kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
DuuhKwa kuwa unatumia fedha zako kula, we jenga shavu.
Mimi nina addiction ya tambi mbichi. Natafuna kile kipakti kimoja cha Santa Lucia ndani ya siku mbili.
Lakini naenjoy.
πππkama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
πJumlisha na seringeti 2 au 3 ili kushushia mambo! Starehe gharama. Hakikisha na nyumbani unaacha maokoto sio kujipendelea mwenyewe. Haya sasa piga hesabu kwa mwezi. Labda uwe mfanyakzi wa TRA au traffic wa barabarani.
Pweza anauzwa usiku usiku nzi hawapo
Inategemea ni wapi umepita ukaona au umeenda kula bibie...
[emoji23][emoji23]Mimi siwezi kukaa siku mbili bila kula chips mayai
Natamani kuacha ila nashindwa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kama bajeti ya supu ya pweza inakumalizia hela ndugu yangu bado una safari ndefu endelea kutafuta hela
Mazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Punguza uwe unakula mchuzi wa buku, wanakuwekea na kipande cha mkia,, pia badala ya KILA siku.. fanya KWa wiki mara 3... Ambaa nayo hiyo ratiba,, badae unapunguza tena mwisho wa siku itakuwa unakunywa mara moja au mbili KILA baada ya wiki 2 au mwezi. ..Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu
Hee! ππNdio utamu wenyewe huo
Ni bora nimalize pesa kwenye chakula kuliko kwenye pombe. We vipi wewe!!!Pombe sawa ila we unavyoona pweza inastahili kula hela hivyo
Usijekuwa unachanganya na kaaKweli tuko tofauti mkuu.Taa unilishi hata kwa dawa.
Kwa hiyo kwako wewe ugali ndiyo muhimu!!!!Shida ni kwamba ukisoma money rules tumia hela ikiwa kama kuna umuhimu sasa pweza hazina hata umuhimu
Kakitu ka 300 analalamika.Kama bajeti ya supu ya pweza inakumalizia hela ndugu yangu bado una safari ndefu endelea kutafuta hela
Nisharogwa maePunguza uwe unakula mchuzi wa buku, wanakuwekea na kipande cha mkia,, pia badala ya KILA siku.. fanya KWa wiki mara 3... Ambaa nayo hiyo ratiba,, badae unapunguza tena mwisho wa siku itakuwa unakunywa mara moja au mbili KILA baada ya wiki 2 au mwezi. ..
ππππmi nimekuelewa unazungumzia gharama na sio shida supu ya pweza kwanza pole sana utaacha mwenyewe maana tayari mpaka hapo gharama zimeanza kukushinda na umetumia 65600 ambayo ni sawa na 2186 kwa siku mi nabet na sina mpango wa kuacha mwaka jana jumla ya pesa niliyolost ni M.13 .66 na bado staki hata kushauriwa.