Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Huku wanakopiga muziki kwenye kilabu cha piwa tunashindwa hata kulala,

Upande wa pili ni kanisa nao mchana kutwa ni nyimbo sijui hata kazi wanafanya saa ngapi.

Kundi la nchi yetu haliwezi kuwepo
... kilabu cha piwa; ndio nini hiyo piwa?
 
Acha umuhimu wa ilo swalo uwe juu yangu, jikite kujibu nilichokuuliza.
Ngoja nikukumbushe ikiwa umesahau swali langu ni :, UNAAMINI KUWA MUNGU YUPO AMA HAYUPO?.
NI JIBU TUENDELEE.
Nimekujibu, nimekuambia sitaki kuamini, nataka kujua.

Sasa unanilazimisha niongelee imani wakati mimi sitaki habari za imani, naona imani unaweza kuamini uongo, nataka kujadili ujuzi?

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Kwa nini unafikiri swali lako ni muhimu na si off point?

Nikiamini, nisipoamini, kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu.

Pia, naweza kuamini Mungu yupo, akawa hayupo, na naweza kuamini Mungu hayupo, akawa yupo.

Sasa kwa nini kuamini kuwe jambo la muhimu, wakati hakutusogezi popote?

Kwa nini tunaangalia imani badala ya facts?

Kwa nini unaniuliza naamini Mungu, badala ya kuniuliza nina facts gani tuzijadili?

Sasa kwa nini unquliza kama mimi naamini Mungu yupo?

Umekubali hata asiyeamini ana haki ya, na anapaswa kuhoji?

Kwa nini kuamini kuwe kitu muhimu wakati mtu anaweza kuamini uongo?

Kama kweli Mungu hayupo, na mimi siamini yupo, na wewe unaamini kimakosa kwamba yupo, hapo nakosa vipi uhalali wa kusema habari za Mungu kuwapo ni uongo na wanaoamini Mungu yupo, kama wanabisha hili, watoe uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unarukaruka tu kama bisi kikaangoni.
😄😄😄😄😄
 
Unaeleza vizuri sana ila Rudi kwenye swali langu la msingi.
Unaamini kuwa Mungu yupo ama Hayupo?.
Swali lako si la msingi.

Kwa sababu, nikiamini Mungu na kusema Mungu yupo, au nisipoamini na kusema hayupo, au nikisema imani yangu haijapata muelekeo kwamba yupo au hayupo, imani yangu haibadilishi ukweli.

Kama yupo atakuwapo tu bila kutegemea imani yangu.

Kama hayupo, itakuwa hayupo tu bila kutegemea imani yangu.

Sasa hapo imani yangu inakuwa na umuhimu gani?

Tunaweza kujadili facts na kuachana na imani?

Fact 1: Hujathibitisha Mungu yupo kweli nje ya hadithi za watu tu.
 
Swali lako si la msingi.

Kwa sababu, nikiamini Mungu na kusema Mungu yupo, au nisipoamini na kusema hayupo, au nikisema imani yangu haijapata muelekeo kwamba yupo au hayupo, imani yangu haibadilishi ukweli.

Kama yupo atakuwapo tu bila kutegemea imani yangu.

Kama hayupo, itakuwa hayupo tu bila kutegemea imani yangu.

Sasa hapo imani yangu inakuwa na umuhimu gani?

Tunaweza kujadili facts na kuachana na imani?

Fact 1: Hujathibitisha Mungu yupo kweli nje ya hadithi za watu tu.
Chief, unakwama wapi hasa!!! Unapata nafasi ya kuandika maelezo marefu na mazuri ila unashindwa kujibu swali langu fupi na dogo, shida nini hasa?.

Jibu ikiwa Mungu YUPO AMA HAYUPO then tuendelee.
 
Nimekujibu, nimekuambia sitaki kuamini, nataka kujua.

Sasa unanilazimisha niongelee imani wakati mimi sitaki habari za imani, naona imani unaweza kuamini uongo, nataka kujadili ujuzi?

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.

MUNGU YUPO AMA HAYUPO?.
NATAKA UJIBU SWALI LANGU KWANZA USINITOE KWENYE RELI.
 
Chief, unakwama wapi hasa!!! Unapata nafasi ya kuandika maelezo marefu na mazuri ila unashindwa kujibu swali langu fupi na dogo, shida nini hasa?.

Jibu ikiwa Mungu YUPO AMA HAYUPO then tuendelee.

Facts.

Kwanza kabisa, kimantiki, Mungu anayesemwa mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu maovu, hayupo.

Ni hadithi za watu tu.

Uwepo wake unakuwa contradicted na ulimwengu tunaouona.

Ni sawasawa na mtu kusema kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry .

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Nadhani umesimuliwa. Ila uhalisia upo tofauti na ulivyosimuliwa.
Ila pia inasemekana kuwa Mfumo wao wa maisha unawafanya wawe na stress na depression sana. Yani mfumo wao unawalazimisha kuficha mambo mengi yanawauma ndani kwa ndani kutoka na kuishi kwendana na expectation ya jamii juu yako.
Halafu ukifuatilia wana matukio yao ya kuuana ya ajabu sana aisee.
 
Nadhani umesimuliwa. Ila uhalisia upo tofauti na ulivyosimuliwa.
Ukisoma source mbalimbali nyingi tu zinasema hizo na ndio maana nimesema inasemekana. On top of that mimi ni mpenz wa mambo ya crime and investigation uwa natazama channel ya twisted minds ambapo uwa wanacover sana crimes za japan, yani uwa ni za kipekee kwakweli
 
Kwanza kabisa, Mungu anayesemwa mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu maovu, hayupo.

Ni hadithi za watu tu.

Uwepo wake unakuwa contradicted na ulimwengu tunaouona.

Ni sawasawa na mtu kusema kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry .

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Achana na habari za maovu na majanga ya dunia, hayo yatajibika baada ya kujibu swali langu nililokuuliza toka Mwanzo.
NI JIBU IKIWA MUNGU YUPO AMA HAYUPO.
 
Achana na habari za maovu na majanga ya dunia, hayo yatajibika baada ya kujibu swali langu nililokuuliza toka Mwanzo.
NI JIBU IKIWA MUNGU YUPO AMA HAYUPO.
Nakwambia Mungu hayupo halafu unaniuliza tena kama yupo au hayupo?

Unajua kusoma wewe?

Mpaka hapa naona hujui kusoma.

Tutaweza kujadiliana kweli?
 
Facts.

Kwanza kabisa, kimantiki, Mungu anayesemwa mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu maovu, hayupo.

Ni hadithi za watu tu.

Uwepo wake unakuwa contradicted na ulimwengu tunaouona.

Ni sawasawa na mtu kusema kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara katika Euclidean geometry .

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Unaweza kuthibitisha hayo yanayosemwa ni hadithi za watu?
 
Back
Top Bottom