Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Haya nimebadili badala ya Scars nimeweka jina la Masumbuko.
Jitahidi sana siku nyingine unapofanya mijadala na mtu usitumie maneno ya kudhalilisha jinsia yake

Hii mara nyingi naiona ikifanywa na wacha Mungu ambao wanajinasibu kuwa na high morals kuliko atheists, hata huko post za nyuma believers wengi wametoa abusive words kwa kiranga
 
Jitahidi sana siku nyingine unapofanya mijadala na mtu usitumie maneno ya kudhalilisha jinsia yake

Hii mara nyingi naiona ikifanywa na wacha Mungu ambao wanajinasibu kuwa na high morals kuliko atheists, hata huko post za nyuma believers wengi wametoa abusive words kwa kiranga
Kwahiyo atheists wanavyotumia maneno mabaya kwa kumuelezea Mungu huwa ni kawaida si ndivyo?
 
Kwahiyo atheists wanavyotumia maneno mabaya kwa kumuelezea Mungu huwa ni kawaida si ndivyo?
Vitabu vyenu vya Mungu ndio vilivyoanza kuwaita wasioamini Mungu huyo WAPUMBAVU

Vitabu vyenu vya dini ndio vyenye mgongano unaoleta mafarakano ya kiimani

Hakuna atheist anayekubali yesu ambaye ni Mungu kwa wakristo kuwa alizaliwa na mwanamke bikra

Hayo ni maelezo mazuri kwa ukristo

Lakini hiyo ni offense kwa uislamu kuwa Mungu hawezi kuzaliwa na pia Mungu hana mtoto kwasababu hazai

Hayo ni maelezo mazuri kwa ukristo yanayomuelezea Mungu, lakini pia ni maelezo mabaya yanayomuelezea Mungu kwa mtazamo wa kiislamu

Kwa hiyo watu wa kwanza kumshusha hadhi Mungu ni waumini wenyewe na sio atheists

Na watu wa kwanza kuwatupia maneno machafu atheist ni belivers kupitia nukuu za vitabu vyao, huku tunaitwa sisi ni wapumbavu kwasababu nasikia tumejisemea moyoni kuwa hakuna Mungu

Tukija upande wa pili tunaitwa makafiri na tunastahili kuchinjwa ili kutimiza andiko la Allah

Wapi theists kaandikwa offensive na atheists na kufika ukomo wa empathy kiasi cha kutaka akatishwe maisha yake?
 
Vitabu vyenu vya Mungu ndio vilivyoanza kuwaita wasioamini Mungu huyo WAPUMBAVU

Vitabu vyenu vya dini ndio vyenye mgongano unaoleta mafarakano ya kiimani

Hakuna atheist anayekubali yesu ambaye ni Mungu kwa wakristo kuwa alizaliwa na mwanamke bikra

Hayo ni maelezo mazuri kwa ukristo

Lakini hiyo ni offense kwa uislamu kuwa Mungu hawezi kuzaliwa na pia Mungu hana mtoto kwasababu hazai

Hayo ni maelezo mazuri kwa ukristo yanayomuelezea Mungu, lakini pia ni maelezo mabaya yanayomuelezea Mungu kwa mtazamo wa kiislamu

Kwa hiyo watu wa kwanza kumshusha hadhi Mungu ni waumini wenyewe na sio atheists

Na watu wa kwanza kuwatupia maneno machafu atheist ni belivers kupitia nukuu za vitabu vyao, huku tunaitwa sisi ni wapumbavu kwasababu nasikia tumejisemea moyoni kuwa hakuna Mungu

Tukija upande wa pili tunaitwa makafiri na tunastahili kuchinjwa ili kutimiza andiko la Allah

Wapi theists kaandikwa offensive na atheists na kufika ukomo wa empathy kiasi cha kutaka akatishwe maisha yake?
Mkuu waislamu na wakristo umeona wakichinjana hapa Tanzania? Au atheist kuchinjwa na muislamu?

Haujaona wakristo na waislamu kuishi kwa amani na kuheshimiana imani zao?
 
Mkuu waislamu na wakristo umeona wakichinjana hapa Tanzania? Au atheist kuchinjwa na muislamu?

Haujaona wakristo na waislamu kuishi kwa amani na kuheshimiana imani zao?
Hapa tanzania kuna sheria inayo wazuia hususani waislamu

Nilidhani utapinga kuwa hayo madai hayapo kwenye vitabu vya dini
 
Hapa tanzania kuna sheria inayo wazuia hususani waislamu

Nilidhani utapinga kuwa hayo madai hayapo kwenye vitabu vya dini
Tutaishia kubishana tu, maana kwenye vitabu vya dini hivyo hivyo kunaelezwa kuishi nao kwa wema kwa wasiokuwa waislamu na hata kipindi cha Mtume waislamu waliishi na wasiokuwa waislamu.
 
Tutaishia kubishana tu, maana kwenye vitabu vya dini hivyo hivyo kunaelezwa kuishi nao kwa wema kwa wasiokuwa waislamu na hata kipindi cha Mtume waislamu waliishi na wasiokuwa waislamu.
Nikajua utapinga kuwa hizo habari ni za uwongo hazipo kwenye vitabu vyenu vya dini kumbe unakubali zipo ila unanikumbusha kuwa kuna upande mwingine wa mazuri pia nao upo
 
Nikajua utapinga kuwa hizo habari ni za uwongo hazipo kwenye vitabu vyenu vya dini kumbe unakubali zipo ila unanikumbusha kuwa kuna upande mwingine wa mazuri pia nao upo
Mimi nimeeleza tu maisha halisi ya waislamu yalivyo ambayo hayana cha kubishana ila hayo ya kwenye vitabu tukiyajadili hapa tutabishana sana hapa.
 
Mimi nimeeleza tu maisha halisi ya waislamu yalivyo ambayo hayana cha kubishana ila hayo ya kwenye vitabu tukiyajadili hapa tutabishana sana hapa.
Hata kitendo cha wewe kutumia mfano wenye elements za udhalilishaji ni muendelezo wa maisha halisi ya namna waislamu wanavyoishi na watu wengine wasio waislamu
 
Hata kitendo cha wewe kutumia mfano wenye elements za udhalilishaji ni muendelezo wa maisha halisi ya namna waislamu wanavyoishi na watu wengine wasio waislamu
Waislamu ni binaadamu kama binaadamu wengine kama ilivyo kwa atheists.
 
Unaandika maelezo marefu uku ukijaribu kujisahaukisha swali langu.
Ninakukumbusha tena na tena. Nimekuuliza tena ikiwa unaamini kuwa Mungu yupo ama hayupo?. Nijibu tuendelee.
Acha upuuzi.Unaandika as if ni mtu mwenye ubongo wa nzi.Unauliza swali la kipumbavu ili kukwepa hoja makini.
#Be a great thinker.
 
MUNGU ANAPOSEMA ALIUMMBA MTU KWA MFANO WAKE ALIMAANISHA WAJAPANI THEN KWA MBARII WANAKUJA CAUCASIANS( NENO LANGU SI SHERIA).
MJAPAN ANAWEZA KUKUOMBA MSAHAMA KWA USUMBUFU KWA KUSIKIA MUITO WA SIMU YAKE.
NI WATU CIVILIZED SANA KULIKO RACE NYINGINE YOYOTE HALI HIYO INAFANYA PASPOT YAO KUWA YENYE NGUVU KULIKO PASPOT YA NCHI YOYOTE ILE DUNIANI.

View attachment 2183069
Sumimasen...

Sent from my Infinix X690B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom