Watakachoelewa si muhimu kama ukweli.Watakaopitia mjadala wetu wa uzi huu na mwingine wataelewa tu
Yani kung'ang'ania kujibizana nami ung'ang'anie wewe, halafu lawama za kukupotezea muda unipe mimi?Unanipotezea muda wangu with your abracadabra. Byeeee
HahahaaUstaarabu wafanye Wajapani, sifa umpe Mungu?
Thibitisha huyo Mungu yupo kwanza.
Mkuu wewe unachojua hapa ni ligi tu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ligi imeishaje!? Kiranga vs. Wajapan!?
Is that the worst party? Huo ni uthibitisho kuwa dini sio kigezo cha kuleta ustaarabu.And the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...
Ila jina la baba yake ndo lilikuwa linaleta shida, tulilizoea hivyohivyo.Sasa kanagawa si kiswahili kabisa unaweza ukasema "katoto kanagawa pipi kwa wenzie"
Kuna watu wanaitwa yamauchi,masahiro,takahashi n.k nayanatamkwa hivyo hivyo mkuu.
Alafu hata sura zao ni kama waswahili ambao wamepewa weupe na nywele tu.
Ukiangalia sura za wanaume wa kijapani utaona kama zetu,pua zao za kawaida.
Na sio ajabu ukaona kuna mjapani kafanana sura na rafiki yako wa tandale.
"Sababu hii ni "contradiction".Sababu hiyo hiyo inayokufanya usikubali kwamba sasa hivi upo Geneva, Switzerland ukiiba benki, kwa kuwa upo Serengeti, Mara, ndiyo inayonifanya nisikubali kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kutokea.
Sababu hii ni "contradiction".
Habari ikijipinga yenyewe kwa mambo ya msingi kabisa, haiwezi kuwa ya kweli.
Mathalani, kama kimantiki haiwezekani kwa wewe kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, tuseme Serengeti na Geneva, hapo tutaona habari ya kwamba uko Serengeti na pia upo Geneva wakati huo huo inajipinga yenyewe, ina contradiction, hivyo haiwezi kuwa kweli.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea ni contradiction. Ninsawasawa na wewe kuwepo Serengeti na Geneva kwa wakati mmoja.
Kwa sababu, nature ya Mungu ya uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote haiendani na yeye kuumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu usioruhusu mabaya.
Hii habari ni sawa na kusema kuna baba anayependa watoto wake sana, ana uwezo wa kujenga nyumba yoyote, lqkini kaamua kujenga nyumba akaitegeshea mabomu yawalipue watoto wake.
Huyo baba haiwezekani awepo, uwepo wake una contradiction, kama kajenga nyumba yenye mabomu wakati aliweza kujenga nyumba isiyo na mabomu, basi hana upendo hivyo na wanawe hao, kama ana upendo na wanawe sana, asingejenga nyumba hiyo yenye mabomu.
"Sababu hii ni "contradiction".
Habari ikijipinga yenyewe kwa mambo ya msingi kabisa, haiwezi kuwa ya kweli."
Itanawezekana vipi mimi sikubali ya kuwa niko Geneva na wakati upande mwingine ni kweli niko Mara, Serengeti ila kwa vile kumezuka contradiction ya mimi kutoweza kuweko sehemu zote kwa wakati mmoja ndo ipelekee hiyo habari isiwe ya kweli na mimi nisiwepo?
Ni lini Mungu aliruhusu na kuamrisha watu kufanya mabaya?
Huna haja ya kujua, itakusaidia nini nawe una nafsi ya kumkana Mungu wako kwa pumzi yako.Thibitisha Mungu yupo. Hayo ya miaka 50 leo tutajuaje kwamba hunidanganyi?
Na unajuaje ndani ya miaka 50 nitakuwa nimekufa?
Hahahahaaa, kumbe lengo la Kiranga ni kutupoteza ili atutupie mapepo! Hapo umenifumbua macho.Ana pretend huyo. Jamaa ni Mshirikina huyo anataka atupoteze kubwa hakuna Mungu ili atutupie mapepo.
Akikujibu Hayupo Achana nae maana haitakua na maana tena! Akikujibu yupo ndo uendelee nae... "Wisdom must take A lead in such matter"Acha umuhimu wa ilo swalo uwe juu yangu, jikite kujibu nilichokuuliza.
Ngoja nikukumbushe ikiwa umesahau swali langu ni :, UNAAMINI KUWA MUNGU YUPO AMA HAYUPO?.
NI JIBU TUENDELEE.
Is this a threat?Huna haja ya kujua, itakusaidia nini nawe una nafsi ya kumkana Mungu wako kwa pumzi yako.
Subiri matokeo , usiwe na mchecheto.
South Korea wana rate kubwa ya kujiua. Yani halafu wanajiua kwa vitu ambavyo sisi tunaona vya kipuuzi 😄
Ushawahi kuwaza huo uthibitisho wa uwepo wa Mungu unafananaje au watakiwa kuweje?Ngoja niweke kambi hapa, labda leo tutapata uthibitisho wa uwepo wa mungu.
Mkuu kwakweli sisi waafrika ni watu wagumu tunabeba mengi na tunasurvive.Wakati bongo, mkuu wa shule anaandikiwa barua na mwanafunzi ya kuacha shule.
Mungu hadhihakiwi mkuu.Is this a threat?
Hilo kweli, wanasifika kwa kutokuwa na wizi ila kiasi kikubwa unakuta hawaweki record za hayo matukio ili tu wasichafue sifa yao ya kusifika kuna usalama na hakuna wizi.Ila pia inasemekana kuwa Mfumo wao wa maisha unawafanya wawe na stress na depression sana. Yani mfumo wao unawalazimisha kuficha mambo mengi yanawauma ndani kwa ndani kutoka na kuishi kwendana na expectation ya jamii juu yako.
Halafu ukifuatilia wana matukio yao ya kuuana ya ajabu sana aisee.
Ila wana dini yao kabisa pamoja na dini zengine ngeni.And the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...
Next time try to use brains and not feelings when you answer,it makes you look stupid as f....k!