Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Mkuu wajapani sura zao na majina yao ni kama ya kiswahili tu.

Mtu anaitwa nishida,yamamoto,yanagida,fukuzawa.

Hayo si majina ya kiswwhili kabisa.

Hao ni volleyball player baadhi
Aisee..
 
Kwa nini qnayepaswa kuhoji uwepo wa Mungu ni yule anayeamini?

Mimi nikikwambia wewe ni mwizi, wakati wewe huamini kwamba wewe ni mwizi, hupaswi kuhoji habari hizo kwamba wewe ni mwizi?

Unaelewa ukishahoji umeweka shaka na hupo tena kwenye kuamini?

Chief, nijibu swali langu kwanza, unaamini kuwa Mungu yupo?.
Swali langu jepes na dogo nijibu tuendelee.
 
Ila pia inasemekana kuwa Mfumo wao wa maisha unawafanya wawe na stress na depression sana. Yani mfumo wao unawalazimisha kuficha mambo mengi yanawauma ndani kwa ndani kutoka na kuishi kwendana na expectation ya jamii juu yako.
Halafu ukifuatilia wana matukio yao ya kuuana ya ajabu sana aisee.
Na mimi nimelisikia hili, hata kwa wakorea......yaani kufeli masomo ni sawa na kuandikiwa adhabu ya kifo.
 
Ndio maana kila nikijiangalia huwa nawaona hao kama ndugu zangu.

Tunafanana kwa mambo mengi.
😂😂😂😂
Nilijijua peke yangu kumbe nina mwenzangu
 
Chief, nijibu swali langu kwanza, unaamini kuwa Mungu yupo?.
Swali langu jepes na dogo nijibu tuendelee.

Kwa nini unafikiri swali lako ni muhimu na si off point?

Nikiamini, nisipoamini, kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu.

Pia, naweza kuamini Mungu yupo, akawa hayupo, na naweza kuamini Mungu hayupo, akawa yupo.

Sasa kwa nini kuamini kuwe jambo la muhimu, wakati hakutusogezi popote?

Kwa nini tunaangalia imani badala ya facts?

Kwa nini unaniuliza naamini Mungu, badala ya kuniuliza nina facts gani tuzijadili?

Sasa kwa nini unquliza kama mimi naamini Mungu yupo?

Umekubali hata asiyeamini ana haki ya, na anapaswa kuhoji?

Kwa nini kuamini kuwe kitu muhimu wakati mtu anaweza kuamini uongo?

Kama kweli Mungu hayupo, na mimi siamini yupo, na wewe unaamini kimakosa kwamba yupo, hapo nakosa vipi uhalali wa kusema habari za Mungu kuwapo ni uongo na wanaoamini Mungu yupo, kama wanabisha hili, watoe uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unarukaruka tu kama bisi kikaangoni.
 
Na mimi nimelisikia hili, hata kwa wakorea......yaani kufeli masomo ni sawa na kuandikiwa adhabu ya kifo.
South Korea wana rate kubwa ya kujiua. Yani halafu wanajiua kwa vitu ambavyo sisi tunaona vya kipuuzi 😄
 
Kwa nini unafikiri swali lako ni muhimu na si off point?

Umekubali hata asiyeamini ana haki ya, na anapaswa kuhoji?

Kwa nini kuamini kuwe kitu muhimu wakati mtu anaweza kuamini uongo?

Kama kweli Mungu hayupo, na mimi siamini yupo, na wewe unaamini kimakosa kwamba yupo, hapo nakosa vipi uhalali wa kusema habari za Mungu kuwapo ni uongo na wanaoamini Mungu yupo, kama wanabisha hili, watoe uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unarukaruka tu kama bisi kikaangoni.

Unaandika maelezo marefu uku ukijaribu kujisahaukisha swali langu.
Ninakukumbusha tena na tena. Nimekuuliza tena ikiwa unaamini kuwa Mungu yupo ama hayupo?. Nijibu tuendelee.
 
Unaandika maelezo marefu uku ukijaribu kujisahaukisha swali langu.
Ninakukumbusha tena na tena. Nimekuuliza tena ikiwa unaamini kuwa Mungu yupo ama hayupo?. Nijibu tuendelee.

Ukiona hayo maelezo marefu unadhihirisha udhaifu wa uwezo wako wa kusoma. Kama hayo maelezo marefu, unaweza kusoma kitabu?

Kwa nini hili ni swali muhimu katika mawazo yako?

Maana kama swali tu, hata mimi naweza kukuuliza rangi ya ushuzi ni rangi gani?

Hujathibitisha Mungu yupo kweli nje ya hizo stories tu.
 
Ndio maana kila nikijiangalia huwa nawaona hao kama ndugu zangu.

Tunafanana kwa mambo mengi.
Aaaah aah. Wewe Chedema wanalio kwa laugh zako.
Na wale akina mama mliwakodia fuso kuwapeleka kwenye mkutano then mkawatelekeza bila nauri ya kurudi makwao.
 
Kwa nini hili ni swali muhimu katika mawazo yako?

Maana kama swali tu, hata mimi naweza kukuuliza rangi ya ushuzi ni rangi gani?

Acha umuhimu wa ilo swalo uwe juu yangu, jikite kujibu nilichokuuliza.
Ngoja nikukumbushe ikiwa umesahau swali langu ni :, UNAAMINI KUWA MUNGU YUPO AMA HAYUPO?.
NI JIBU TUENDELEE.
 
Kwa nini unafikiri swali lako ni muhimu na si off point?

Nikiamini, nisipoamini, kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu.

Pia, naweza kuamini Mungu yupo, akawa hayupo, na naweza kuamini Mungu hayupo, akawa yupo.

Sasa kwa nini kuamini kuwe jambo la muhimu, wakati hakutusogezi popote?

Kwa nini tunaangalia imani badala ya facts?

Kwa nini unaniuliza naamini Mungu, badala ya kuniuliza nina facts gani tuzijadili?

Sasa kwa nini unquliza kama mimi naamini Mungu yupo?

Umekubali hata asiyeamini ana haki ya, na anapaswa kuhoji?

Kwa nini kuamini kuwe kitu muhimu wakati mtu anaweza kuamini uongo?

Kama kweli Mungu hayupo, na mimi siamini yupo, na wewe unaamini kimakosa kwamba yupo, hapo nakosa vipi uhalali wa kusema habari za Mungu kuwapo ni uongo na wanaoamini Mungu yupo, kama wanabisha hili, watoe uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unarukaruka tu kama bisi kikaangoni.

Unaeleza vizuri sana ila Rudi kwenye swali langu la msingi.
Unaamini kuwa Mungu yupo ama Hayupo?.
 
Back
Top Bottom