swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Wala hujanikwaza ila ni kwa jinsi gani unaonesha una IQ ndogo japo unataka kuitumia kuwaza mambo makubwaMkuu.....
Minimeangalia avatar yake, na nilicho kiona pale kifuani upande wake wa kushoto mmhhhhh........ kitu kimeanguka kama kandambili kifuani, yaani kama ni jua ndio linazama mida ya kumi na mbili jioni......[emoji2] [emoji2]
Samahani kama nitamkwaza yeyote, lakini hicho ndicho macho yangu yameona
Nini kilikuvutia kwa mwanaume uliyemzidi pesa!!Mara chache ninapokwama huwa zaidi ananisaidia mawazo, coz pesa namzidi hivyo namheshimu na ninapokwama sehem naomba ushauri na mawazo yake ila cyo pesa
Mimi avatar yake pia imenitatiza pia.... because nimejaribu kutembelea profile yake ameweka occupation ni "Mwinjilisti" nikajisemea moyoni kama hawa ndio wachungaji wa kondoo wa Bwana mbona wote tunaenda kuzimu sasa.... mkuuMkuu.....
Minimeangalia avatar yake, na nilicho kiona pale kifuani upande wake wa kushoto mmhhhhh........ kitu kimeanguka kama kandambili kifuani, yaani kama ni jua ndio linazama mida ya kumi na mbili jioni......[emoji2] [emoji2]
Samahani kama nitamkwaza yeyote, lakini hicho ndicho macho yangu yameona
Unajibu kitaalam kabisa!![emoji122][emoji122][emoji122]Changamoto kwenye maisha zipo 2 nilichojifunza ni kutokulalamika angalia ulipo jiulize utafanya nini kutoka hapo, wengi wetu tunatumia muda mwingi ktk kulalamika
Siyo kama ndoa ndo mafanikio ya kila mwanamke, kikubwa uweze kuishi maisha yenye furaha uwe ndani ya ndoa au LANini kilikuvutia kwa mwanaume uliyemzidi pesa!!
Unadhani atakuoa yeye
DJ sepetu
Injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu, kwa myahudi kwanza na kwa myunani pia, hivyo yeyote anayebeba Ujumbe huo na kuwaekeza wengine ni Mwinjilist tayari,siyo Lazima apande kwenye majukwaa na kupiga makeleleMimi avatar yake pia imenitatiza pia.... because nimejaribu kutembelea profile yake ameweka occupation ni "Mwinjilisti" nikajisemea moyoni kama hawa ndio wachungaji wa kondoo wa Bwana mbona wote tunaenda kuzimu sasa.... mkuu
Wooooooooow!!......naomba japo niwe rafiki wa kawaida jamani halafu mengine yataitika yenyewe!![emoji5][emoji5][emoji5]
Sawa mkuu....Wala hujanikwaza ila ni kwa jinsi gani unaonesha una IQ ndogo japo unataka kuitumia kuwaza mambo makubwa
upo na confidence ya ukweli mkuu... nikupongeze kwa hilo mkuuInjili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu, kwa myahudi kwanza na kwa myunani pia, hivyo yeyote anayebeba Ujumbe huo na kuwaekeza wengine ni Mwinjilist tayari,siyo Lazima apande kwenye majukwaa na kupiga makelele
[emoji122] [emoji122]Injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu, kwa myahudi kwanza na kwa myunani pia, hivyo yeyote anayebeba Ujumbe huo na kuwaekeza wengine ni Mwinjilist tayari,siyo Lazima apande kwenye majukwaa na kupiga makelele
Mkuu kwa mizigo hii ya watoto wa kike hizi interview zako zitaniua sasa!!Jf sitoki[emoji23] [emoji23]
DJ sepetu
Nikweli Mkuu, ndiomaana nipo hapa ili kupata elimu....Wala hujanikwaza ila ni kwa jinsi gani unaonesha una IQ ndogo japo unataka kuitumia kuwaza mambo makubwa
Sina mtoto, lakini natarajia MUNGU akijaalia kwa sasa Niko tayari kabisa kumlea na aje afurahie maisha ya uwepo wangu, sikupenda kuzaa mapema kuepuka mwanangu kuja kuishi maisha ya kuunga unga, tatizo siyo kuwa mzazi, swali LA msingi ni Je! Mtoto atafurahia uwepo wako na kujivunia ana mzazi???Una mtoto au watoto
DJ sepetu
Nina shaka Na elimu wewe sio darasa la 7 leaverSina mtoto, lakini natarajia MUNGU akijaalia kwa sasa Niko tayari kabisa kumlea na aje afurahie maisha ya uwepo wangu, sikupenda kuzaa mapema kuepuka mwanangu kuja kuishi maisha ya kuunga unga, tatizo siyo kuwa mzazi, swali LA msingi ni Je! Mtoto atafurahia uwepo wako na kujivunia ana mzazi???