Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Kwanza tuwekane sawa, hoja yangu inaanzia kwenye kupinga madai ya kwamba hiyo contradiction(Mungu kuumba huu ulimwengu) ndio inahitimisha au ndio uthibitisho kuwa hakuna Mungu.

Habari ya kuwepo Mungu ni imani hivyo mtu akisema kuwa habari ya kuwepo Mungu si kweli si ajabu maana habari yenyewe ni imani.

Hiyo contradiction ni hoja moja tu ya kuthibitisha Mungu hayupo.

Wewe umeshakubali habari ya kuwapo Mungu ni imani tu.

Na imani si lazima iwe kweli.

Awali ya yote, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote hayupo.

Kwa sababu, ulimwengu uliopo unamkanusha.

Kwanza hiyo habari ya "muweza yote" tu, kimantiki ni contradiction tosha kuonesha Mungu huyo katungwa na watu tu.
 
Hiyo contradiction ni hoja moja tu ya kuthibitisha Mungu hayupo.

Wewe umeshakubali habari ya kuwapo Mungu ni imani tu.

Na imani si lazima iwe kweli.

Awali ya yote, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote hayupo.

Kwa sababu, ulimwengu uliopo unamkanusha.

Kwanza hiyo habari ya "muweza yote" tu, kimantiki ni contradiction tosha kuonesha Mungu huyo katungwa na watu tu.
Hapana, contradiction haithibitishi kuwa Mungu hayupo bali inaonesha kuwa haiwezekani kuwa Mungu ndio kaumba huu ulimwengu.
 
Contradiction iko wapi na inasemaje?
Kwa niaba yako ni kwamba contradiction ipo kwenye dhana ya Mungu(mjuzi wa yote mwenye upendo wote na ujuzi wote) kuumba ulimwengu wenye maovu hali ya kuwa yeye ana upendo wote.
 
Kwa niaba yako ni kwamba contradiction ipo kwenye dhana ya Mungu(mjuzi wa yote mwenye upendo wote na ujuzi wote) kuumba ulimwengu wenye maovu hali ya kuwa yeye ana upendo wote.
Contradiction ni kubwa zaidi ya Mungu kuumba.

Yani, uwepo wa ulimwengu unaoruhusu maovu una contradict uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote.

Yani hata ukisema Mungu hakuumba ulimwengu huu, labda tuseme Malaika wake aliuumba, au Shetani aliuumba bila ruhusa, au some mad alien scientist aliuumba, lakini Mungu yupo.

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeruhusu uwezekano wa ulimwengu unaoruhusu maovu kuweza kuumbika na yeyote.

Uwepo wa ulimwengu unaoruhusu maovu unaonesha Mungu huyo hayupo.
 
Eti wanaume wa japani hawanaga time sana na mbususu
 
Contradiction ni kubwa zaidi ya Mungu kuumba.

Yani, uwepo wa ulimwengu unaoruhusu maovu una contradict uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote.

Yani hata ukisema Mungu hakuumba ulimwengu huu, labda tuseme Malaika wake aliuumba, au Shetani aliuumba bila ruhusa, au some mad alien scientist aliuumba, lakini Mungu yupo.

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeruhusu uwezekano wa ulimwengu unaoruhusu maovu kuweza kuumbika na yeyote.

Uwepo wa ulimwengu unaoruhusu maovu unaonesha Mungu huyo hayupo.
Bado tunarudi pale pale kwenye tatizo lako la kukimbilia kutoa hitimisho la kwamba hakuna Mungu.
 
Bado tunarudi pale pale kwenye tatizo lako la kukimbilia kutoa hitimisho la kwamba hakuna Mungu.
Ngoja nijaribu kiingereza labda utaelewa.

This universe, which permits evil, is incompatible with the existence of an omnipotent, omniscient and omnibenevolent God.

Either this universe exists, or that God exists.

This universe clearly exists.

Therefore, God does not exist.
 
Kama kutaja Mungu hayupo maana yake yupo, basi vilevile kutaja Mungu yupo maana yake hayupo. Nonsense.

Thibitisha Mungu yupo.
Kunatangulia kuwepo,ndio kunakuja kutokuwepo.Huwezi kusema kitu hakipo,ila kipo,ndio ukaweza kusema hakipo.
Kisichokuwepo,hakitwaji,kwasababu hakikikuwepo.Kililichopo,ndio hutajwa,hakipo,na husemwa hakipo,kwasababu kipo.
Mtu akisema yule hana akili,ni kuwa akili ipo,ndio kukapatikana kutokuwepo kwa akili.
 
Kinachokuwepo,ndio husemwa hakipo.Kisichokuwepo,hakisemwi hakipo.
Huko kusemwa,na wanaosema Mungu hayupo,ni kuwa yupo,ndio wakasema hayupo.
Mfano mdogo tu uliopo:
Ikiwa yupo mtu anayeitwa Kira.nga.u,akaja mtu akasema Kira.nga.u hayupo,ni kuwa yupo mtu anayeitwa Kira.nga.u,ila hayupo,ni kuwa Kira.nga.u yupo,lakini huyu aliyesema hayupo Kira.ngau,ndio hakuona dalili za kuwepo Kira.ngau,lakini walioana dalili za uwepo Kira.ngau,,wakiulizwa yupo wapi Kira.nga.u watasema yupo Jf,tumeona dalili zake.
 
Kisichokuwepo hakisemwi hakipo,kila kilichoko,ndio husemwa hakipo,ni kuweko kwake,ndiko kunafanywa kutkuwepo,kwa vile kipo,ndiko kukasemwa hakipo.Kisingekuwepo kisingetajwa hakipo,huko kuweko kwake,hicho kilichopo,ndiko kukasemwa hakiko,kwasababu kipo.
 
Kisichokuwepo hakisemwi hakipo,kila kilichoko,ndio husemwa hakipo,ni kuweko kwake,ndiko kunafanywa kutkuwepo,kwa vile kipo,ndiko kukasemwa hakipo.Kisingekuwepo kisingetajwa hakipo,huko kuweko kwake,hicho kilichopo,ndiko kukasemwa hakiko,kwasababu kipo.
Ingekuwa hivyo kila mtu angekuwa bilionea kwa kusema tu "mimi si bilionea".

Kwa mujibu wako, kisichokuwepo hakisemwi hakipo, kila kinachosemwa hakipo kipo.

Siwezi kusema ubilionea wangu haupo mpaka uwepo.

Hivyo, nikisema tu "mimi si bilionea" nakuwa bilionea hapohapo.

Hii ndiyo mantiki yako.
 
Nauunga mkono hoja sababu nafahamu Tabia kadhaa za wajapani,

hii ilitokea wakat nipo chuo kikuu na nkawa najifunza lugha ya Wajapan kama sub subject.

wanakuzwa na kulelewa katika misingi ya kimaadili ya hali ya juu sana toka wakiwa nyumbani kwao wakiwa wadogo.

HAKUNA WATU WASTAARABU KAMA WAJAPAN HAPA CHINI YA JUA .

BISHA LAKINI HUO NDO UKWELI!!!!

PASSPORT YAO NDO NO.1 LEADING KATIKA ORODHA YA PASSPORT ZENYE NGUVU DUNIANI

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Yenye nguvu kivipi ,ufafanuzi tafadhali
 
Sifa kubwa ya mjapani ni kusema ukweli hawajui kudanganya au kuficha aibu.
 
Ngoja nijaribu kiingereza labda utaelewa.

This universe, which permits evil, is incompatible with the existence of an omnipotent, omniscient and omnibenevolent God.

Either this universe exists, or that God exists.

This universe clearly exists.

Therefore, God does not exist.
Hata ukitumia kichina tatizo ni kulazimisha hilo hitimisho lenye kuendanana na msimamo wako ya kutokuwepo Mungu, yani unazunguka ila unarudi pale pale tu.
 
Hata ukitumia kichina tatizo ni kulazimisha hilo hitimisho lenye kuendanana na msimamo wako ya kutokuwepo Mungu, yani unazunguka ila unarudi pale pale tu.
Nalazimisha kivipi?

Nikikwambia kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara utakubali?
 
Nalazimisha kivipi?

Nikikwambia kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara utakubali?
Sitakubali kwa sababu itakuwa ni contradiction, je hiyo contradiction inafanya kusiwepo Pembe tatu wala duara?
 
Sitakubali kwa sababu itakuwa ni contradiction, je hiyo contradiction inafanya kusiwepo Pembe tatu wala duara?
Kwani mimi nimesema hakuna pembetatu wala duara au nimesema hakuna pembetatu ambayo ni duara hapohapo?

Tutafika huko kwenye pembetatu na duara.

Tuanze kwenye pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Tuanze na pembetatu ambayo ni duara kwanza.

One thing at a time.

Mungu ambaye anakuwa contradicted na ulimwengu huu yupo au hayupo?
 
Kwani mimi nimesema hakuna pembetatu wala duara au nimesema hakuna pembetatu ambayo ni duara hapohapo?

Tutafika huko kwenye pembetatu na duara.

Tuanze kwenye pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Tuanze na pembetatu ambayo ni duara kwanza.

One thing at a time.

Mungu ambaye anakuwa contradicted na ulimwengu huu yupo au hayupo?
Unaniambia tutafika huko ila wewe unakimbilia kuhitimisha hakuna Mungu hauhita kusubiri.

Unajua wewe kwa uvivu wa kufikiri na kutaka kuhalalisha huo msimamo wako wa kudai hakuna Mungu ndio maana unakimbilia moja kwa moja kutumia hiyo contradiction kulazimisha hitimisho la kwamba hakuna Mungu, na hiyo ni kwa sababu Mungu haonekani ni imani ila kama huyo Mungu angekuwa ni mtu ambaye unamjua na kumuona sijui kama hilo hitimisho lako lingekuwa kuwa huyo mtu hayupo.
 
Kwa nini unafikiri swali lako ni muhimu na si off point?

Nikiamini, nisipoamini, kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu.

Pia, naweza kuamini Mungu yupo, akawa hayupo, na naweza kuamini Mungu hayupo, akawa yupo.

Sasa kwa nini kuamini kuwe jambo la muhimu, wakati hakutusogezi popote?

Kwa nini tunaangalia imani badala ya facts?

Kwa nini unaniuliza naamini Mungu, badala ya kuniuliza nina facts gani tuzijadili?

Sasa kwa nini unquliza kama mimi naamini Mungu yupo?

Umekubali hata asiyeamini ana haki ya, na anapaswa kuhoji?

Kwa nini kuamini kuwe kitu muhimu wakati mtu anaweza kuamini uongo?

Kama kweli Mungu hayupo, na mimi siamini yupo, na wewe unaamini kimakosa kwamba yupo, hapo nakosa vipi uhalali wa kusema habari za Mungu kuwapo ni uongo na wanaoamini Mungu yupo, kama wanabisha hili, watoe uthibitisho kwamba Mungu yupo?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Unarukaruka tu kama bisi kikaangoni.
Mkuu hakuna MTU atakuthibitishia uwepo wa Mungu. Utathibitisha mwenyewe siku za uhai wako,kabla hujafa utaamini tu Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom