Suzan Kaganda unaenda kuwa IGP, usije kutugeuka Wananchi. Umsaidie Rais Samia kuleta mabadiliko chanya

Suzan Kaganda unaenda kuwa IGP, usije kutugeuka Wananchi. Umsaidie Rais Samia kuleta mabadiliko chanya

Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Chaliiii ndembe ndembe bila bila 😆😆😆😆
 
Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Chalii kifo cha mende[emoji23]
 
Kama Kawa SSH hajawahi kosea
Atakuwa si mwanadamu huyu kama hajawahi kukosea. Amewahi kukosea kwenye kauli hizi "kula kwa urefu wa kamba, kila kitu kitapanda bei n.k." JPM kwenye kauli hz "niliwaahidi tetemeko huko bukoba, rafu za uchaguzi 2020 n.k"
 
Atakuwa si mwanadamu huyu kama hajawahi kukosea. Amewahi kukosea kwenye kauli hizi "kula kwa urefu wa kamba, kila kitu kitapanda bei n.k." JPM kwenye kauli hz "niliwaahidi tetemeko huko bukoba, rafu za uchaguzi 2020 n.k"
Hazikutoshi,kula kwa urefu wa kamba yako kakosea nini hapo? Kula kwa mipaka yako na unachostahili.
 
Ningumu sana mwanamke kumpa position kama ile mwanamke mwenzake........
 
Salaam Wakuu,

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) Suzan Kaganda tunaomba usituangushe, Usituabishe.

Tumefanya kazi kubwa kuelezea sifa zako na umahili wako hasa wa kutenda haki.

Sasa usimuangishe Rais Samia. Simamia kile unachokiamini.

Mimi najua baadhi ya Malengo yako.

1). Kubadilisha Police Force kuwa Police Services.

2). Kubadili Mitaala ya Chuo cha Polisi kutoka ile ya kikoloni na kuwa ya Kitanzania kuendana na Sayansi na Teknolojia.

3). Mtu kudhaminiwa muda wowote bila kujali siku. Muhimu mdhaminiwa akamilishe Vigezo.

4). Kuamusha hali ya Polisi kutenda haki na kukomesha Rushwa na kubambikizia kesi.

5). Kuhakikisha kila Askari ananifaika na SACCOS ya Polisi.

6). Kuhakikisha Polisi hawafukuzwi bila kusikilizwa. Kuna sehemu nilisikia unasema kiwepo chombo(Mahakama ya Kipolisi ya Kusikiliza tuhuma zinazohusisha pilisi zenye kutenda haki.

Ombi langu, Naomba Mungu akusimamie nawe usimamie Katiba.

Mwanamke wa Kwanza IGP. Viva Tanzania, Viva Samia Suluhu Hassan.

Kwa kuwa Polisi wa Chini wanaakukubali, Hata Mungu atakusimamia.

Mia.
View attachment 2108338
View attachment 2108355
Umechinjiwa baharini mkuu
 
Back
Top Bottom