nchi yetu. Karibu Sukuma Gang useme machache kuhusu mazuri ya awamu ya tano.
Makanza na ghene
 
Back
Top Bottom