Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sasa ndo kilaza namna hii, yaani umesoma field moja tu ndo unatembea kwa kunyanyua makwapa, ninachoandika kinajieleza, sina haja ya kuanika wasifu wangu

Hamna concepts ambayo utaiwasilisha halafu nikawa siifahamu, weka hilo akilini kuanzia leo mpaka watu wa mrongo huo watakapogundua concept mpya ya kupinga UUNGU, unazungumzia Euclidean Geometry tu, nakuelezea hadi Non Euclidean Geometry ya Mathematics na Physics

Arguments za uwepo wa MUNGU - tafuta field yeyote iwe ni falsafa, historia, thiolojia, fizikia na nyinginezo nialike nije tujadili ukinishinda nakuwa ATHEIST
Wewe guluguja hujui kusoma kwa ufahamu.

Nikikwambia nimesoma Philosophy of Religion, unasoma nimesoma field moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Hujui hata kusoma kwa ufahamu.

Tutaelewana vipi?
 
Ulinikosoa fallacy ya ad hominem kwa ufahamu wako mbovu, nilivyokurekebisha ukaona ubadili mada hewani, ulichofanya ndo 'red herring' kwenye ulimwengu wa logic
 
WALLAH hamna ambacho sikifahamu hapo, una kingine? kwa hiyo kwa kuvifahamu kwako hivyo kwa kukariri ndo unadhania na wengine hatuvijui e? [emoji23]
1.Hujathibitisha Mungu yupo.

2. Hujatatua contradiction ya problem of evil.

3. Hujafuzu kusoma kwa ufahamu.
 
Ana pretend huyo. Jamaa ni Mshirikina huyo anataka atupoteze kubwa hakuna Mungu ili atutupie mapepo.
Washirikina wanaamini Mungu yupo/ supernatural forces.

Mimi siamini supernatural forces zozote ukiwamo uchawi, majini, mapepo, vibwengo, popobawa, shetani.

Hivyo, wewe unayeamini Mungu uko karibu na mshirikina kuliko mimi nisiyeamini katika supernatural powers zozote..
 
Childish argument from psychiatric person
Hata kama uko sahihi. For arguments sake.

Uwepo wa psychiatric person nao ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, ulimwengu usingekuwa na psychiatric person hata mmoja.

You are making my point even when you are unfairly attacking me.

Read point 9 on my post 137. It talks about you. Kama utaweza kuielewa.
 
1. Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba huu ulimwengu unaoruhusu mabaya zinajipinga zenyewe (zina internal contradiction).

2. Internal contradictions hizo, hazijatatuliwa kimantiki kwa maelfu ya miaka.

3. Habari yenye internal contradiction isiyoweza kutatuliwa kimantiki inaonekana kuwa ni habari isiyo na ukweli (mifano, mtu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, pembetatu ambayo hapohapo ni duara).

4. Habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni hadithi za kutungwa na watu tu. Hazina ukweli.

5. Watu wengi wanaobishana kuhusu habari hizi hapa JF kwa kutetea uwepo wa Mungu huyu, wanabishana kwa kutetea mapokeo/ dini zao. Wengi wanatetea dini walizozaliwa ndani yake. Hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kimantiki (logical thinking), hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kidhahania (abstract thinking), hawajasoma maandishi muhimu yanayojadili hoja kuu za kutetea au kupinga uwepo wa Mungu. Hawajui hata "problem of evil" ni nini.

Unamuuliza mtu imekuwaje Mungu mwenye upendo wote na ujuzi wote na uwezo wote akaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya yawepo, mtu anakujibu Mungu hakuumba mabaya, watu ndio wamefanya mabaya. Clearly huyu hata swali hajalielewa, hivyo hawezi kulijibu.

6. Watu hawa wengi ni wabishi sana, wana maswali ya logical non sequitur, wanafanya sana fallacy ya "argument from authority" kwa kutumia vitabu vya dini vinavyosemwa vimetoka kwa Mungu, lakini vyenye makosa ya kimant8ki mengi sana.

7. Watu hawa, wengi sana wanabishana kwa kutetea "identity" yao, ambayo wameifunganisha na dini/ imqni ya suoernatural. Kwenye vitu vya kufikirika tu ambavyo haviwezi kuthibitishika.

8. Hata pale wanapoona mwanga kidogo, wana kile kinachoitwa "Sunken Cost Fallacy" kubwa sana. Hii inaendana na "cognitive dissonance" kubwa sana inayoleta attitude ya "my God/ religion/ traditiin, wrong or right"

9. Wengi wanatoa counter arguments zinazopinga point zao wenyewe bila kujua. Mtu anakwambia Mungu lazima yupo kwa sababu uumbaji huu wenye maajabu mengi na complexity kubwa hauwezi kutokea wenyewe bila Mungu kuuumba. Wakiwa hawajajua kwamba, ikiwa kila complexity itahitaji muumbaji, basi Mungu muumba vyote hawezi kuwepo, mqana naye atakuwa complex atakayehitaji muumbaji.

10. Watu wengi hawajui hata Kiingereza cha kusoma nqnkuelewa hizi mada, lugha ambayo hoja hizi zimeandikwa sana. Na hivyo kujadiliana nao ni kujadiliana na mtu ambaye kanyimwa kabisa vitabu vyote vilivyoandikwa Kiingereza. Falsafa hizi hazijaandikwa Kiswahili. Wachqche wanaojua Kiingereza inaonekana hawajasoma falsafa ya dini kiqsi cha kuweza kuendeleza majadiliano ya kisomi yenye tija.

Matokeo yake, majadiliano yana devolve.

Kazi ya kumfundisha guluguja string theory inaendelea.

Hiyo ndo String theory? hivi huyu ni mtu au kiazi?

Kwa heshima ya ALBERT EINSTEIN naomba nikuache na utukutu wako, yaani concept ya logic ndo String Theory?

Wataokuja kusoma hayo tu machache tuliyobishana wakayaelewa watajua nani ni nani kati ya mimi na wewe

Yatosha aisee, najivua rasmi

[emoji817]
 
Hata kama uko sahihi. For arguments sake.

Uwepo wa psychiatric person nao ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwepo, ulimwengu usingekuwa na psychiatric oerson hata mmoja.

You are making my point even when you are unfairly attacking me.
Unanipotezea muda wangu with your abracadabra. Byeeee
 
Hiyo ndo String theory? hivi huyu ni mtu au kiazi?

Kwa heshima ya ALBERT EINSTEIN naomba nikuache na utukutu wako
Jamaa ni empty kabisa upstairs pia ni psychriatic. Inawezekana pia ni either Devil Worshiper, ana mapepo au "pepo mtu" na anafanya/tekeleza mission yake. To me sijui kwanini, nikisomaga argument zake huwa kichwa kinauma. Nitamuomba Mungu anifunulie Kiranga ni nani? Nitaleta Jina lake kamili humu muda si mrefu.
 
Hiyo ndo String theory? hivi huyu ni mtu au kiazi?

Kwa heshima ya ALBERT EINSTEIN naomba nikuache na utukutu wako
Wewe huna uwezo wa kuelewa analogy ni nini, huwezi abstract thinking, huwezi logical thinking ndipo uwezo wako ulipoishia.

Nimekutaja point namba 5 post namba 137.

Halafu Albert Einstein alimaliza kazi zake kabla String Theory haijaenea, so you are showing your nakedness here.
 
Jamaa ni empty kabisa upstairs pia ni psychriatic. Inawezekana pia ni either Devil Worshiper, ana mapepo au "pepo mtu" na anafanya/tekeleza mission yake. To me sijui kwanini, nikisomaga argument zake huwa kichwa kinauma. Nitamuomba Mungu anifunulie Kiranga ni nani? Nitaleta Jina lake kamili humu muda si mrefu.
Thibitisha Mungu yupo.

Acha longolongo.

Mtu asiyeamini uwepo wa supernatural force yoyote hawezi kuwa devil worshipper.

Pia, mnasema devil katoka kwa Mungu, sasa mimi kama siamini Mungu yupo devil nitamuamini vipi?

Wewe upo karibu sana kuwa devil worshipper kuliko mimi.

Wewr unaamini yupo, mimi siamini.

You can't think logically!
 
Jamaa ni empty kabisa upstairs pia ni psychriatic. Inawezekana pia ni either Devil Worshiper, ana mapepo au "pepo mtu" na anafanya/tekeleza mission yake. To me sijui kwanini, nikisomaga argument zake huwa kichwa kinauma. Nitamuomba Mungu anifunulie Kiranga ni nani? Nitaleta Jina lake kamili humu muda si mrefu.
[emoji23]
 
Back
Top Bottom