Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

Swala la kuoa mke mmoja sio mpango wa Mungu

Kufa hutakufa ila cha moto utakiona
uzur mkewangu sio kama wanawake wengine malaya malaya ndio mana nimemjengea porini huko anafuga zake ngombe na kuku na kujilimia bustan akitaka kukutana na watu inampasa asafir klmet angalau 20 kwahy sina pulesha ni wangu peke yangu
 
Hadi nikubaliane na hiyo buku jero yako. Siki hizi kibao kimegeuka wanaume ndo wananunuliwa
wanaume wawapi sema mashoga sio wanaume wale 😛 🙄 😛 pili ninawezaje kupata namba zako mimi nitakuwa mume wako wa pili
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Haya ni matokeo ya kutopata mwenza sahihi.
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Na mke mmoja kuwa na waume wengi ?
 
wanaume wawapi sema mashoga sio wanaume wale 😛 🙄 😛 pili ninawezaje kupata namba zako mimi nitakuwa mume wako wa pili
Tatizo ninae mtaka yeye hanitani. Mimi sikutaki wewe. Hii dunia haina usawa
 
Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.

Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Kuoa mke mmoja ni mpango wa kizungu wa kikoloni
 
Tatizo ninae mtaka yeye hanitani. Mimi sikutaki wewe. Hii dunia haina usawa
kwasasa mambo ya kutakana tumeachia njiwa tu kikubwa mimi na wewe tukutane ndani ya nyumba tupimane uwezo nikikuweza nakuwa wa kwako ukiniweza unatafuta mwingine
 
Mume 1 anatosha, changamoto ya wanandoa wengi ni kuchukuliana poa mkiishi pamoja.

Unadhani wanandoa wangeishi kama mwanzo wa ndoa mambo yakuchokana yangetokea?
Umeshawahi kuolewa hadi useme hivyo?
 
Back
Top Bottom