Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
Hujanijibu swali langu.Umeongelea agano la kale.. Hiyo ni kwenye dini.. Imani ya Kikristo.. Mimi sijasema imani yangu.. Unaniuliza kitu nisichofungamana nacho..
Kama uliyosema Dini ni utaratibu.. Hayo mambo ya mawe ilikuwa huko kwenye sheria ya Musa.. Israel.. Miaka hiyo ya agano la kale mtu waAfrica ukizini utapigwa mawe..!!?
Kingine.. Unatumia common sense sehemu ambayo hakuna sheria..
Ukifika kwenye barabarani kwenye junction.. Kama hakuna taa zinazofanya kazi utatumia common sense jinsi ya kupita.. Ila kama kuna taa.. Fuata sheria..!
Jibu lipo humo humo..Hujanijibu swali langu.
Ukifuata common sense kuprove uwepo wa mungu kuna mahala common sense inakupinga.
Hakuna namna unaweza kuhakiki uwepo wa mungu nje ya misingi ya kiimani.Jibu lipo humo humo..
Kuna mahali walimpeleka mzinzi apigwe mawe.. Wakaambiwa ambaye hana dhambi aanze kumpiga.. Wakaondoka hapo mmoja mmoja...Huoni hapo ilitumika common sense..!!!
Wewe unachotaka ni kuprove.. Common sense haina proof.. Ni sense..!
Kama ukiiba hufeel chochote ndani yako hakuna namna ninaweza prove kuiba ni mbaya..!
Ukishakuwa Kipofu..hakuna namna ninaweza kukuhakikishia kuna Mwanga..!Hakuna namna unaweza kuhakiki uwepo wa mungu nje ya misingi ya kiimani.
Zaidi ya hapo ni porojo tu.
Mwenye sifa zipi?Ni kweli Mungu mwenye sifa hizo hawezi kuwepo labda kama utataka kumpunguzia hizo sifa (ambapo hatakuwa tofauti na sisi) ili aweze ku fit kwenye dhana ya
mmoja anaitwa fukunyuku yawakamotoNi kweli aisee, Kuna binti mmoja jina lake Kanagawa, baba yake anaitwa Kumamoto, kama ya kibongo tu..
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo, ukiondoka kwenye maelezo matupu ya siyo na uthibitisho?Shida na mashaka yako, yapo katika uweza wa Mungu na Hii haiondoi uwepo wa Mungu. Kwa kufipi unakubali Mungu yupo ila una Hoji maaumizi ya uweza wake. Labda tu nikwambie ukifananisha uwezo wa kinadamu na KiMungu basi lazima upate contradiction kwa sababu wewe utashangaa uwezo wa Dexterous kuwa Mara na Geneva kwa wakati mmoja ni jambo lisilowezekana lakini Mungu huyohuyo yupo past, present na future kwa wakati mmoja kwahiyo ni kwa mtu asiye na akili tu ndo ataona kama Mungu sio mweza.
Nachojua tunajadili contradiction.Tunajadili vyote
Hapana, watu wengi wanaweza kukosea.
Kipofu haoni lakini akisimama juani atahisi joto la jua.Ukishakuwa Kipofu..hakuna namna ninaweza kukuhakikishia kuna Mwanga..!
Imani unaweza kuamini chochote, hata uongo.Hakuna namna unaweza kuhakiki uwepo wa mungu nje ya misingi ya kiimani.
Zaidi ya hapo ni porojo tu.
Aisee vijembe tena.. hatari kweli.. Akisimama juani atahisi joto la jua..Kipofu haoni lakini akisimama juani atahisi joto la jua.
Ndio hapa huwa mnaishia mkikosa facts ambazo hazipo ndani ya imani, wengi wenu ni vijembe, nahau za kiswahili wengine huwa ni matusi n.k lakini nilijibu vizuri tu kwamba imani ni imani, sayansi ni sayansi.
Kutaka kutumia sayansi kwenye imani haiwezekani au vice versa.
Jioni njema.
Kwa sababu ni mwisho wa uwezo wetu wa kufikiri kama mwanadamu.Imani unaweza kuamini chochote, hata uongo.
Sasa utajuaje unachoamini ni kweli kama unakwenda kwa misingi ya imani tu?
Hata huo moto unatoa mwanga ndio maana anahisi joto.Aisee vijembe tena.. hatari kweli.. Akisimama juani atahisi joto la jua..
Usiku akisimama pembeni ya moto atahisi!!!? Sio kila joto ni la jua.. Na sio kila jua lina joto..
Mimi naongelea kuona.. Wewe kuhisi.. Hatari tupu..!
Ikija mambo ya MUNGU hakuna sehemu ya Sayansi wala Imani.. Ni Common Sense..!
Sijaelewa kwanini unakimbilia kwenye imani wakati mimi siamini..!
Uwezo wote, ujuzi wote na upendo woteMwenye sifa zipi?
Whaaaat.. Kipofu changamoto yake ni kuhisi au kuona..!!?Hata huo moto unatoa mwanga ndio maana anahisi joto.
Contradiction ni errors inayojitokeza katika mchakato wa kuthibitisha na ndio maana hata mifano yako haijakltoka nje ya dhana hiyoNachojua tunajadili contradiction.
Sijui!??Samahani
Hapa ndio kwenye vita ?
Unajuaje mwisho wa kufikiri kama mwanadamu uko wapi kwa kufikiri kama mwanadamu?Kwa sababu ni mwisho wa uwezo wetu wa kufikiri kama mwanadamu.
Who told you that ? , Mabudha ni dini gani ?And the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...