Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

🤣🤣🤣🤣🤣kapeace jamani airfresh ?Ila hawashindwi maana bado Kama wapo miaka ya 70s hawana habari yaani wako na furaha zao tu
Yani mpaka leo bado wapo wengi tu wenye akili hizo,, natamani ningekutajia duka tena msimu huu wa mavuno ndo balaa wanajazana mijini wanapigwa vitu kwa bei mbaya kinoma,, hawa jamaa akili zao ni nzito sana, wana misimamo mpaka ukambadilishe umetokwa jasho
 
Hayw shemeji naona ulienda tambulishwq ndani ndani huko ...
 
Masai tumwache wapi🤔.Hajimwambafai,masai akipewa nafasi mwaminifu kweli kweli 🤔.Masai hajawahi onea kwa nafasi yake 🤔
 
Mbona mambo uliyoandika ni kawaida sana ukienda kijijini?

Au ni mara yako ya kwanza kwa safari za namna hiyo?

Kuna vijiji jogoo mkubwa kabisa 7000, kuku wa kawaida mkubwa 3000.

Asubuhi supu ya kuku wa kienyeji kawaida, mchana ni wali kuku migahawani na sio wali nyama au maharage.
 
Ukikutana na msukuma mwenye vituko aiseee utacheka hadi utapike. Mimi kuna m'moja huyo namwita uncle sasa akinipigia simu ile akitamka neno "Ankooo" aiseeee huwa naanza kujiandaa kucheka.

Sasa ukitaka umpende akiwa anakupa story kuhusu mademu dah utacheka balaa.
 

Haina ubishi
 
Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwa😂 akili zao wanazijua wenyewe hao watu
🤣🤣🤣🤣 jamani waacheni mashemeji zangu, kwamba wanajipulizia air freshener 😅
 
Aisee haya uloyaongea ni kweli kabisaaa

Mm kwasasa nipo masumbwe mpk ijumaa hivi ulivovitaja ni vya kweli kabisaaa

Wasukuma ni wakarimu sanaaa


Aliepo masumbwe tujuane jamani
 
Aisee haya uloyaongea ni kweli kabisaaa

Mm kwasasa nipo masumbwe mpk ijumaa hivi ulivovitaja ni vya kweli kabisaaa

Wasukuma ni wakarimu sanaaa


Aliepo masumbwe tujuane jamani
Sasa mbona huku mjini wanatuambia ni watu wabaya Sana🤦?
 
Sasa mbona huku mjini wanatuambia ni watu wabaya Sana[emoji1751]?
Ndo vile tunasema

Za kuambiwa changanya na zako

Ukisalimiwa unapigiwa goti ata mtu akiwa ni mkubwa kuliko ww
 
Ndo vile tunasema

Za kuambiwa changanya na zako

Ukisalimiwa unapigiwa goti ata mtu akiwa ni mkubwa kuliko ww
Raha kweli yaani..

Wabeja sana wamayu na wangosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…