Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Jeshi la Polisi ndiyo jeshi pekee linalotumiwa vibaya zaidi na wanasiasa. Amini, usiamini, hata kama mmoja wa malaika wa Mungu atashuka kuja kuwa IGP, bado Jeshi la Polisi litaendelea kuwa tatizo kwa Watanzania!
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Kwa kuandika vitu kama hivi you are ruining your credibility on JF! Unaandika your wishes as if are already put in reality! To that end unamharibia hata kama huyo Samia "uliyeongea" naye ana wazo la kumteua.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Sikuwahi kumuona huyu mama lakin kwa hizi clip mbili zimenifanya nitambue kuwa huyu mama ni kiongozi, maongezi yake na uso wake umebeba msisitizo wa kile anachokiongea, na hii ndio sifa kubwa ya kiongozi.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Sina uhakika kama mfumo utamkubali. Chaguzi zetu ndio chanzo kweli apinge mfumo kutaka mtu wao ndio ashinde na kutumwa apeleke mapira na manyuki mahali raia wamegoma kura zao kuchezewa agome?? Sina uhakika kama mfumo unamuhitaji labda kama kuna jambo wamelipanga mbele nje ya haya tuna yajuwa. Ikiwa wawakilishi wawananchi wangepita kwa haki bila kutumia nguvu nyingi kwenye uchaguzi kusingekuwa tunaona haya yanatokea. Ila tabu inakuja pale hawa askari wanajuwa vile viongoz walio kwenye mfumo walivyo patikana na ushiriki wao kupoteza haki then kwanini wasibambikie watu kesi wakati kwenye matokea wanabambika matokeo ? Wewe mbunge wa cc vs bila nguvu yao usingekuwa mbunge? Mikoa mingi sana ccm wasingetoboa kama kura zingepigwa kwa haki na uhuru... Huwo niukweli mchungu na kama mnabisha badili mfumo wa katiba unda tume huru pia majaji wasiteuliwe moja kwa moja na Rais uwone kile kitatokea.
Sikuwahi kumuona huyu mama lakin kwa hizi clip mbili zimenifanya nitambue kuwa huyu mama ni kiongozi, maongezi yake na uso wake umebeba msisitizo wa kile anachokiongea, na hii ndio sifa kubwa ya kiongozi.
Ningependa mabadiliko yangeanza kwa kuanzisha local police, watakaokuwa wanalipwa na mkurugenzi wa wilaya, au halmashauri. Hawa wawe na usimamizi wa eneo husika. Na wanaweza kutawanywa mpaka kwenye mitaa, vijiji, nk. Watasaidia kuzuia matatizo madogo madogo kabla hayajakua na kuvuruga amani.
Hawa local police watakapokuwa na nguvu, jeshi la polisi la kule juu litapunguzwa ukubwa na kuishia kuangalia mambo makubwa na ya kimkakati zaidi. Namna walivyo sasa inapunguza sana ufanisi, na kuacha pengo huku chini ambako ndiko matatizo huanzia.