Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Nakwambia Mungu hayupo halafu unaniuliza kama yupo au hayupo?

Unajua kusoma wewe?

Oooh sorry. Nilianza kutozipa uzito comment zako na kuzisoma hadi mwisho baada ya kuona unajizungusha kujibu swali rahisi na jepesi namna hii then nimerudia kuzisoma baadhi ya comments zako nimegundua ulinijibu swali langu koment mbili nyuma ya hii.

Sasa Sikia Dogo, ukishasema kitu fulan HAKIPO mjadala unakuwa UMEFUNGWA.
UWEZI KUJADILI KITU AMBACHO USHASEMA HAKIPO.
 
Oooh sorry. Nilianza kutozipa uzito comment zako na kuzisoma hadi mwisho baada ya kuona unajizungusha kujibu swali rahisi na jepesi namna hii then nimerudia kuzisoma baadhi ya comments zako nimegundua ulinijibu swali langu koment mbili nyuma ya hii.

Sasa Sikia Dogo, ukishasema kitu fulan HAKIPO mjadala unakuwa UMEFUNGWA.
UWEZI KUJADILI KITU AMBACHO USHASEMA HAKIPO.

Wewe sema tu ni mvivu wa kusoma.

Kwanza usiniite dogo hiyo ni dharau, hujui umri wangu.

That is very condescending. Halafu inakuonesha wewe ni mtu wa kufanya assumptions tu.

Kuhusu hoja yako kwamba kitu ambacho hakipo sitakiwi kukijadili, hapo unaonesha utapiamlo katika uwezo wako wa kufikiri kimantiki.

Nitakuonesha kwa nini, kwa mfano rahisi tu.

Kama kuna mganga muongo anasema ana dawa inayotibu ugonjwa mpya, na madaktari wanajua hakuna hiyo dawa, huyo mganga ni muongo, madaktari hao wana wajibu wa kukanusha na kusema hiyo dawa ni ya uongo haipo.

Wataijadili hiyo dawa ambayo haipo ili kuonesha watu kwamba haipo.

Wewe ni kama mganga muongo unayesema kuna dawa (Mungu) wakati hakuna kitu hicho.

Daktari anayejua hiyo dawa haipo (mimi) ana wajibu wa kuweka rekodi sawa na kuonesha uongo wako.

Kwa sababu, kuna watu wanaweza kuzembea kujikinga wakifikiri kuna dawa, kumbe habari za dawa kuwepo ni uongo.

Natumaini umeacha uvivu wa kusoma na umesoma mpaka mwisho.

Vinginevyo hatutawezi kujadiliana.

Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Naam.

Naomba twende kisomi na kimantiki bila jazba.

Nitaanza na vitu rahisi kuvielewa ili twende pamoja.

Nikikwambia kwamba, kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry, utakubali?
Sijui mambo ya geometry hivyo siwezi nikakubali au kukataa kitu nisichokuwa na ujuzi nacho, itapendeza hoja zako za kuthibitisha kuwa hizo ni hadithi ukaziweka katika uhalisia wa kawaida usiohitaji usomi.
 
Sijui mambo ya geometry hivyo siwezi nikakubali au kukataa kitu nisichokuwa na ujuzi nacho, itapendeza hoja zako za kuthibitisha kuwa hizo ni hadithi ukaziweka katika uhalisia wa kawaida usiohitaji usomi.
Hapo ndiyo niliona nimerahisisha kabisa.

Nilitafuta mfano rahisi. Sasa kama huelewi tofauti ya pembetatu na duara napata shaka kwamba tutaelewana.

Ngoja nikupe mfano mwingine

Kwa sasa hivi uko wapi mkuu?
 
Hapo ndiyo niliona nimerahisisha kabisa.

Nilitafuta mfano rahisi. Sasa kama huelewi tofauti ya pembetatu na duara napata shaka kwamba tutaelewana.

Ngoja nikupe mfano mwingine

Kwa sasa hivi uko wapi mkuu?
Kama tutaongea lugha moja basi tutaelewana.
Kwa sasa hivi Nipo ndani
 
Wewe sema tu ni mvivu wa kusoma.

Kwanza usiniite dogo hiyo ni dharau, hujui umri wangu.

That is very condescending. Halafu inakuonesha wewe ni mtu wa kufanya assumptions tu.

Kuhusu hoja yako kwamba kitu ambacho hakipo sitakiwi kukijadili, hapo unaonesha utapiamlo katika uwezo wako wa kufikiri kimantiki.

Nitakuonesha kwa nini, kwa mfano rahisi tu.

Kama kuna mganga muongo anasema ana dawa inayotibu ugonjwa mpya, na madaktari wanajua hakuna hiyo dawa, huyo mganga ni muongo, madaktari hao wana wajibu wa kukanusha na kusema hiyo dawa ni ya uongo haipo.

Wataijadili hiyo dawa ambayo haipo ili kuonesha watu kwamba haipo.

Wewe ni kama mganga muongo unayesema kuna dawa (Mungu) wakati hakuna kitu hicho.

Daktari anayejua hiyo dawa haipo (mimi) ana wajibu wa kuweka rekodi sawa na kuonesha uongo wako.

Kwa sababu, kuna watu wanaweza kuzembea kujikinga wakifikiri kuna dawa, kumbe habari za dawa kuwepo ni uongo.

Natumaini umeacha uvivu wa kusoma na umesoma mpaka mwisho.

Vinginevyo hatutawezi kujadiliana.

Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.

Sikia Dogo, Ngoja ni jaribu kueleza katika Lugha rahisi na rafiki kueleweka.
Nikisema kuna Ajari ya moto Buguruni Nyumba imeungua na wewe ukakanusha kuwa hakuna ajari, then unaanza tena kuniuliza ikiwa nyumba iliyoungua ilikuwa na fire extinguisher ndani ama zima moto walichukua muda gani kufika hapo unakuwa unajikanganya mwenyewe.
USHASEMA ajari haipo sasa habari za fire extinguisher na zinakujaje na zinatoka wapi?

Anaepaswa kuuliza ama kuhoji habari za uwepo wa fire extinguisher na fires ni yulee anaesadiki uwepo wa ajari si wewe unae kanusha.

Anaepaswa kuhoji mabaya na mazuri ya Mungu ni yule anae amini uwepo wa Mungu si wewe ambae umeshasema hayupo.
 
Sikia Dogo, Ngoja ni jaribu kueleza katika Lugha rahisi na rafiki kueleweka.
Nikisema kuna Ajari ya moto Buguruni Nyumba imeungua na wewe ukakanusha kuwa hakuna ajari, then unaanza tena kuniuliza ikiwa nyumba iliyoungua ilikuwa na fire extinguisher ndani ama zima moto walichukua muda gani kufika hapo unakuwa unajikanganya mwenyewe.
USHASEMA ajari haipo sasa habari za fire extinguisher na zinakujaje na zinatoka wapi?

Anaepaswa kuuliza ama kuhoji habari za uwepo wa fire extinguisher na fires ni yulee anaesadiki uwepo wa ajari si wewe unae kanusha.

Anaepaswa kuhoji mabaya na mazuri ya Mungu ni yule anae amini uwepo wa Mungu si wewe ambae umeshasema hayupo.
Kwanza kabisa futa hilo neno "Dogo".

Ama thibitisha mimi ni "Dogo" kwako.

Other than that, you are a jackass.
 
MUNGU ANAPOSEMA ALIUMMBA MTU KWA MFANO WAKE ALIMAANISHA WAJAPANI THEN KWA MBARII WANAKUJA CAUCASIANS( NENO LANGU SI SHERIA).
MJAPAN ANAWEZA KUKUOMBA MSAHAMA KWA USUMBUFU KWA KUSIKIA MUITO WA SIMU YAKE.
NI WATU CIVILIZED SANA KULIKO RACE NYINGINE YOYOTE HALI HIYO INAFANYA PASPOT YAO KUWA YENYE NGUVU KULIKO PASPOT YA NCHI YOYOTE ILE DUNIANI.

View attachment 2183069
Uswisi pia wako civilized sana. Nilikuwa natembea kwenye barabara mjini ambayo ina njia ya tram sasa sikugundua kwamba niko karibu mno na reli.

Treni ya umeme (tram) ilikuja karibu sana na ikasubiri hadi nishtuke mwenyewe maana kule huruhisiwi kupiga honi. Mtembea kwa miguu anaheshimika sana.
 
Ni kweli aisee, Kuna binti mmoja jina lake Kanagawa, baba yake anaitwa Kumamoto, kama ya kibongo tu..
Sasa kanagawa si kiswahili kabisa unaweza ukasema "katoto kanagawa pipi kwa wenzie"

Kuna watu wanaitwa yamauchi,masahiro,takahashi n.k nayanatamkwa hivyo hivyo mkuu.

Alafu hata sura zao ni kama waswahili ambao wamepewa weupe na nywele tu.

Ukiangalia sura za wanaume wa kijapani utaona kama zetu,pua zao za kawaida.

Na sio ajabu ukaona kuna mjapani kafanana sura na rafiki yako wa tandale.
 
Sawa.

Sasa mtu akikuambia kuwa sasa hivi upo Serengeti, Mara, Tanzania, Africa, halafu sasa hivi hiyo hiyo pia uko Geneva Switzerland, Eueope mtu mmoja wewe yuleyule, unaiba benki, anakushtaki kwa wizi huo, utakubali kwamba sasa hivi upo Serengeti Mara na pia Geneva Switzerland unaiba?
Siwezi kukubali.
 
Ni kweli aisee, Kuna binti mmoja jina lake Kanagawa, baba yake anaitwa Kumamoto, kama ya kibongo tu..
Sasa kanagawa si kiswahili kabisa unaweza ukasema "katoto kanagawa pipi kwa wenzie"

Kuna watu wanaitwa yamauchi,masahiro,takahashi n.k nayanatamkwa hivyo hivyo mkuu.

Alafu hata sura zao ni kama waswahili ambao wamepewa weupe na nywele tu.

Ukiangalia sura za wanaume wa kijapani utaona kama zetu,pua zao za kawaida.

Na sio ajabu ukaona kuna mjapani kafanana sura na rafiki yako wa tandale.
 
Kwahiyo vitabu vitakatifu vilimtaja mjapan ndio Adamu au sio kisa kuomba samahani kwa sauti ya simu walizo tengeneza wao kwa kupest.
 
Kwanza kabisa futa hilo neno "Dogo".

Ama thibitisha mimi ni "Dogo" kwako.

Other than that, you are a jackass.

We unajuaje ikiwa sikuzidi Umri?.
Mtei anaingia Ofisi na kuweka sahihi kwenye noti wengine tushaanza kuombwa kugombea Udiwani☺️☺️☺️
 
MUNGU ANAPOSEMA ALIUMMBA MTU KWA MFANO WAKE ALIMAANISHA WAJAPANI THEN KWA MBARII WANAKUJA CAUCASIANS( NENO LANGU SI SHERIA).
MJAPAN ANAWEZA KUKUOMBA MSAHAMA KWA USUMBUFU KWA KUSIKIA MUITO WA SIMU YAKE.
NI WATU CIVILIZED SANA KULIKO RACE NYINGINE YOYOTE HALI HIYO INAFANYA PASPOT YAO KUWA YENYE NGUVU KULIKO PASPOT YA NCHI YOYOTE ILE DUNIANI.

View attachment 2183069
Ngoja kilanga aje umdhibitishie hiyo sura na Mungu umevipataje.
 
Back
Top Bottom