Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Na sisi ngozi nyeusi tuko kundi gani?
itakuwa shetani wa mwisho kabisa asiyekuwa na hadhi hata ushetanini😂😂😂😂😂.Tushaambiwa mjapani anakuomba radhi kwa kusikia mlio wa simu yake, jitu jeusi linakula mayai ya kuchemsha halafu linajamba kwenye basi huku nje kuna mvua kulazimu kufungwa kwa dirisha halafu linakuangalia wewe kama vile ndie uliejamba.
 
Ushawahi kusikia kuhusu Russel’s Teapot?

Chupa ndogo ya chai isiyoonekana wala kuwa detected na kifaa chochote chupa hiyo unaambiwa kuwa inazunguka katikati ya jua na mwezi

Umepewa habari kama hiyo na kusisitizwa kuwa chupa hiyo ipo lakini tayari ukiangalia maelezo umeona kuna contradiction errors inayoonesha walakini wa hiyo habari

Utajiuliza kama hakionekani, hakithibitishiki kwa namna yeyote imewezekanaje kujua kua kina orbit kwenye jua?

Jua lina nyuzi joto kubwa sana imekuwaje chupa hiyo ika survive bila kuungua?

Utasema hiyo habari ni kweli kuwa chupa hiyo ipo ila sifa za hiyo chupa tu ndio zimekosewa?

Kama utasema hivyo basi utakuwa unaongelea kitu kingine ambacho hujaambiwa, maana ukamilifu wa hiyo habari ni pamoja na sifa zote kama ambavyo umeambiwa

Ukitaka kutoa contradictio kwa kupunguza sifa za hiyo chupa ili kufanya habari iwe kweli automatically utakuwa unaelezea kitu kingine

Hivyo ndio ilivyo ukitaka kutoa contradiction kwenye dhana ya uwepo wa Mungu kwa kupunguza sifa zake utajikuta unaongelea kitu kingine chenye udhaifu
Unajua kwamba maelezo yenye contradiction yanaweza kupatikana hata kwa kitu ambacho unajua kabisa kuwa kipo? Mfano mimi naweza nikatoa maelezo yenye contradiction kumhusu rais wa Tanzania na hali wewe unajua kabisa kuwa rais wa Tanzania yupo na ni Samia suluhu, sasa tukisema kwamba kila maelezo yenye contradiction kwenye kitu fulani basi hitimisho ni kwamba hicho kitu hakipo basi pia tutasema rais wa Tanzania hayupo kwa sababu tu mimi nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu huyo Rais wa Tanzania.

Lakini pia huo mfano wa chupa haupo kwenye contradiction labda uite ni uongo wa moja kwa moja.
 
Unajua kwamba maelezo yenye contradiction yanaweza kupatikana hata kwa kitu ambacho unajua kabisa kuwa kipo? Mfano mimi naweza nikatoa maelezo yenye contradiction kumhusu rais wa Tanzania na hali wewe unajua kabisa kuwa rais wa Tanzania yupo na ni Samia suluhu, sasa tukisema kwamba kila maelezo yenye contradiction kwenye kitu fulani basi hitimisho ni kwamba hicho kitu hakipo basi pia tutasema rais wa Tanzania hayupo kwa sababu tu mimi nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu huyo Rais wa Tanzania.

Lakini pia huo mfano wa chupa haupo kwenye contradiction labda uite ni uongo wa moja kwa moja.
Na hicho kitu hicho kinaweza kikawepo hivyo hivyo kama ambavyo maelezo yenye contradiction yalivyo eleza?

Kama hicho kitu kimepatikana kikiwa hakina hizo sifa ambazo zilielezwa kwenye maelezo ya awali (yenye contradiction) basi ni wazi kabisa kuwa hicho kilichopatikana sio kile kilichozungumziwa kwasababu kimekosa unique features ambazo zinakitambulisha kupitia maelezo ya awali

Huwezi ukasema chupa ya chai iliyozungumziwa kuwa ina orbit kwenye jua kuwa ipo kwa kurefer chupa ya chai nyingin ambayo haina sifa ambazo zimezungumziwa kwenye chupa ya chai ya mwanzo
 
MUNGU ANAPOSEMA ALIUMMBA MTU KWA MFANO WAKE ALIMAANISHA WAJAPANI THEN KWA MBARII WANAKUJA CAUCASIANS( NENO LANGU SI SHERIA).
MJAPAN ANAWEZA KUKUOMBA MSAHAMA KWA USUMBUFU KWA KUSIKIA MUITO WA SIMU YAKE.
NI WATU CIVILIZED SANA KULIKO RACE NYINGINE YOYOTE HALI HIYO INAFANYA PASPOT YAO KUWA YENYE NGUVU KULIKO PASPOT YA NCHI YOYOTE ILE DUNIANI.

View attachment 2183069
Shida ni umasikini tu, umasikini ukiingia basi civilisation ndio inaishia hapo
 
Wewe uliyemtaja Mungu umeambiwa uthibitishe uwepo wa Mungu. Yeye kasema hataki mambo ya kuamini bali anataka fact. Sasa unapomuuliza kama anaamini uwepo wa Mungu au haamini sijui umelenga nini kama ameshasema hataki mambo ya kuamini.
Hakuna binadamu asiye na imani! hata hao tunaosema wapagani ni kwamba tu hawamuamini huyu Mungu ila kuna sehemu huwa wana imani napo!
Kwani Paganism ni kutokumuamini huyu Mungu mkuu ( Alfa and Omega). Ila imani yao ipo sehem nyingine.

So Bwana kiranga na yeye kuna sehemu imani yake ilipo!

Kwahiyo Lazima aulizwe kama anaamini yupo au hayupo hapo ndipo Hekima inapotumika na sio mabishano ya kujiona nani anajua zaidi ya mwenzake.."Hekima"
 
Jamaa huyu anaitwa Kiranga amewabana mbavu, linapokuja suala la kuthibitisha mnatumia mihemko, hasira na akili za hisia kujibu hoja zake.

Wengi wenu hamjui hata ni kwa nini ni waumini wa hizo dini zenu, ili muelewe jikite zaidi kuelewaa nini maana ya 'imani'?

Muumini wa imani ya dini ya kikristo.
Muumini wa imani ya dini ya kiislamu.
Muumini wa imani ya dini ya budha n.k, hizi zote ni imani, dini ni imani na kila dini ina misingi yake.

Kwa hio kuwa mfuasi wa dini fulani, tayari ume base zaidi kwenye spiritual conviction rather than proof ambapo hio ndio imani.

Kiranga na wewe hio ni imani yako, kwa kuamini mungu hayupo ina maana unaamini hakuna maisha baada ya kifo, tukifa tunaishia hapo hapo, hiyo ni imani yako kwani huwezi thibitisha hilo.

Hivyo wewe pia una imani kama wenye dini tu, tofauti zenu mnaamini vitu tofauti.

Imani ni kuamini pasipo evidince sasa unapotaka kuamini kwa evidence lazima uweke evidence ambazo bado zipo ndani ya imani unapotoka nje ya misingi ya imani ndipo hapo unakosa jibu kwa sababu umetoka nje, sawa na tafiti za kisayansi lazima ziwe katika misingi na taratibu za kisayansi.

Huwezi weka facts kwenye suala la imani hapo umetoka kabisa kwenye misingi ya imani.

Dini ni kuamini katika kitu ambacho hukifahamu, mfano ukifanya uzinzi unaona umetenda dhambi lakini dhambi huioni, wala huwezi ishika bali una amini una dhambi, unakwenda kanisani kutubu ukiamini mungu anakusamehe, unatoka kanisani ukiamini mungu amekusamehe, we umejua vipi amekusamehe? unajua vipi ile dhambi haipo?
Kwa maana hakuna sehemu ya kuangalia kama ile dhambi ipo ama haipo, hio ndio imani.

Hivyo kujibu swali la uthibitisho wa uwepo wa mungu kwa kufuata facts mtakesha kwa sababu mnataka kutumia taratibu za kisayansi kwenye imani, beliefs doesnt care about facts.

Hivyo inatosha kabisa kusema kwamba hakuna facts katika imani, which means huwezi tumia proof na facts kuthibitisha uwepo wa mungu.
Thats it.

Kikubwa kila imani ya mtu iheshimiwe, anayeamini, asiyeamini.
 
Na hicho kitu hicho kinaweza kikawepo hivyo hivyo kama ambavyo maelezo yenye contradiction yalivyo eleza?

Kama hicho kitu kimepatikana kikiwa hakina hizo sifa ambazo zilielezwa kwenye maelezo ya awali (yenye contradiction) basi ni wazi kabisa kuwa hicho kilichopatikana sio kile kilichozungumziwa kwasababu kimekosa unique features ambazo zinakitambulisha kupitia maelezo ya awali

Huwezi ukasema chupa ya chai iliyozungumziwa kuwa ina orbit kwenye jua kuwa ipo kwa kurefer chupa ya chai nyingin ambayo haina sifa ambazo zimezungumziwa kwenye chupa ya chai ya mwanzo
Point hapo ni hicho kinachokusudiwa, mfano anaweza akaja mtu akasema rais wa Tanzania ni mpole sana na mwengine akasema ni katili, hapo kila mmoja ana mtazamo wake pengine na sababu zake zilizofanya akasema hivyo alivyosema. Lakini hao wote tunajua wanamkusudia Samia suluhu ndio rais wa Tanzania, kwahiyo inaweza kuwa Samia suluhu sio mpole na sio katili ila bado tukawa tunamzungumzia huyo huyo rais wa Tanzania na si mwengine.
 
Point hapo ni hicho kinachokusudiwa, mfano anaweza akaja mtu akasema rais wa Tanzania ni mpole sana na mwengine akasema ni katili, hapo kila mmoja ana mtazamo wake pengine na sababu zake zilizofanya akasema hivyo alivyosema. Lakini hao wote tunajua wanamkusudia Samia suluhu ndio rais wa Tanzania, kwahiyo inaweza kuwa Samia suluhu sio mpole na sio katili ila bado tukawa tunamzungumzia huyo huyo rais wa Tanzania na si mwengine.
Usiseme point ni hicho kinachokusudiwa wakati majibu yanayokuja baadaye ni irrelevant na maelezo ambayo yalitolewa

Mimi nimetoa maelezo kuhusu chupa isiyoonekana wala kupimika na kifaa chochote, halafu wewe unakuja kuniletea chupa ya chai unayotumia kwako inayoonekana na ina pimika kuwa ndio hii niliyokuwa naizungumzia

Hapo utakuwa umethibitisha chupa ya chai isiyoonekana au utakuwa umeleta jambo lingine lipya ambalo mimi sijalizungumzia?
 
Watu wengi wanamkosea sana kiranga kwa majibu wanayompa wengi hutumia vitisho tu na kejeri kiranga yeye ni fact tu fact.
 
Jamaa huyu anaitwa Kiranga amewabana mbavu, linapokuja suala la kuthibitisha mnatumia mihemko, hasira na akili za hisia kujibu hoja zake.

Wengi wenu hamjui hata ni kwa nini ni waumini wa hizo dini zenu, ili muelewe jikite zaidi kuelewaa nini maana ya 'imani'?

Muumini wa imani ya dini ya kikristo.
Muumini wa imani ya dini ya kiislamu.
Muumini wa imani ya dini ya budha n.k, hizi zote ni imani, dini ni imani na kila dini ina misingi yake.

Kwa hio kuwa mfuasi wa dini fulani, tayari ume base zaidi kwenye spiritual conviction rather than proof ambapo hio ndio imani.

Kiranga na wewe hio ni imani yako, kwa kuamini mungu hayupo ina maana unaamini hakuna maisha baada ya kifo, tukifa tunaishia hapo hapo, hiyo ni imani yako kwani huwezi thibitisha hilo.

Hivyo wewe pia una imani kama wenye dini tu, tofauti zenu mnaamini vitu tofauti.

Imani ni kuamini pasipo evidince sasa unapotaka kuamini kwa evidence lazima uweke evidence ambazo bado zipo ndani ya imani unapotoka nje ya misingi ya imani ndipo hapo unakosa jibu kwa sababu umetoka nje, sawa na tafiti za kisayansi lazima ziwe katika misingi na taratibu za kisayansi.

Huwezi weka facts kwenye suala la imani hapo umetoka kabisa kwenye misingi ya imani.

Dini ni kuamini katika kitu ambacho hukifahamu, mfano ukifanya uzinzi unaona umetenda dhambi lakini dhambi huioni, wala huwezi ishika bali una amini una dhambi, unakwenda kanisani kutubu ukiamini mungu anakusamehe, unatoka kanisani ukiamini mungu amekusamehe, we umejua vipi amekusamehe? unajua vipi ile dhambi haipo?
Kwa maana hakuna sehemu ya kuangalia kama ile dhambi ipo ama haipo, hio ndio imani.

Hivyo kujibu swali la uthibitisho wa uwepo wa mungu kwa kufuata facts mtakesha kwa sababu mnataka kutumia taratibu za kisayansi kwenye imani, beliefs doesnt care about facts.

Hivyo inatosha kabisa kusema kwamba hakuna facts katika imani, which means huwezi tumia proof na facts kuthibitisha uwepo wa mungu.
Thats it.

Kikubwa kila imani ya mtu iheshimiwe, anayeamini, asiyeamini.
Unachanganya Dini na MUNGU.. Ni vitu viwili tofauti..

Umesema kiDini ukizini unaona ni dhambi..!! Vipi Kisaynasi unaweza kulala na watu ovyo na ikawa sawa..!!?
 
Kiranga:Hana IMANI juu ya chochote yeye anaishi kwa facts,waaamini tunaishi kwa IMANI ya Mungu na facts juu ya Mungu.
Kiranga hataki kusikia kuhusu IMANI yeye anataka facts tu.
Ibilisi wa kiranga kambana kwenye akili na moyo wake kutaka kujiona na kuamini kuwa yeye anategemea zaidi facts kuliko imani wakati huo huo anasahau kama yeye mwenyewe anaamini(IMANI) kuwa anaendesha mambo au mienendo yake inapelekwa juu ya misingi ya facts.Je Kiranga anaweza akadhibitisha kuwa MUNGU hayupo kwa facts alizonazo au anarudi kulekule kwenye kuamini tu kuwa MUNGU hayupo kama atakuwa anaamini kuwa MUNGU hayupo basi hata yeye bado anaishi kwenye mzingo wa IMANI.
Na tunaoamini uwepo wa MUNGU tunaamini kuwa ni ibilisi shetani keshamtia upofu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
[emoji108]
 
Wewe sema tu ni mvivu wa kusoma.

Kwanza usiniite dogo hiyo ni dharau, hujui umri wangu.

That is very condescending. Halafu inakuonesha wewe ni mtu wa kufanya assumptions tu.

Kuhusu hoja yako kwamba kitu ambacho hakipo sitakiwi kukijadili, hapo unaonesha utapiamlo katika uwezo wako wa kufikiri kimantiki.

Nitakuonesha kwa nini, kwa mfano rahisi tu.

Kama kuna mganga muongo anasema ana dawa inayotibu ugonjwa mpya, na madaktari wanajua hakuna hiyo dawa, huyo mganga ni muongo, madaktari hao wana wajibu wa kukanusha na kusema hiyo dawa ni ya uongo haipo.

Wataijadili hiyo dawa ambayo haipo ili kuonesha watu kwamba haipo.

Wewe ni kama mganga muongo unayesema kuna dawa (Mungu) wakati hakuna kitu hicho.

Daktari anayejua hiyo dawa haipo (mimi) ana wajibu wa kuweka rekodi sawa na kuonesha uongo wako.

Kwa sababu, kuna watu wanaweza kuzembea kujikinga wakifikiri kuna dawa, kumbe habari za dawa kuwepo ni uongo.

Natumaini umeacha uvivu wa kusoma na umesoma mpaka mwisho.

Vinginevyo hatutawezi kujadiliana.

Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.

We jamaa hapa umeyumba, huu mfano wako hauna uhalisia, na haufai kupigiwa katika suala la kiimani.

Kwa sababu kama mganga ni muongo, na anadanganya kuhusu dawa.

1.Ima anasema anadawa ambayo hana, lakini hili ni rahisi kudhihirika kwa sababu atatakiwa kuonyesha, sasa kunahajagani ya madaktari kujenga hoja za kumpinga wakati hata hiyo dawa hana.

Au wagonjwa watakaomuendea atawapa dawa gani, ikiwa hana?

2.Au ima anayodawa lakini ni yauongo, hivyo hapa madaktari wajuzi watasema hii dawa ni yauongo lakini sio kusema haipo.

Sasa kinachostaajabisha ni wewe unaejiita daktari mjuzi, unapojenga hoja za kupinga dawa ambayo unasema haipo[emoji3][emoji3][emoji3]

Na hii inaonyesha ni kiasi gani hujui ni maana ya Imani(kuamini)
 
Hakuna binadamu asiye na imani! hata hao tunaosema wapagani ni kwamba tu hawamuamini huyu Mungu ila kuna sehemu huwa wana imani napo!
Kwani Paganism ni kutokumuamini huyu Mungu mkuu ( Alfa and Omega). Ila imani yao ipo sehem nyingine.

So Bwana kiranga na yeye kuna sehemu imani yake ilipo!

Kwahiyo Lazima aulizwe kama anaamini yupo au hayupo hapo ndipo Hekima inapotumika na sio mabishano ya kujiona nani anajua zaidi ya mwenzake.."Hekima"
Mkuu nadhani wewe na yeye mnabisha vitu viwili tofauti. Unaposema una amini maana yake una uhakika na mambo yasiyoonekana yaani ya ulimwengu wa kiroho zaidi. Kiranga anaposema uthibitishe sidhani kama ni sahihi maana anataka mambo ya ulimwengu wa kiroho kuyashuhudia katika ulimwengu wa kimwili ili hapa ni swala la imani
 
Usiseme point ni hicho kinachokusudiwa wakati majibu yanayokuja baadaye ni irrelevant na maelezo ambayo yalitolewa

Mimi nimetoa maelezo kuhusu chupa isiyoonekana wala kupimika na kifaa chochote, halafu wewe unakuja kuniletea chupa ya chai unayotumia kwako inayoonekana na ina pimika kuwa ndio hii niliyokuwa naizungumzia

Hapo utakuwa umethibitisha chupa ya chai isiyoonekana au utakuwa umeleta jambo lingine lipya ambalo mimi sijalizungumzia?
Kwani hapa tuzungumzia kuhusu kuthibitisha au tunajadili kuhusu contradiction?
 
Mkuu nadhani wewe na yeye mnabisha vitu viwili tofauti. Unaposema una amini maana yake una uhakika na mambo yasiyoonekana yaani ya ulimwengu wa kiroho zaidi. Kiranga anaposema uthibitishe sidhani kama ni sahihi maana anataka mambo ya ulimwengu wa kiroho kuyashuhudia katika ulimwengu wa kimwili ili hapa ni swala la imani
yes upo sahihi kiongozi! mambo mengi tunayoyaona katika ulimwengu wa mwili chanzo chake ni ulimwengu wa kiroho!
Sasa hii ni mjadala mpana sana tutakapoanza kuongelea mambo ya rohoni! Tuishie hapa hapa!
 
Back
Top Bottom