mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 657
- 993
Hahahaha na imekuwa kweliHahahaa ndoto za mchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha na imekuwa kweliHahahaa ndoto za mchana
Chaliiii ndembe ndembe bila bila 😆😆😆😆Salaam Wakuu,
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Hatimaye nimekuona huku. Unazungumziaje uteuzi wa usiku?Chaliiii ndembe ndembe bila bila 😆😆😆😆
Kama Kawa SSH hajawahi koseaHatimaye nimekuona huku. Unazungumziaje uteuzi wa usiku?
Chalii kifo cha mende[emoji23]Salaam Wakuu,
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Atakuwa si mwanadamu huyu kama hajawahi kukosea. Amewahi kukosea kwenye kauli hizi "kula kwa urefu wa kamba, kila kitu kitapanda bei n.k." JPM kwenye kauli hz "niliwaahidi tetemeko huko bukoba, rafu za uchaguzi 2020 n.k"Kama Kawa SSH hajawahi kosea
Hazikutoshi,kula kwa urefu wa kamba yako kakosea nini hapo? Kula kwa mipaka yako na unachostahili.Atakuwa si mwanadamu huyu kama hajawahi kukosea. Amewahi kukosea kwenye kauli hizi "kula kwa urefu wa kamba, kila kitu kitapanda bei n.k." JPM kwenye kauli hz "niliwaahidi tetemeko huko bukoba, rafu za uchaguzi 2020 n.k"
Kula pale unapoweza kufikia siyo unachostahili.Hazikutoshi,kula kwa urefu wa kamba yako kakosea nini hapo? Kula kwa mipaka yako na unachostahili.
Una utaahira kichwaniKula pale unapoweza kufikia siyo unachostahili.
Mahaba niue wewe.Una utaahira kichwani
Bavicha ni wajinga, wanamchagulia hadi raisi Nani awe IGP.Kama Kawa SSH hajawahi kosea
Mmemuharibia mama wa watu
Mmemuharibia mama wa watu
Watu wanaharibiana sana.Mmemuharibia mama wa watu
Umechinjiwa baharini mkuuSalaam Wakuu,
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.
Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.
Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.
Mimi najua baadhi ya Malengo yako.
1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.
2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.
3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.
4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.
5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.
6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.
Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.
Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.
Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.
Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355