Sunday World: Jeshi la Afrika Kusini liliua zaidi ya wapiganaji 600 wa M23

Sunday World: Jeshi la Afrika Kusini liliua zaidi ya wapiganaji 600 wa M23

Lazima watambe wana support 100 kutoka kwa jeshi la rwanda na leo wamekula kichapo kikali wameomba msaada tena kwa jeshi la rwanda
20250204_114310.jpg
 
Ni kweli baada ya jeshi la DRC kuanza kusaliti Kamanda wa kikosi cha SADC aliamuru waache kushambulia ndiyo M23 wakapata nguvu.
Pale goma fardc walishiwa logistic zote zinazohusiana na vita haswa masasi wakaomba support makao makuu wakacheleweshew mzigo sasa watafanya nini?
 

Attachments

  • VID-20250204-WA0022.mp4
    7.3 MB
Kagame anaposema SADC ni part of belligerent na siyo protective yupo sawa.Baada ya wacongo kusaliti askari wote wa SADC walirudi kwenye eneo lao Goma na kuwaachia M23.zTatizo kubwa ni jeshi la DRC.
Kwanini jeshi la DRC wanafanya hivyo? ina maana huo ni usaliti, au hawamtaki rais aliyepo madarakani?
Ama SADC ndio wezi wenyewe wanaoutumika na mabeberu.
 
Hongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa

Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!

Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
Waliwaua lini?
 
View attachment 3224846

Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.
Paw
Active
Pelekeni huu uzi jamii check
 
Back
Top Bottom