Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Inawezekana ni umalaya. Tumeumbwa hivyo. Mume mmoja hajawahi kutosha nakwambiajdgsj hafah jsgagav vaf hf jav umalaya tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ni umalaya. Tumeumbwa hivyo. Mume mmoja hajawahi kutosha nakwambiajdgsj hafah jsgagav vaf hf jav umalaya tu!
uko wapi..?Inawezekana ni umalaya. Tumeumbwa hivyo. Mume mmoja hajawahi kutosha nakwambia
Achana na Mumeo nenda uko ambako utakula utakacho....Wewe jibu vyovyote vile. Who cares?
Tunawabania waume zetu kwasababu tumeshawachoka kama ambavyo wao wametuchoka. Kula mchicha miaka na miaka we kuweza?
Naunga mkono hoja.Mume mmoja hajawahi kutosha nakwambia
mfukuze mumeo kwanza ndo nikupigie si umesema mmoja hatoshi hapa tunaoga na wanaotaka kuoga tu!Nipigie nipigiee🤣
SanteeeeeeNaunga mkono hoja.
Kufa hutakufa ila cha moto utakionaNikiona uzi na coment kama hiz roho inaumaa na hisi kufa kufa
kwa akili yako unaamini mwanamke anaweza kuwa na wanaume zaidi yammoja fanya kwanza ivo tuoneWewe jibu vyovyote vile. Who cares?
Tunawabania waume zetu kwasababu tumeshawachoka kama ambavyo wao wametuchoka. Kula mchicha miaka na miaka we k
Hata nikienda huko baada ya miaka kadhaa nitamchoka. Yatakuwa yale yaleAchana na Mumeo nenda uko ambako utakula utakacho....
Hadi nikubaliane na hiyo buku jero yako. Siki hizi kibao kimegeuka wanaume ndo wananunuliwakwa akili yako unaamini mwanamke anaweza kuwa na wanaume zaidi yammoja fanya kwanza ivo tuone
mwisho wake uliye naye atakukataa na uyo naye atakukataa tunaanza kuja kununua kwa buku jero
Sasa unachoitaji wewe nn ambacho ni sahihi kwako.Hata nikienda huko baada ya miaka kadhaa nitamchoka. Yatakuwa yale yale
WaYuko Rafiki yangu mmoja, jina() huyo mwamba.
Anamuhudumia Mwanamke na wanaishi wote nyumbani kwake, ila siku walipofahamiana alimwambia kua yeye anataka wawe wapenzi tu,
Ila yeye ktk Maisha yake ajapata Bado pesa ya kuoa.
Sasa hivi jamaa ana Watoto 2. Na Demu anasema amuoe yeye jamaa msimamo wake ajapata pesa.