Hadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.
Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?
Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?
Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?
Kuna harufu ya propaganda hapa