Sunday World: Jeshi la Afrika Kusini liliua zaidi ya wapiganaji 600 wa M23

Sunday World: Jeshi la Afrika Kusini liliua zaidi ya wapiganaji 600 wa M23

Hamna kitu hapo jw ndio wamepokea kichapo mpaka wametangaza wenyewe kwamba wamechezea kichapo kama unabishana na taarifa ya jeshi lako sawa huenda wewe upo ground maana jamii forum wajuaji mpo wengi sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipe link mkuu ili nijisomee mwenyewe tukate mzizi wa fitina.
 
Nenda page za jwtz utakuta matangazo ya vifo na majeruhi
Lakini mbona kama umeongeza chumvi mkuu? Wenyewe hawa hapa walichosema:
The Tanzania People's Defence Forces (JWTZ) have confirmed the loss of two soldiers and injuries to four others following ongoing clashes between the Congolese military and M23 rebels in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC)
In a statement released by the Tanzanian military headquarters, the clashes took place between January 24 and 28, 2025, as part of peacekeeping efforts under the Southern African Development Community (SADC).

Sasa wewe unasema kichapo kumbe ni askari wawili (2)tu na majeruhi ni wanne(4) na hao ni miongoni mwa walinda amani na sio wapiganaji frontline.
Mbona hilo tukio ni jambo la kawaida sana kwenye vita ? Au ww ulidhani kulinda Amani kunakuwaje mkuu?
 
Hadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.

Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?

Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?

Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?

Kuna harufu ya propaganda hapa
Propaganda hizi
 
Overated by who?? Hili neno Overated limekuwa abused numerous times kuhusiana na huyo paulo!
PK ni overrated, period!! Nani amuogope huyu fidididdo mwenye kichwa kama nyoka??

Screenshot_20250205_062135_WhatsApp.jpg
 
Lakini mbona kama umeongeza chumvi mkuu? Wenyewe hawa hapa walichosema:
The Tanzania People's Defence Forces (JWTZ) have confirmed the loss of two soldiers and injuries to four others following ongoing clashes between the Congolese military and M23 rebels in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC)
In a statement released by the Tanzanian military headquarters, the clashes took place between January 24 and 28, 2025, as part of peacekeeping efforts under the Southern African Development Community (SADC).

Sasa wewe unasema kichapo kumbe ni askari wawili (2)tu na majeruhi ni wanne(4) na hao ni miongoni mwa walinda amani na sio wapiganaji frontline.
Mbona hilo tukio ni jambo la kawaida sana kwenye vita ? Au ww ulidhani kulinda Amani kunakuwaje mkuu?
Kwahiyo hao hawajafa Kwa kichapo we una akili timamu kweli haya tuambie wamekufa na Nini kama sio kichapo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa

Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!

Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
M23 inatakiwa ifutiliwe mbali
 
Wewe unasimuliwa kwenye kijiwe Cha kahawa chenu Mimi nipo uwanja wa mapambano naona kagame anavyowachakaza Hawa wachumba wa sandf,jw na WA burundi
Kwa hiyo upo uwanja wa vita;
Unaangalia Kagame anavyowachakaza.
Haupo jw, SA wala malawi?
Hauguswi na risasi?

Embu eleza vizuri
 
View attachment 3224846

Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.

..kama mji au eneo unalolitetea limetekwa mambo ya body count hayana maana.

..katika vita upande unaoshinda ni ule unaoweza kuingiza askari wengi kuzidi wale inaopoteza.
 
Wamesitisha sababu raia wao wa sehemu walizozishikilia waishi vizuri au ulitaka Kila siku raia wasikie milio ya risasi
si walisema vita mpk Kinshasa ? au walisahau kuwa kuna raia wanaitah kuish vzr , na ww hutumii hata akil kuona hayo maamuz yamekuja ghafla lazima kuna namna
 
Back
Top Bottom