Oya mshaharibu Uzi , hebu mabishano yenu muyapekeke kwenye Uzi WA mabishano ya uwepo WA Mungu aliowahi sndaa huyu Kiranga , mnazinguaChief, unakwama wapi hasa!!! Unapata nafasi ya kuandika maelezo marefu na mazuri ila unashindwa kujibu swali langu fupi na dogo, shida nini hasa?.
Jibu ikiwa Mungu YUPO AMA HAYUPO then tuendelee.
Tunatumia Common Sense kujua MUNGU yupo..!Imani unaweza kuamini chochote, hata uongo.
Sasa utajuaje unachoamini ni kweli kama unakwenda kwa misingi ya imani tu?
Yani we jamaa chenga kabisa jibu lakusema yes au no unaandika vitu ambavyo hata haujaulizwa afu unajiita greater thinkerHapo ndiyo niliona nimerahisisha kabisa.
Nilitafuta mfano rahisi. Sasa kama huelewi tofauti ya pembetatu na duara napata shaka kwamba tutaelewana.
Ngoja nikupe mfano mwingine
Kwa sasa hivi uko wapi mkuu?
Duh ! Kanagawa Kumamoto , sikaoi hakoNi kweli aisee, Kuna binti mmoja jina lake Kanagawa, baba yake anaitwa Kumamoto, kama ya kibongo tu..
Tutachukua solar ndogo na kuiunga na motor, kama ikizunguka atajua ni mwanga kama isipozunguka atajua hakuna mwanga, hivyo pasi itajulikana.Whaaaat.. Kipofu changamoto yake ni kuhisi au kuona..!!?
Kwahiyo nikichukua pasi ya moto nikaweka karibu yake.. Lile joto atasema ni mwanga wa jua au wa mshumaa..!!?
Sio kila moto una mwanga..!!!
Common sense si lazima iwe ukweli.Tunatumia Common Sense kujua MUNGU yupo..!
Wewe huwezi kufuatilia Socratic dialogue.Yani we jamaa chenga kabisa jibu lakusema yes au no unaandika vitu ambavyo hata haujaulizwa afu unajiita greater thinker
Mshana Jr njoo huku uone anayo yaandika mtu unayelinganishwa nae
Hebu nambie kuna mtu duniani anaweza kukimbia km 180/ saa, kama haiwezekani elezea kwa nini?Unajuaje mwisho wa kufikiri kama mwanadamu uko wapi kwa kufikiri kama mwanadamu?
That's against Godel's Incompleteness Theorems.
We jamaa nimengundua ni mweupe sana kichwaniWewe huwezi kufuatilia Socratic dialogue.
Halafu, unaweza kunipa sehemu hata moja nilipojiita greater thinker?
Au unazusha tu?
Hahaha aisee kuna vitu bado kwako.. Leo ukifumba macho then ukahisi joto utawezaje kufahamu kama kuna mwanga au hakuna..!!?Tutachukua solar ndogo na kuiunga na motor, kama ikizunguka atajua ni mwanga kama isipozunguka atajua hakuna mwanga, hivyo pasi itajulikana.
Mwanga hata usipoona unaweza mthibitishiaa mtu kwa njia nyingi.
Dunia kuwa bapa ilikuwa common sense..!!?Common sense si lazima iwe ukweli.
Common sense ni kitu kilichokubalika na wengi tu. Kuna kipindi common sense ilikuwa kwamba dunia ni bapa, si tufe.
Watu wakachunguza wakaona si kweli.
Kuna wakati common sense ilikuwa jua linazunguka dunia. Watu wakachunguza wakajua dunia ndiyo inazunguka jua.
Sasa wewe unajuaje common sense yako ni ukweli na si uongo kama hao walioamini dunia ni bapa na jua linazunguka dunia?
Dhana ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu unaoruhusu mabaya haikubaliki kimantiki kwa sababu ina contradiction.
Unafunga sola na motor unaiweka mahala pa wazi, mchana itazunguka usiku itazimika.Hahaha aisee kuna vitu bado kwako.. Leo ukifumba macho then ukahisi joto utawezaje kufahamu kama kuna mwanga au hakuna..!!?
Mtu mwenye akili na anayeona vizuri, atayaangalia mazingira yanayomzuka, kwa wazi kabisa atahisi kuwepo kwa nguvu kuu ambayo inamzunguka yeye na dunia yote, ataona ujuzi, nguvu na utashi wa kuishi. Hivyo vyote humlazimisha mwanadamu kukubali kuwepo kwa uwezo wa akili ya fani zote ikiwa ipo nje ya dunia ya kimaumbile.Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo, ukiondoka kwenye maelezo matupu ya siyo na uthibitisho?
Maana kama ni kupiga hadithi tu, hata mimi naweza kukuambia kwamba kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.
Naweza kukuambia mimi ndiye Mungu, wewe huwezi kujua tu.
Je, hilo linanifanya niwe Mungu?
Pembetatu duara itakuwepo?
Mimi kusema hivyo hakufanyi pembetatu hiyo iwepo.
Au naweza kusema kuna mtu anaitwa Shokolokabangoshee ni balozi wa dunia nzima.
Wakati mtu huyo hayupo.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya hayupo, hoja ya kuwepo kwake inqjipinga yenyewe.
Na zaidi ya huyo, hujaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu mwingine yeyote.
Aisee solar motor ikizunguka maana yake mwanga.. Kwahiyo mwanga wa moto utazungusha solar..!!?Au moto ukiwaka hakuna mwanga..!!? Halafu kipofu utafahamu mchana au usiku..!!?Unafunga sola na motor unaiweka mahala pa wazi, mchana itazunguka usiku itazimika.
Hio ni tosha kuthibitisha uwepo wa mwanga, hata kama ni kipofu lazima ujiulize.
Kwa hio kuna njia nyingi za kuhakiki uwepo wa mwanga hata kama huoni
Dunia kuwa bapa ilikuwa common sense..!!?
Jua kuzunguka Dunia ilikuwa common sense..!!?
Hayo yalikuwa mafundisho..
Hivi hiyo dhana yenye contradictions wewe umeitoa wapi..!!? Kwenye dini..!!? Unaamini dini na hayo mafundisho!!?
Maana usiwe unatumia dhana ya kitu usichokiamini..!!
Ni kweli aisee, Kuna binti mmoja jina lake Kanagawa, baba yake anaitwa Kumamoto, kama ya kibongo tu..
Kupitia jaribio la solar na motor tayari mtu kipofu atajua mwanga upo au haupo kwa kuhisi uwepo wake kupitia utendaji wa kazi.Aisee solar motor ikizunguka maana yake mwanga.. Kwahiyo mwanga wa moto utazungusha solar..!!?Au moto ukiwaka hakuna mwanga..!!? Halafu kipofu utafahamu mchana au usiku..!!?
Kwa sababu gani?Uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote
Kwahiyo unasemaje?Contradiction ni errors inayojitokeza katika mchakato wa kuthibitisha na ndio maana hata mifano yako haijakltoka nje ya dhana hiyo