Suluhisho la Kudumu la Mgogoro wa Maziwa Makuu (Rwanda, Congo et al) ni kutenga na kupata nchi ya hao waliopo hapo sasa (North Kivu)

Suluhisho la Kudumu la Mgogoro wa Maziwa Makuu (Rwanda, Congo et al) ni kutenga na kupata nchi ya hao waliopo hapo sasa (North Kivu)

Kongo unatakiwa kuimarisha jeshi lake,kwenye hayo maeneo wawe na base kubwa ya kijeshi.wanatakiwa wawe na vifaa kama drones vya kumonitor mpaka wao wa mAshariki wajue ni nini kinachoingia kwenye ardhi yao.pia wanatakiwa kuimarisha mfumo wao wa kiintelijensia kwa kuongeza idadi ya watu kwenye idara hizo.na kama wataweza basi wahamishe watu kwenye hayo maeneo
Ipeleke na watu wengi ambao sio tutsi ku neutralize idadi ya watutsi.
 
Kwa hio upo tayari kutoa 23% ya Nchi kwa watu wawili?

Assume tu leo waarabu ama wahindi wadai Znz ama Dar ama wairan wadai Kilwa huo mtiti wake utakaotokea hapa,

Hakuna mtu anaekataa watu kudai Haki zao, ila tunajua Fika Kagame na Genge lake wanadai Madini na Sio haki za raia. Kutaka 23% ya nchi igawanywe na viongozi wawe watusi ni demand za kipuuzi.
Hivi tukisema leo wahindi wote na waarabu na hao wote uliowataja sio watanzania by virtue ya tamaduni zao na ongea yao na vinasaba zaidi vya watu wa huko arabuni au India tutakuwa tumewatendea Haki ? Sababu hicho ndicho kilichopo huko.
 
Ukisema hivyo unamaanisha kwamba wao sio watu au hawana haki kama hao wengine ? Je na hao wengine wanatengwa kwamba sio raia ? Kwenye nchi yao mpya hao wote basi waendelee kuishi kama ndugu pamoja wote kwenye nchi yao, alternatively Congo Kinshasa ianze kuwakubali na kulinda raia wake wote ikiwemo hawa watusi wa Kivu.
Ni watu wana haki kama binadamu wengine ila hawana haki ya kutawala sehemu ambayo ulikwenda kulima Chini ya mkoloni, na ikatokea tu upo hapo baada ya Uhuru. Tutsi sio indegnous.

Mfano Mzuri wa Tutsi ni wahindi hapa Tanzania, wakati wa Ukoloni waliletwa wengi kufanya kazi za ukarani na nyenginezo, wana haki ya kupewa kila kitu kama raia wa Tanzania, ila wana haki ya kudai eneo liwe lao? Wana haki kulazimisha asilimia fulani ya viongozi wa toke kwao? Wana haki kulazimisha Boda walinde wao? Hapana hawana haki hio.
 
Solution ni ku control hayo Madini, tutazunguka kote ila mwisho wa siku hakuna kinachopiganiwa bali ni Madini, kwa namna yoyote ile kuwe kwa mazungumzo ama hata kijeshi. Yakiwa controlled na kuuzwa kwa haki Automatic hivyo vikundi vitapotea.

Ila kutoa Eneo kwa minority, ambao hata hapo Kivu sio majority ni ujinga, kama lengo ni kuisaidia kivu si kuna makabila makubwa ya Kivu? Kwanini hayo makabila hayatajwi kwenye kugawa keki. Ya kivu ila wanatajwa wa tutsi ambao eneo sio lao?

Haya mambo ndio walitumia Wazungu kuleta Mipasuko Middle East na ndio yanaletwa na huku pia, kuna hatari kubwa mno kuwapa minorities Sehemu na mwisho wake siku zote huleta Genocide.
Hayo makabila mengine ambayo hayatajwi yaliwahi kuambiwa Congo sio nchi yao na serikali kama walivyoambiwa Banyamulenge??
Vita vya Mashariki ya Congo vimeanza kupiganwa baada ya ujio wa smartphones, tablet, computer na magari ya kisasa??
 
Iyo kivu ina madini muhimu sana so kuifanya iwe nchi Congo hawezi kukubali Kupoteza Rasilimali kirahisi ivo.
Hao Banyamulenge wakubali kutulia apo Congo na wapewe haki zao ila sio Ardhi.
Congo hataki kuwapa Haki zao kwa fikra hizo hizo kwamba hawa ni Mamluki, pia je hapo Kivu kuna Watusi peke yake au kuna jamii nyingine pia ? Sababu Haki ya hao wakongo wenye jamii ya kitusi ni pamoja na kulindwa na taifa lao ambalo mpaka dakika hii ni Congo. Na kuendelea kuwa na hii sehemu bila authority ndio muedelezo wa mazalia ya vikundi vyenye milengo tofauti tofauti ambavyo vina de stabilize eneo zima la Maziwa Makuu (hao M23 leo ni jina tu, hata ukiwaondoa hao leo bila kuondoa root cause ambayo watu wanaona hawapati Haki yao kama wengine tegemea vikundi kama hivi vitazaliwa tu).
 
Mm nashindwa kuelewa, rais wa Congo wanamshinda wapi hawa M23, mbona sisi Idd Amin Dada alijaribu kuivamia ardhi yetu tukamsambaratisha mara moja, jeshi la Congo linashindwa nn mpaka linachezewa chezewa na hawa M22?
 
Sorry I mean M[emoji239[emoji2388]][emoji[emoji239[emoji2388]]39[emoji2389]]
 
Ni watu wana haki kama binadamu wengine ila hawana haki ya kutawala sehemu ambayo ulikwenda kulima Chini ya mkoloni, na ikatokea tu upo hapo baada ya Uhuru. Tutsi sio indegnous.

Mfano Mzuri wa Tutsi ni wahindi hapa Tanzania, wakati wa Ukoloni waliletwa wengi kufanya kazi za ukarani na nyenginezo, wana haki ya kupewa kila kitu kama raia wa Tanzania, ila wana haki ya kudai eneo liwe lao? Wana haki kulazimisha asilimia fulani ya viongozi wa toke kwao? Wana haki kulazimisha Boda walinde wao? Hapana hawana haki hio.
Hizi ndio Propaganda na ujinga ulioshindwa kumaliza hiyo vita kwa miaka zaidi ya 50. Watusi hawajifika eneo la maziwa makuu kwa mashua kama Wahindi au Waarabu. Wanyarwanda ni wabantu ambao wamekuwepo katika mipaka ya nchi ZOTE za maziwa makuu.
 
Nchi ibaki kwa wenye nayo, wakongo na hao wengine wabaki huko walipotokea, Rwanda, Burundi, Uganda n.k
Haya mambo ya watusi na wahutu yakifumbiwa macho siku za usoni itatokea balaa kubwa.
Kwa sasa hapa Tanzania hao jamaa wamejaa kule Karagwe na Kyelwa,na wanaishi bila shida.
Najua ipo siku watataka utawala wao rasmi na hapo ndipo tz itakuwa kama Congo.
Wengi hawajui kwamba kuna wengine walipotokea ndio hapo walipo; Yaani baada ya wakoloni kujigawia ardhi kwa kuwek mipaka bila kuangalia Jamii zilizopo chini wengine walijikuta jana walikuwa nchi fulani na watu wao na kesho nchi nyingine..., Kwahio kwa maneno yako ni kwamba hao watusi hapo ndio kwao;

Na hili jambo ambalo ametuletea Mkoloni Divide and Rule naona linatutafuna mpaka Kesho; Kwamba tusiwafumbie macho tuanze kuwafukuza kule mipakani ili tusiwe kama Congo ?
 
Hizi ndio Propaganda na ujinga ulioshindwa kumaliza hiyo vita kwa miaka zaidi ya 50. Watusi hawajifika eneo la maziwa makuu kwa mashua kama Wahindi au Waarabu. Wanyarwanda ni wabantu ambao wamekuwepo katika mipaka ya nchi ZOTE za maziwa makuu.
Nipe evidence kwamba ni indegnous wa hilo eneo
 
Hayo makabila mengine ambayo hayatajwi yaliwahi kuambiwa Congo sio nchi yao na serikali kama walivyoambiwa Banyamulenge??
Vita vya Mashariki ya Congo vimeanza kupiganwa baada ya ujio wa smartphones, tablet, computer na magari ya kisasa??
Banyamulenge ni Allies wa Serikali ya Congo atleast kwa Kipindi cha Joseph Kabila na wapo Against na M23 so usiwatumie wao kama sababu ya M23 wakati ni vitu viwili tofauti.

M23 ni pro-Rwanda, pro-Tutsi na sio pro Banyarwanda hapo ndio ukakasi mkubwa unapoanzia.
 
Mm nashindwa kuelewa, rais wa Congo wanamshinda wapi hawa M23, mbona sisi Idd Amin Dada alijaribu kuivamia ardhi yetu tukamsambaratisha mara moja, jeshi la Congo linashindwa nn mpaka linachezewa chezewa na hawa M22?
Ukiondoa M23 wanaweza wakaja M40 au kesho kutwa yoyote yule issue ni kuangalia je kuna grievances zozote na ni jinsi gani mnaweza kuzitatua issue sio hao tu issue kuna wale ambao Kagame aliwapindua kwa maono yake ni kwamba wapo Congo na anytime wanaweza wakavuka na kumpindua; issue kuna watusi ambao wanaona wana haki na ni wakongo ingawa wacongo wanasema sio raia / wenzao kwahio hili suala ni kuhakikisha raia waliopo hapo Kivu wanalindwa na Nchi zote na kwa kushirikiana wanamaliza kabisa haya Makundi na kuyaondolea sababu ya uwepo wao kuendelea...; Pia kumbuka sio watusi wote wa hapo ni wa kuja wengine ni kwamba hio Congo ilivyokuja (Mipaka kuchorwa) walikuwepo.
 
Mkuu, mwafrika akili zake anazijua mwenyewe. Sudan walipigana mpaka wakatenga Sudan mbili. Ajabu ile Sudan ya Kusini baada ya kuwa nchi, wakashindwana wao kwa wao na sasa wanapigana.
Naam hatua kwa hatua yaani tuna solve kila tatizo kama linavyokuja, hata hii Congo sio kwamba wana unity kiasi hicho ni Mobutu tu ndio angalau alijaribu kuwaunganisha; ila kinachoendelea sasa ni kama watu wa North Kivu ni watoto yatima hawapati msaada kabisa wa nchi yao (Central Government)
 
Mtutsi siyo mtu wa kuishi naye jirani, jiulize kwanini Kagame anawatetea na kulazimisha kuwa ni raia wa Congo? Anawatumia kuiibia Congo. Hao ni wa kuangamizwa. Kagame hana akili wala uwezo wwte wa kijeshi anawategemea mabwana zake walioko Ulaya, ni shoga tu huyo.
Kwa maneno yako haya naogopa hata kuishi jirani na wewe..., Je unashauri nini, kwamba yale mauaji ya Kimbari yaliyotokea wangeamizwa wote ? Sababu ukishasema Jamii au watu fulani hawafai nadhani ukiambiwa twende tukawauwe, utauliza tu wapi na sio kwanini ?

Ila issue / swali la maana zaidi ni kwamba wale wote watusi waliopo pale sasa ni kwamba waliwenda Congo au kuna ambao Congo iliwakuta na wengine kuzaliwa hapo hapo Congo ? Yaani kwa ufupi wanyarwanda wote no matter wamezaliwa wapi kwao ni Rwanda ? Sababu tukianza kuangaliana kwa mantiki hiyo basi Afrika kama Bara tuna shida sana na zile ndoto za kina Bob Marley, Kwame, Patrice Lumumba nadhani zitabakia kuwa ndoto milele...
 
Ukifanya hivyo kesho wataibuka wengine huko kigoma au karagwe nao watake kujitenga.
Tukisema kabila fulani la huko Kigoma au Karagwe au Wanyambo sio Watanzania na labda ni waganda na waende Uganda nadhani watakuwa na kila Haki ya Kujitenga; Au Amini alivyosema Kagera ni ya Kwake tulikuwa na Haki ya Kumpiga na kutetea ndugu zetu wa huko Kagera... (Sababu hakuna siku sisi wengine tulisema watu wa Kagera sio Wenzetu);

Point yangu kubwa huu mgogoro wa Maziwa Makuu tunafanyaje sababu matakwa ya pande moja ni vigumu kwa pande nyingine kuyakubali na sababu hapo kuna watu wanaondelea kuteseka mpaka kesho, hivyo kama nchi yao (Congo) imeshindwa kuwalinda na wengine inasema sio Wenzao tunafanyaje ?!!
 
Watakufa siku Madini yakiisha, umesoma Analysis ya kiongozi wa Jeshini wa South Africa? Wana latest weapon zilizotumika vita vya Israel na Palestine ambazo Either wamepewa na Usa ama Israel. Niambie Wametoa wapi hizo silaha.

Watu wote wenye akili wanajua ni vita vya Rasilimali na Madini, ndio maana hata kwenye matakwa yao wanataka wao ndio wawe Askari wa Boda, kunakotoroshewa hayo Madini.

Personally ningekua na influence Congo ningepiga ukuta hio boda.
Hakuna sehemu nimesema Kagame ni angel au hakuna wizi unaofanyika wa rasilimali za Congo na sio majirani tu hata mataifa ya nje. Lakini hilo ni beside the point, issue at hand ni vipi Congo inawalinda raia wake ambao ni wote waliopo hapo including watusi (Na sababu umesema hawa watusi ni rahisi kuwa mamluki) sasa tunafanyaje, tunawauwa wote au hio sehemu ambayo tumeshindwa kuwalinda tunaikata ili wao na raia wengine waweze kuishi na kujilinda na kutumia hizo rasilimali zao kujilinda; Ukishakuwa na rasilimali ushindwi hata kuwa na mercenaries wa kulinda mipaka yao au kushirikiana na majirani wote waliokuzunguka kutunza amani yenu kwa pamoja
 
Kwanini lakini iwe 10% kwa 0.5 am 1% kwanini 1% ipewe nguvu ya Kuchagua meya na viongozi wengine? Kwanini 1% ipewe nguvu ya kutoa Raisi, kwanini 1% ilinde boda etc, na kwanini sio 99%?

Watu wa Asili wa Kivu ni Batwa, ukitoa wao pia kuna bashi na nande, nikuulize wewe mwana demokrasia feki, kwanini unasuport hawa watu wataliwe na watutsi ambao ni wahamiaji kwenye eneo lao? Kama ni ku gawanya nchi kwanini hawa Indigenous people wasipewe wao eneo lao? Tumeanza lini kushabikia minorities wapewe nguvu kukandamiza majority?
Okay nadhani wewe una ujuzi na hilo eneo zaidi; hapo Kivu kuna Jamii ngani na je zote haziwezi kukaa pamoja; sababu kwa sasa kusema hawa wakongo wa asili ya Kitusi kukubaliwa kuwa na haki zote za kiraia za Congo nzima ni ngumu sababu ya chuki iliyopo; je unadhani kipi rahisi kukubaliwa na hao kina Batwa, Nande na Bashi au kukubaliwa na Congo nzima ? Sababu kinachoendelea sasa hao wote ni kama watoto yatima
 
Solution ni ku control hayo Madini, tutazunguka kote ila mwisho wa siku hakuna kinachopiganiwa bali ni Madini, kwa namna yoyote ile kuwe kwa mazungumzo ama hata kijeshi. Yakiwa controlled na kuuzwa kwa haki Automatic hivyo vikundi vitapotea.

Ila kutoa Eneo kwa minority, ambao hata hapo Kivu sio majority ni ujinga, kama lengo ni kuisaidia kivu si kuna makabila makubwa ya Kivu? Kwanini hayo makabila hayatajwi kwenye kugawa keki. Ya kivu ila wanatajwa wa tutsi ambao eneo sio lao?

Haya mambo ndio walitumia Wazungu kuleta Mipasuko Middle East na ndio yanaletwa na huku pia, kuna hatari kubwa mno kuwapa minorities Sehemu na mwisho wake siku zote huleta Genocide.
Hayo madini tunayacontrol vipi ? Sababu hata sisi Tanzania raia tunasema tuna madini kwa maneno tu ila wanufaika mwisho wa siku sio sisi; Mbili sijasema watusi wapewe eneo; nimesema hilo eneo ambalo sasa hivi watu ni kama Yatima wakiwemo watusi litengwe na liwe nchi kamili na watu waliopo waweze kujipanga na kuendesha nchi yao na kama watafanya vitu kwa demokrasia basi majority watakuwa na nguvu (Na kama watakuwa na busara na sio wapuuzi basi watachaguana viongozi kulingana na merits na sio huyu wa Kabila langu)
 
Apo ni Kufanya Extermination tu...Enzi ya Vita kule Yugoslavia ilitumika na kutoa matokeo mazuri tu.
 
Back
Top Bottom