Suzan Kaganda unaenda kuwa IGP, usije kutugeuka Wananchi. Umsaidie Rais Samia kuleta mabadiliko chanya

IGP nilomwelewaga ni Said Mwema alikuwaga kiprofessional zaidi sio kisiasa ama kihuni..hawa wengine hamna kitu kwakweli!!
Ziro ajiuzulu analidhalilisha 'jepo' kwakweli!! Kama huyo mazaa anafaa apewe bila kujali jinsia watu tunataka haki
 
Hivi huwa unapata wapi nguvu ya kutamka neno haki, ibilisi wewe? Haki ya Ben Saanane kujadili PhD ya mwendazake hukuichezea na kuipoteza?
Huna aibu?
 
Inawezekana na haina tatizo lolote lile. Bora mteuliwa awe na vigezo vyote na awe mtu mwaminifu kwa sheria na wananchi.
 
Kwani hii nchi haina kamishina
Wa polisi, au hata naibu kamishina wa polisi warukwe wote mpaka kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi awe IGP,

Nachojua IGP Hapa TZ kwa renki lazima awe kamishina wa polisi ila sio kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi.
 
Jeshi la Polisi ndiyo jeshi pekee linalotumiwa vibaya zaidi na wanasiasa. Amini, usiamini, hata kama mmoja wa malaika wa Mungu atashuka kuja kuwa IGP, bado Jeshi la Polisi litaendelea kuwa tatizo kwa Watanzania!
Yes! Mfumo wetu ni tatizo, mfano huyo IGP au wa JW wote wanamnyenyekea mtu mmoja kwamba, anaweza kuwafanya lolote so hata huyu wanayesema anakuja kuwa sijui igp nothing newly happen.
 
Kwa kuandika vitu kama hivi you are ruining your credibility on JF! Unaandika your wishes as if are already put in reality! To that end unamharibia hata kama huyo Samia "uliyeongea" naye ana wazo la kumteua.

Kingereza kigumu sana
 
Kwa kuandika vitu kama hivi you are ruining your credibility on JF! Unaandika your wishes as if are already put in reality! To that end unamharibia hata kama huyo Samia "uliyeongea" naye ana wazo la kumteua.
Lengo ni kumuharibia!
Huoni clip moja aliyoweka ina a lot of flaws...kiasi inahamasisha kurefusha kamba ya kula kistaarabu!
 
hivi mama Kaganda bado yupo jeshi la polisi kweli? hajastaafu?
miaka fulani kipindi cha meko alikuwa bohari kuu ya polisi
 
Wewe ndo ushamwalibia Sasa

Hawezi kuwa Tena
 
Jeshi la Polisi ndiyo jeshi pekee linalotumiwa vibaya zaidi na wanasiasa. Amini, usiamini, hata kama mmoja wa malaika wa Mungu atashuka kuja kuwa IGP, bado Jeshi la Polisi litaendelea kuwa tatizo kwa Watanzania!
Subili niwe Mimi IGP nasema hivi subili Nitaenda kukomesha haya mambo yakuwanyenyekea wanasiasa,haiwezekani tena haiwezekani muhimu tu ni kutafuta katiba mpya ambayo ambayo pia itampa Kinga IGP ili aweze kufanya maamuzi yake bila kuingiliawa na wanasaiasa uchwara
 
Ndugu, hata SACP anaweza kupandishwa tu akawa IGP. Kwa KATIBA yetu, ni mapenzi tu ya mteuaji. Wenzetu Kenya wako vizuri kwenye kumpata IGP, wanafanyiwa interview wale wenye sifa za kushika hiyo nafasi. Hapa kwetu ni mapenzi ya Rais.
 
Jeshi la Polisi ndiyo jeshi pekee linalotumiwa vibaya zaidi na wanasiasa. Amini, usiamini, hata kama mmoja wa malaika wa Mungu atashuka kuja kuwa IGP, bado Jeshi la Polisi litaendelea kuwa tatizo kwa Watanzania!
IGP ateuliwe kutoka JWTZ hapo wataleta utamaduni mpya wa kutenda kazi awe mwanamke au mwanaume. Vinginevyo kwa IGP wa humohumo hatakuwa na jipya kimageuzi
 
IGp wa sasa ni mtu muhimu kwa CCm kuhakikisha ushindi wa chama 2025 hawawez kumuondoa ss hv
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…