Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
 
kama hujaoa unaweza kuoana swala ili ni uzinzi tu lakini baada ya kuoa ndo utagundua
kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida yake
mke mmoja anatesa saana .anaua .,anaumiza.analiza 🙄🙄🙄
kwa mawazo yangu mimi swala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu hiyo
sio kwamba ni mipango ya Mungu
kwa hiyo swala ili liangaliwe katika ukristo tutakuja kuuana bure na asira za kunyima tendo la ndoa
uku unakuwa unataka. mwenzako ambaye umemtilia mali , una mgharamia, anakuwa anakupangia kukupa haki yako. na ukianza kutoka nje ya ndoa inakuwa dhambi 😛😛😛 jamani mbinguni kutajaa vilema tu
Mungu alijua hayo ndio maana kina rahab wa leo kutwa kuchwa wanafukuzana na polisi huko Kambi ya fisi!!

Kuna wimbi kubwa Sana la kunyimwa unyumba na wanawake ndani ya ndoa kila mtu na kilio chake!
 
kama hujaoa unaweza kuoana swala ili ni uzinzi tu lakini baada ya kuoa ndo utagundua
kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida yake
mke mmoja anatesa saana .anaua .,anaumiza.analiza 🙄🙄🙄
kwa mawazo yangu mimi swala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu hiyo
sio kwamba ni mipango ya Mungu
kwa hiyo swala ili liangaliwe katika ukristo tutakuja kuuana bure na asira za kunyima tendo la ndoa
uku unakuwa unataka. mwenzako ambaye umemtilia mali , una mgharamia, anakuwa anakupangia kukupa haki yako. na ukianza kutoka nje ya ndoa inakuwa dhambi 😛😛😛 jamani mbinguni kutajaa vilema tu
Ndomana Wachina wametengeneza Sex Toy ujipate huduma kwa mda unaotaka, mwanamke akipata Bwana mpya utaelewa show.
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!

Huwa hawakunyimi makusudi, wanakuwa wanawapa wengine! Hakuna mwanamke Mzima anayekula chakula asiyeitaji
 
Mungu alijua hayo ndio maana kina rahab wa leo kutwa kuchwa wanafukuzana na polisi huko Kambi ya fisi!!

Kuna wimbi kubwa Sana la kunyimwa unyumba na wanawake ndani ya ndoa kila mtu na kilio chake!
ndo maana nasema swala la kuoa mke mmoja liangaliwe kama mitume na manabii walishindwa sisi nani mpaka tuweze
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Sababu za kupangiwa ni zipi? yaani anakupangia bila sababu? mpeleke kwao wakamfundishe
 
Na wao watasema hili la Mwanamke kuolewa/kuwa na Mume/Mwanaume mmoja liangaliwe pia.
sisi na wao tofauti ebu angalia kwenye maisha yetu ya kawaida mwanamke mwenye wanaume wengi anaitwa nani
na mwanaume mwenye wake wengi anaitwa nani
pia kuna swala la asili mwanamke mwenye wanaume wengi kupata mtu wa kumuoa ni shida ila ni sawa kama watakuwa ivo
 
Tuoe tu bila utaratibu wa kisheria !unampanga dem unaanza kumuhudumia bhas anakua wako!!
Yuko Rafiki yangu mmoja, jina() huyo mwamba.
Anamuhudumia Mwanamke na wanaishi wote nyumbani kwake, ila siku walipofahamiana alimwambia kua yeye anataka wawe wapenzi tu,
Ila yeye ktk Maisha yake ajapata Bado pesa ya kuoa.
Sasa hivi jamaa ana Watoto 2. Na Demu anasema amuoe yeye jamaa msimamo wake ajapata pesa.
 
Back
Top Bottom