Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Hapana, ngoja nikujibu tu maana nikisema ninyamaze wasomaji wanaweza wakahisi ulichokosoa ni sahihi kumbe wewe ndo mwenye ufahamu mbovu
Hujathibitisha Mungu yupo bado.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Hoja ya uwepo wake inajipinga yenyewe kabla hatujaipinga.

Kwa sababu imetungwa na watu wajinga zama za giza.
 
Kiambata hicho, kwa faida ya wengi, waweza kuendelea kubisha, aliyekuwa ana-argue katika kujenga kwake hoja ndiye aliyekutamkia hayo maneno ya kukudogosha, mimi na wewe nani mwenye ufahamu sahihi?
20220411_032730.jpg
 
Hujathibitisha Mungu yupo bado.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Hoja ya uwepo wake inajipinga yenyewe kabla hatujaipinga.

Kwa sababu imetungwa na watu wajinga zama za giza.
Hii ndo maana ya AD HOMINEM?
 
Kiambata hicho, kwa faida ya wengi, waweza kuendelea kubisha, aliyekuwa ana-argue katika kujenga kwake hoja ndiye aliyekutamkia hayo maneno ya kukudogosha, mimi na wewe nani mwenye ufahamu sahihi? View attachment 2183270
Hakuna ad hominen argument sehemu ambayo haina argument.

Kumtukana mtu kiukweli anavyostahili si ad hominem argument.

Kumwambia mtu anayekula makamasi ukweli "wewe unakula makamasi" si ad hominem argument.

Kumwambia mtu kwamba "wewe hoja yako kuhusu Mungu si sahihi kwa sababu unakula makamasi ni ad hominem argument.

By the way, ad hominem argument inaweza kuwa perfectly fine and appropriate.

Mimi nimesoma Philosophy of Religion, nabishana na mtu mjinga asiyejua hata Euclidean Geometry, hajui hata basic arguments for or against the existence of God.

Nikisema "Wewe ni mjinga, hujui critical thinking, hujui abstract thinking, hujui analogy, hujasoma the basic texts, hupo kwenye level ya kujadiliana nami kwenye hoja hii. Najiona kama namfundisha guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo string theory" is perfectly fine if it is actually true.

And that is how I feel 9 times out of 10 here.

Amateurs.
 
Hakuna ad hominen argument sehemu ambayo haina argument.

Kumtukana mtu kiukweli si ad hominem argument.

Kumwambia mtu anayekula makamasi ukweli "wewe unakula makamasi" si ad hominem argument.

Amateurs.

Unafikiria kwa unyayo nini ndugu? hakukuwa na arguments, unaongea uongo na comments zinajieleza, sawa werevu watajionea vimbwanga
 
Mimi nimesoma Philosophy of Religion, nabishana na mtu mjinga asiyejua hata Euclidean Geometry, hajui hata basic arguments for or against the existence of God.

Sasa ndo kilaza namna hii, yaani umesoma field moja tu ndo unatembea kwa kunyanyua makwapa, ninachoandika kinajieleza, sina haja ya kuanika wasifu wangu

Hamna concepts ambayo utaiwasilisha halafu nikawa siifahamu, weka hilo akilini kuanzia leo mpaka watu wa mrongo huo watakapogundua concept mpya ya kupinga UUNGU, unazungumzia Euclidean Geometry tu, nakuelezea hadi Non Euclidean Geometry ya Mathematics na Physics

Arguments za uwepo wa MUNGU - tafuta field yeyote iwe ni falsafa, historia, thiolojia, fizikia na nyinginezo nialike nije tujadili ukinishinda nakuwa ATHEIST
 
Nikisema "Wewe ni mjinga, hujui critical thinking, hujui abstract thinking, hujui analogy, hujasoma the basic texts, hupo kwenye level ya kujadiliana nami kwenye hoja hii. Najiona kama namfundisha guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo string theory" is perfectly fine if it is actually true.

And that is how I feel 9 times out of 10 here.

Amateurs.

Hamna ambacho sikifahamu hapo, una kingine? kwa hiyo kuvifahamu kwako hivyo kwa kukariri ndo unadhania na wengine hatuvijui e? [emoji23]
 
Critical thinking, yaani unishinde kuielewa logic wewe, wakati 'argumentum ad hominem' tu ulishapotea
 
1. Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba huu ulimwengu unaoruhusu mabaya zinajipinga zenyewe (zina internal contradiction).

2. Internal contradictions hizo, hazijatatuliwa kimantiki kwa maelfu ya miaka.

3. Habari yenye internal contradiction isiyoweza kutatuliwa kimantiki inaonekana kuwa ni habari isiyo na ukweli (mifano, mtu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, pembetatu ambayo hapohapo ni duara).

4. Habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni hadithi za kutungwa na watu tu. Hazina ukweli.

5. Watu wengi wanaobishana kuhusu habari hizi hapa JF kwa kutetea uwepo wa Mungu huyu, wanabishana kwa kutetea mapokeo/ dini zao. Wengi wanatetea dini walizozaliwa ndani yake. Hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kimantiki (logical thinking), hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kidhahania (abstract thinking), hawajasoma maandishi muhimu yanayojadili hoja kuu za kutetea au kupinga uwepo wa Mungu. Hawajui hata "problem of evil" ni nini.

Unamuuliza mtu imekuwaje Mungu mwenye upendo wote na ujuzi wote na uwezo wote akaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya yawepo, mtu anakujibu Mungu hakuumba mabaya, watu ndio wamefanya mabaya. Clearly huyu hata swali hajalielewa, hivyo hawezi kulijibu.

6. Watu hawa wengi ni wabishi sana, wana maswali ya logical non sequitur, wanafanya sana fallacy ya "argument from authority" kwa kutumia vitabu vya dini vinavyosemwa vimetoka kwa Mungu, lakini vyenye makosa ya kimant8ki mengi sana.

7. Watu hawa, wengi sana wanabishana kwa kutetea "identity" yao, ambayo wameifunganisha na dini/ imqni ya suoernatural. Kwenye vitu vya kufikirika tu ambavyo haviwezi kuthibitishika.

8. Hata pale wanapoona mwanga kidogo, wana kile kinachoitwa "Sunken Cost Fallacy" kubwa sana. Hii inaendana na "cognitive dissonance" kubwa sana inayoleta attitude ya "my God/ religion/ traditiin, wrong or right"

9. Wengi wanatoa counter arguments zinazopinga point zao wenyewe bila kujua. Mtu anakwambia Mungu lazima yupo kwa sababu uumbaji huu wenye maajabu mengi na complexity kubwa hauwezi kutokea wenyewe bila Mungu kuuumba. Wakiwa hawajajua kwamba, ikiwa kila complexity itahitaji muumbaji, basi Mungu muumba vyote hawezi kuwepo, maana naye atakuwa complex atakayehitaji muumbaji.

10. Watu wengi hawajui hata Kiingereza cha kusoma nqnkuelewa hizi mada, lugha ambayo hoja hizi zimeandikwa sana. Na hivyo kujadiliana nao ni kujadiliana na mtu ambaye kanyimwa kabisa vitabu vyote vilivyoandikwa Kiingereza. Falsafa hizi hazijaandikwa Kiswahili. Wachqche wanaojua Kiingereza inaonekana hawajasoma falsafa ya dini kiqsi cha kuweza kuendeleza majadiliano ya kisomi yenye tija.

Matokeo yake, majadiliano yana devolve.

Kazi ya kumfundisha guluguja string theory inaendelea.
 
Hujathibitisha Mungu yupo bado.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Hoja ya uwepo wake inajipinga yenyewe kabla hatujaipinga.

Kwa sababu imetungwa na watu wajinga zama za giza.
Hichi ulichofanya hapo katika logic kinafahamika kama "red herring fallacy" bisha na hii nikuaibishe tena [emoji23]
 
Hichi ulichofanya hapo katika logic kinafahamika kama "red herring fallacy" bisha na hii nikuabishe tena [emoji23]
Where is the red herring fallacy?

Hujathibitisha Mungu yupo bado.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Hoja ya uwepo wake inajipinga yenyewe kabla hatujaipinga.

Kwa sababu imetungwa na watu wajinga zama za giza.
 
Back
Top Bottom