Ha haha...nacheka kama mazuri vile.Mkuu kwakweli sisi waafrika ni watu wagumu tunabeba mengi na tunasurvive.
Uwa hao wenzetu mara sijui wana depression wakaone wana saikolojia, mara sijui wana anxiety, mara sijui alimwona baba anamdunda mama inamsukbua ukubwani anakuwa serial killer. Sisi tunashuhudia zaidi ya hayo hakuna cha mwanasaikolojia wala kuwa suicidal tunadunda tu.
Blacks tena tulioko Afrika tunadunda. Kuna vitu mtu akikwambia vinamsumbua badala ya kumpa ushauri unaishia kumwambia acha ujinga wewe na hilo ni suala la kuwaza...😄Ha haha...nacheka kama mazuri vile.
Yah, eti mtu anaenda kwa mwanasaikoloji,kwa black tunajijua wenyewe.
Sasa hayupo au kuna contradictions kwenye maelezo yenye kumuhusu huyo Mungu? Hivi mimi nikisema rais wa Tanzania Samia suluhu ni mnene na hapo hapo ni mwembamba je, ndio itakuwa na maana Tanzania hakuna rais kwa sababu ya hiyo contradiction au nitakuwa nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu rais wa Tanzania Samia suluhu?Facts.
Kwanza kabisa, kimantiki, Mungu anayesemwa mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu maovu, hayupo.
Ni hadithi za watu tu.
Uwepo wake unakuwa contradicted na ulimwengu tunaouona.
Ni sawasawa na mtu kusema kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry .
Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Tunashuhudia mengi sana,tukipewa roho za hao wajapani na wakorea hats kwa lisaa moja,nusu ya waafrika watakua wamejinyonga , maana it's hell here.Blacks tena tulioko Afrika tunadunda. Kuna vitu mtu akikwambia vinamsumbua badala ya kumpa ushauri unaishia kumwambia acha ujinga wewe na hilo ni suala la kuwaza...😄
Itabidi u define mnene ni nini na mwembamba ni nini kwanza.Sasa hayupo au kuna contradictions? Hivi mimi nikisema rais wa Tanzania Samia ni mnene na hapo hapo ni mwembamba je, ndio itakuwa na maana Tanzania hakuna rais kwa sababu ya hiyo contradiction au nitakuwa nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu rais wa Tanzania Samia suluhu?
Kuwepo kwa uchawi inatosha tu kujua kuna nguvu nyingne zipoUstaarabu wafanye Wajapani, sifa umpe Mungu?
Thibitisha huyo Mungu yupo kwanza.
Iroiro ossewani narimashitaNauunga mkono hoja sababu nafahamu Tabia kadhaa za wajapani,
hii ilitokea wakat nipo chuo kikuu na nkawa najifunza lugha ya Wajapan kama sub subject.
wanakuzwa na kulelewa katika misingi ya kimaadili ya hali ya juu sana toka wakiwa nyumbani kwao wakiwa wadogo.
HAKUNA WATU WASTAARABU KAMA WAJAPAN HAPA CHINI YA JUA .
BISHA LAKINI HUO NDO UKWELI!!!!
PASSPORT YAO NDO NO.1 LEADING KATIKA ORODHA YA PASSPORT ZENYE NGUVU DUNIANI
Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
We nae! hata Marekani wanasiasa hawapigwi risasi hawapotei na kupewa kesi za mchongo ila raia hasa weusi wanapigwa sana risasi huko, kwahiyo tutasema Marekani ni bora kwa sababu wanasiasa hawapigwi risasi?What is the worst about that?
Wewe mwenye dini una tofauti gani na wao wasio na dini?
Umewahi kusikia Japan wanasiasa wanapigwa risasi, wanapotea au wanapewa kesi za michongo n.k?
Unene kwa maana ya kuwa na mwili mkubwa(bonge) na wembamba kwa maana ya kuwa na mwili mdogo(kimbaumbau).Itabidi u define mnene ni nini na mwembamba ni nini kwanza.
Inawezekana rais akawa mnene na mwembamba kama definitions zako za unene na wembamba zimeingiliana sehemu fulani.
Ila, ukisema kuna pembetatu ambayo pia ni duara katika Euclidean geometry, hapo tutajua kuna contradiction inayofanya pembetatu duara hiyo iwe ni kitu cha kufikirika tu na haiwezi kuwapo katika uhalisia.
Dhana ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, licha ya kuweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo, hayafikiriki, na hayapo, ina internal contradiction ile ile iliyopo kwenye dhana ya pembetatu duara kuweza kuwepo.
Uwepo wa Mungu huyu ni sawasawa na uwepo wa "pembetatu duara".
Ni wazo la kufikirika tu, ambalo halipo nje ya mawazo na hadithi.
Mungu huyu, ni kitu cha kufikirika tu, hayupo katika uhalisia.
Bado huja define unene ni nini na wembamba ni nini.Unene kwa maana ya kuwa na mwili mkubwa(bonge) na wembamba kwa maana ya kuwa na mwili mdogo(kimbaumbau).
Haya nikisema rais wa Tanzania Samia saluhu ni mnene na hapo hapo ni mwembamba hiyo contradiction itakuwa na maana Tanzania hakuna rais Samia suluhu?
Sidhani kama swaliako ni swali la msingi. Yeye kaomba utoe ushahidi wa Mungu kuwepo, wewe unamuuliza kama anaamini Mungu yupo au hayupo, this is very irrelevant.Unaandika maelezo marefu uku ukijaribu kujisahaukisha swali langu.
Ninakukumbusha tena na tena. Nimekuuliza tena ikiwa unaamini kuwa Mungu yupo ama hayupo?. Nijibu tuendelee.
Tuko kundi la ancestors,anfles culex na zinjatropusNa sisi ngozi nyeusi tuko kundi gani?
Wewe uliyemtaja Mungu umeambiwa uthibitishe uwepo wa Mungu. Yeye kasema hataki mambo ya kuamini bali anataka fact. Sasa unapomuuliza kama anaamini uwepo wa Mungu au haamini sijui umelenga nini kama ameshasema hataki mambo ya kuamini.Chief, unakwama wapi hasa!!! Unapata nafasi ya kuandika maelezo marefu na mazuri ila unashindwa kujibu swali langu fupi na dogo, shida nini hasa?.
Jibu ikiwa Mungu YUPO AMA HAYUPO then tuendelee.
Kiranga my role modelYani kung'ang'ania kujibizana nami ung'ang'anie wewe, halafu lawama za kukupotezea muda unipe mimi?
Kwani nimekulazimisha kujadiliana nami hapa?
Kwa hii comment yako hujathibitisha lolote zaidi kurudia yaleyale. Una ushahidi uli kuwa ulimwengu umeumbwa na Mungu?MUNGU yupo.
Najua utauliza yuko wapi?
MUNGU yuko mahali kote.
Najua utataka facts.
Facts tazama ulimwengu ulivyo mkubwa usio na mwisho unavyoenenda na ulivyoumbika ni kwa mapenzi na uweza wake.
Tazama viumbe wake na uhai na utashi uliopo ndani ya viumbe wake.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kumbe wako tofauti sana na majirani zao wachina...?Nauunga mkono hoja sababu nafahamu Tabia kadhaa za wajapani,
hii ilitokea wakat nipo chuo kikuu na nkawa najifunza lugha ya Wajapan kama sub subject.
wanakuzwa na kulelewa katika misingi ya kimaadili ya hali ya juu sana toka wakiwa nyumbani kwao wakiwa wadogo.
HAKUNA WATU WASTAARABU KAMA WAJAPAN HAPA CHINI YA JUA .
BISHA LAKINI HUO NDO UKWELI!!!!
PASSPORT YAO NDO NO.1 LEADING KATIKA ORODHA YA PASSPORT ZENYE NGUVU DUNIANI
Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Ina maana hautaki kuwa ndugu yake MagufuliNdio maana kila nikijiangalia huwa nawaona hao kama ndugu zangu.
Tunafanana kwa mambo mengi.
Mkuu kwanini usithibitishe uwepo wa Mungu badala ya kupoteza muda wako kutafuta jina lake?Jamaa ni empty kabisa upstairs pia ni psychriatic. Inawezekana pia ni either Devil Worshiper, ana mapepo au "pepo mtu" na anafanya/tekeleza mission yake. To me sijui kwanini, nikisomaga argument zake huwa kichwa kinauma. Nitamuomba Mungu anifunulie Kiranga ni nani? Nitaleta Jina lake kamili humu muda si mrefu.