Pia uelewe kwanini Kagame "alimtusi" Ramaphosa.Nimeelewa kwa nini M23 wamesitisha mapigano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia uelewe kwanini Kagame "alimtusi" Ramaphosa.Nimeelewa kwa nini M23 wamesitisha mapigano
100%Hongera Sana JWTZ na Africa kusini hakika tunatakiwa kutengeneza alliance Tanzania na south Africa kwa Sasa
Ili kulinda maslahi ya waafrika wasio vibaraka wa wazungu juu ya ukoloni Mambo leo!!
Kagame anatakiwa kulipa garama ya Vita!!
Hadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.
Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?
Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?
Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?
Kuna harufu ya propaganda hapa
Ni porojo za kujifarijiInasemekana waliwaua Sake, mapigano ya sake yalikuwa kabla ya Goma.
Jeshi lililopoteza askari 600, linawezaje kusonga mbele na kuteka mji mkubwa wa Goma?
Overated by who?? Hili neno Overated limekuwa abused numerous times kuhusiana na huyo paulo!Kagame yuko highly overrated, zaidi ya sympathy kwenye 1994 genocide hana nguvu yeyote
Tuna wanyarwanda wengi humu hadi kinyaa.Propaganda za vita.Kwa habari za uhakika ni kwamba wanajeshi wa congo,Burundi,SA na Tanzania wamepigwa vibaya sana na makomandoo wa M23.Kagame ni baba lao.
Kwa hiyo hapo kwa Mkapa ndio uwanja wa mapambano we taahira?
Kuwa mnyarwanda ni vibaya?Naipenda inji yangu ya Rwanda.Tuna wanyarwanda wengi humu hadi kinyaa.
So 14+14 au sijaelewa Kiswahili?View attachment 3224846
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.
Kwahiyo uko front na techno Cam 17 una chat hapa JF. Jipige na selfie kabisaWewe unasimuliwa kwenye kijiwe Cha kahawa chenu Mimi nipo uwanja wa mapambano naona kagame anavyowachakaza Hawa wachumba wa sandf,jw na WA burundi
Kama hali ilikuuwa hivyo,waliwezeje kuukamata Goma? Wakati Sake ni kabla ya Goma ukitokea Rwanda!View attachment 3224846
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.ivy
uwanja wa mapambano ya kukoment JF???!!!Wewe unasimuliwa kwenye kijiwe Cha kahawa chenu Mimi nipo uwanja wa mapambano naona kagame anavyowachakaza Hawa wachumba wa sandf,jw na WA burundi
📌huna akili!Wamesitisha sababu raia wao wa sehemu walizozishikilia waishi vizuri au ulitaka Kila siku raia wasikie milio ya risasi
Humu JF machiziboti ndo wameloea humu na skanka zao😁😁😁Kwahiyo uko front na techno Cam 17 una chat hapa JF. Jipige na selfie kabisa
Gin inamsumbuaHumu JF machiziboti ndo wameloea humu na skanka zao😁😁😁
Wameachiwa Goma na wamewazunguka wanajeshi wa SADC kwenye kambi yao na kuwanyanganya simu zao kuwaacha na silaha zao kama heshima.Time will tell.
Inawzekana kuna propaganda lakini pia inawezekana hii taarifa imewekwa iwe ni taarifa fiche kwa kuchanganywa-changanywa lakini kiukweli JW wameshafanya yao.Hadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.
Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?
Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?
Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?
Kuna harufu ya propaganda hapa
Hamna kitu hapo jw ndio wamepokea kichapo mpaka wametangaza wenyewe kwamba wamechezea kichapo kama unabishana na taarifa ya jeshi lako sawa huenda wewe upo ground maana jamii forum wajuaji mpo wengi sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inawzekana kuna propaganda lakini pia inawezekana hii taarifa imewekwa iwe ni taarifa fiche kwa kuchanganywa-changanywa lakini kiukweli JW wameshafanya yao.
sio rahisi kihivyo, sasa mbona majamaa bado yanazurura tu goma na hakuna wa kuwafanya kitu. wametawala goma hadi leo.View attachment 3224846
Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.